Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Watambue Waimbaji wa Chit Chat

kumbe ulikuwa hujui jamani hebu soma alama za nyakati utambue njoo pale LEO TENA PUB kuna mazoezi ya viungo na kuweka sauti sawa kwani tutakuwa na TAMASHA LA FURAHA siku ya 7/7/2013 hivyo njoo ujumuike ili nawe uwe miongoni mwa waimbaji bora siku hiyo, kwani chief judge Jiwe Linaloishi atakuwepo na mtunza hazina atakuwa watu8

aah hiyo tarehe 7 (tasa) utata hebu fanya tarehe 6/7 hiyo siku ya jumapili iko booked mpaka november 2013

jumamosi imetulia hata ukilipuka kesho yake ni kupumbuzika......
 
utakuwepo siku 6july kwenye furaha concert siku hiyo kwani watakuwepo machief judge na zawadi zitatolewa kwa yule mshindi atakayetokea
Uwe wa Mfalme Suleimani kabisaa..
 
oky itakuwa tarehe 6july kwani wengi wameomba iwe hivyo na si unajua wanafunzi waimbaji walivyokuwa na usongo kila mmoja anataka kushinda na zawadi zitakuwepo tele za kila aina na mambo mengi yatajadiliwa na kufanyiwa upembuzi na atakuwepo mgeni rasmi ambaye ni kinana wa hii cc yetu sasa ona mambo mengi yatakakayofanyika siku hivyo lazima uwepo siku hiyo kwani wewe ni chief judge
aah hiyo tarehe 7 (tasa) utata hebu fanya tarehe 6/7 hiyo siku ya jumapili iko booked mpaka november 2013

jumamosi imetulia hata ukilipuka kesho yake ni kupumbuzika......
 
Asprin atakuwa ni mkaguzi pamoja na amu watakuwa wakaguzi siku hiyo ya tukio hilo na wewe utakuwa mmojawapo wa waimbaji hivyo jitune kuimba vizuri ili uwe mshindi
Je mimi na hommie Asprin tunaweza kushiriki, na nafasi zetu zitakuwa ni zipi, wasaidizi wetu nk?
 
Last edited by a moderator:
tunaomba mje na wageni , ndugu, na marafiki zenu kwani itakuwa siku maalum na furaha kwa wale watakaoshinda kwani zawadi nono zitatolewa kwa washindi watavikwa beji na kupata cheti maalum kwa ajili ya kumbukumbu hiyo

copy Mentor [mwalimu msaidizi] na Paloma [chief], na Mtambuzi atakuwa MC Special sikuhiyo mgeni rasmi atakuwa founder wetu wa cc yaani Invisible atakuja na mpambe wake Moderator
 
Last edited by a moderator:
oky itakuwa tarehe 6july kwani wengi wameomba iwe hivyo na si unajua wanafunzi waimbaji walivyokuwa na usongo kila mmoja anataka kushinda na zawadi zitakuwepo tele za kila aina na mambo mengi yatajadiliwa na kufanyiwa upembuzi na atakuwepo mgeni rasmi ambaye ni kinana wa hii cc yetu sasa ona mambo mengi yatakakayofanyika siku hivyo lazima uwepo siku hiyo kwani wewe ni chief judge

sawa sawa kabisa... haina shaka ntakuwepo tuombe uzima tu, talhamisi ya terehe 4 itabidi tukutane serena ili unipe brief na taarifa nyingine muhimu.
 
oky ila hapo serena ndugu yangu si kwa watu special ndugu yangu? cause umesema itabidi nijitahidi kuwepo, na itabidi Mtambuzi nae awepo
sawa sawa kabisa... haina shaka ntakuwepo tuombe uzima tu, talhamisi ya terehe 4 itabidi tukutane serena ili unipe brief na taarifa nyingine muhimu.
 
Last edited by a moderator:
jamani marafiki wote mlioko darwing muwepo siku hiyo ya tarehe 06/07/2013 jioni pale leo tupo hapa kwani kutakuwa na shindano la kumchagua mwimbaji bora na atapewa award certificate na zawadi ya ushindi kwa washindi watatu na vilevile tutamtafuta mtunzi bora wa wimbo maalum wa unaohusu CC Jforum .

Vigezo vinavyotakiwa kwenye wimbo huo lazima:
a) kuwe na mpangilio wa vina, silabi na ghani kama ni shairi au ngonjera.
b) kuwe na mtiririko au mpangilio wa maneno yenye mvuto.
c) kuwe na maneno yanayomtukuza Mungu na sio majanga.
d) kuwe na ulinganifu wa matamshi, au silabi, na na beti 2 na kiitikio (chorus) 1
e) kama ni hiphop basi ilinganie vyema kimaneno na sio kujiimbia tu ilimradi.

wafuatayo ndio watakuwa kwenye kinyang'anyiro na mchujo wa kumpata mwimbaji aliyebora wa cc 2013 Bujibuji, watu8, Passion Lady, sweetlady, Lady doctor, Mwita Maranya, amu, Madame B, madame x, Mamndenyi, laizer, Donn, MKALIwakitaa, figganigga, steven Jr. Masatu, stevoh, Erickb52, Filipo, KakaKiiza, gfsonwin, Asprin (atakuwa chief), Paloma (atakuwa chief), Lady Unbreakable, charminglady Catherine Danzi na weingineo waishio dar kama wako na wale wanaotoka mikoani watakuwa na shindano hukohuko upcountry kwao hivyo msikose hiyo tarehe 06 july jamani waambie na wengine tangazo hili
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom