Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Watambue Waimbaji wa Chit Chat

mi ntakuja kuimba sauti za mbinguni ninazoimbaga na wazee wanne watupao taji zao
Habari zenu bandugu

Nafurahi kuwa mko wazima wa afya njema na mnaendelea vyema
nashughuli zenu,

Leo nimeonelea niwaletee waimbaji watakao kuwepo katika Tamasha
la Usiku wa Furaha
wa KiCHITCHAT utakaofanyika pale LEO TENA PUB
Tarehe 7/7/2013 na wakataofanya vizuri sana watapewa ZAWADI

Wafuatao ndo wako kwenye mazoezi ya vitendo ili kuipambisha siku hiyo special

View attachment 98932 hawa walijipanga ili kupiga picha ya pamoja kushoto Elli

anayefuata kushoto ni Lady, Filipo, Mwali, KakaKiiza na Mentor

Weingine ni hawa ni ndugu wa familia 1 ya watu8 wao walijituma zaidi kivitendo
na wako kikazi zaidi angalia hapo wakikamua yaani ladyfurahia, charminglady, Lady doctor, Lady Unbreakable, sweetylady, na Passion Lady






Wengine ni hawa hapa wakifanya vitu kabla ya shindano hilo kufika kilele chake
View attachment 98934 hawa ni gfsonwin na sweetlady

mwangalieni Paloma hapa naye yumo ndani ya practice stage





na huyu Smile alikuwa anasinzia kwa uchovu wa mazoezi kwani
niliwapa tizi ile baabkubwa si unajua tena mm ndo mwalimu wao
nataka kitu kitokee kizuri ona hapa

View attachment 98936 acha kusinzia nenda kwenye mazoezi
Mwita Maranya naye kwa vituko acha tu
anamfundisha mtu namna ya kupiga piano hapo


ndani ya mazoezi ladyf nikikamua
jamani hii picha imegoma jamani nifanyeje itoke hapa
Picha zingine angalieni hapo chini zimegoma kuwekeka my friend
wa mwisho ni Kipaji Halisi akiwa kivyake vyake

na weingine hawakujitokeza kwenye mazoezi siku hiyo nao ni Mamndenyi, watu8, Mtambuzi, Nicas Mtei (huyu sijui kama yuko kweli), Ruttashobolwa, stevoh, Donn (njoo upige gitaa), Mr Rocky, Erickb52 ( keyboard inatukodolea macho kwanini huji kwenye zoezi), The Boss, Chimbuvu ( tunakuitaji sauti ya 4), Heaven on earth, AshaDii (sauti ya 1 mama), Bujibuji (sauti ya 3 uko wapi), Zion Daughter (sasa huyu kaadimika kweli sauti 2 njoo), Asprini ( wewe sauti ya zege yakufaa zaidi), Bakulutu, Excellent (sauti ya 3 njoo), ruttashobanyuma (uko wapi), Arushaone (usikimbie tizi wewe), na weingine sikupata majina yao
naomba mniorodheshee majina yao hapa wawepo kwenye orodha ya
waimbaji wa ChitChat.
KARIBUNI TUBORESHE MASS PRAISE YETU
 
jamani marafiki wote mlioko darwing muwepo siku hiyo ya tarehe 06/07/2013 jioni pale leo tupo hapa kwani kutakuwa na shindano la kumchagua mwimbaji bora na atapewa award certificate na zawadi ya ushindi kwa washindi watatu na vilevile tutamtafuta mtunzi bora wa wimbo maalum wa unaohusu CC Jforum .

Vigezo vinavyotakiwa kwenye wimbo huo lazima:
a) kuwe na mpangilio wa vina, silabi na ghani kama ni shairi au ngonjera.
b) kuwe na mtiririko au mpangilio wa maneno yenye mvuto.
c) kuwe na maneno yanayomtukuza Mungu na sio majanga.
d) kuwe na ulinganifu wa matamshi, au silabi, na na beti 2 na kiitikio (chorus) 1
e) kama ni hiphop basi ilinganie vyema kimaneno na sio kujiimbia tu ilimradi.

wafuatayo ndio watakuwa kwenye kinyang'anyiro na mchujo wa kumpata mwimbaji aliyebora wa cc 2013 Bujibuji, watu8, Passion Lady, sweetlady, Lady doctor, Mwita Maranya, amu, Madame B, madame x, Mamndenyi, laizer, Donn, MKALIwakitaa, figganigga, steven Jr. Masatu, stevoh, Erickb52, Filipo, KakaKiiza, gfsonwin, Asprin (atakuwa chief), Paloma (atakuwa chief), Lady Unbreakable, charminglady Catherine Danzi na weingineo waishio dar kama wako na wale wanaotoka mikoani watakuwa na shindano hukohuko upcountry kwao hivyo msikose hiyo tarehe 06 july jamani waambie na wengine tangazo hili

aiseee.......... Haki ya nani lazima hili shindano nishinde my cousin.
 
Last edited by a moderator:
kama uko dar utakuwepo bestito, nitafurahi sana ukiweppo kwani shindano hili bila nyie ndo hivyo tena litaendaana na get together party hivyo jiandaeni kisawasawa si mnajua get together zilivyo eeee, mm sitakuwa jaji majaji ndo wataamua na kumpata mshindi
aiseee.......... Haki ya nani lazima hili shindano nishinde my cousin.
 
usipite wakaribishwa na tunataka uandike wimbo wako hapa ili majaji wafanye mchujo na wa wimbo bora maudhui ya wimbo huo uwe kichitchat zaidi pls usikose kama uko dar na kama uko mkoani tutafanya ziara ya shindano hili uko mikoani pia utakuwepo?
Nimepita....
 
andaeni wimbo ufanyiwe kazi hapa na mchujo utokee hapa kwani kuakuwa na wimbo bora, mtunzi bora na mwimbaji atakayetawala jukwaa vyema bora andika wimbo wa kichitchat hapa
hahahaaa......ngoja nimletee na misumari ili akugongelee vizuri
 
kama uko dar utakuwepo bestito, nitafurahi sana ukiweppo kwani shindano hili bila nyie ndo hivyo tena litaendaana na get together party hivyo jiandaeni kisawasawa si mnajua get together zilivyo eeee, mm sitakuwa jaji majaji ndo wataamua na kumpata mshindi

sitokuwa Dar mpendwa, kwani hilo shindano linaishia Dar tu? Siwasogee hata Arusha jamani mi ninyakue hayo matuzo
 
andaeni wimbo ufanyiwe kazi hapa na mchujo utokee hapa kwani kuakuwa na wimbo bora, mtunzi bora na mwimbaji atakayetawala jukwaa vyema bora andika wimbo wa kichitchat hapa

mi nataka nitungiwe nyimbo then nitaimba mwenyewe
 
Back
Top Bottom