Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Watambue Waimbaji wa Chit Chat

tukitoka dar tunaenda mikoani nako kutafuta mshindi wa huko best hivyo kaa mkao wa kula na kushinda, tutakuja arusha kisha tanga
sitokuwa Dar mpendwa, kwani hilo shindano linaishia Dar tu? Siwasogee hata Arusha jamani mi ninyakue hayo matuzo
 
basi tutakuja hukohuko mkaoni tutapanga nani awe kiongozi kwenye hili shindano kwani tunataka liende hata mikoa mbalimbali ili wanajf cc wote washindanishwe kama bongo star search wanavyofanya? waonaje hilo best?
Ndio mpenz
 
basi tutakuja hukohuko mkaoni tutapanga nani awe kiongozi kwenye hili shindano kwani tunataka liende hata mikoa mbalimbali ili wanajf cc wote washindanishwe kama bongo star search wanavyofanya? waonaje hilo best?
Poa sana mamii
Naisubiri.
 
mkuu shaka ondoa wasiwasi wako ndio mwanzo wa maradhi yako... na bara bara imara ni ile iliyopita gari nyingi, tulikuwa tunapeana mawaidha ya mashindano tu hamna cha ziada hata ukimuuliza Heaven on earth
Imebidi niipe red mkuu..hahahaaa! Kwa hiyo umeimarisha ubora wa Heaven on earth?
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu bandugu

Nafurahi kuwa mko wazima wa afya njema na mnaendelea vyema
nashughuli zenu,

Leo nimeonelea niwaletee waimbaji watakao kuwepo katika Tamasha
la Usiku wa Furaha
wa KiCHITCHAT utakaofanyika pale LEO TENA PUB
Tarehe 7/7/2013 na wakataofanya vizuri sana watapewa ZAWADI

Wafuatao ndo wako kwenye mazoezi ya vitendo ili kuipambisha siku hiyo special

View attachment 98932 hawa walijipanga ili kupiga picha ya pamoja kushoto Elli

anayefuata kushoto ni Lady, Filipo, Mwali, KakaKiiza na Mentor

Weingine ni hawa ni ndugu wa familia 1 ya watu8 wao walijituma zaidi kivitendo
na wako kikazi zaidi angalia hapo wakikamua yaani ladyfurahia, charminglady, Lady doctor, Lady Unbreakable, sweetylady, na Passion Lady






Wengine ni hawa hapa wakifanya vitu kabla ya shindano hilo kufika kilele chake
View attachment 98934 hawa ni gfsonwin na sweetlady

mwangalieni Paloma hapa naye yumo ndani ya practice stage





na huyu Smile alikuwa anasinzia kwa uchovu wa mazoezi kwani
niliwapa tizi ile baabkubwa si unajua tena mm ndo mwalimu wao
nataka kitu kitokee kizuri ona hapa

View attachment 98936 acha kusinzia nenda kwenye mazoezi
Mwita Maranya naye kwa vituko acha tu
anamfundisha mtu namna ya kupiga piano hapo


ndani ya mazoezi ladyf nikikamua
jamani hii picha imegoma jamani nifanyeje itoke hapa
Picha zingine angalieni hapo chini zimegoma kuwekeka my friend
wa mwisho ni Kipaji Halisi akiwa kivyake vyake

na weingine hawakujitokeza kwenye mazoezi siku hiyo nao ni Mamndenyi, watu8, Mtambuzi, Nicas Mtei (huyu sijui kama yuko kweli), Ruttashobolwa, stevoh, Donn (njoo upige gitaa), Mr Rocky, Erickb52 ( keyboard inatukodolea macho kwanini huji kwenye zoezi), The Boss, Chimbuvu ( tunakuitaji sauti ya 4), Heaven on earth, AshaDii (sauti ya 1 mama), Bujibuji (sauti ya 3 uko wapi), Zion Daughter (sasa huyu kaadimika kweli sauti 2 njoo), Asprini ( wewe sauti ya zege yakufaa zaidi), Bakulutu, Excellent (sauti ya 3 njoo), ruttashobanyuma (uko wapi), Arushaone (usikimbie tizi wewe), na weingine sikupata majina yao
naomba mniorodheshee majina yao hapa wawepo kwenye orodha ya
waimbaji wa ChitChat.
KARIBUNI TUBORESHE MASS PRAISE YETU
View attachment 99581Mwongo mkuu huyu ninani??
 
Aisee..... ngoja nijipange.... nikirudi hapa ni mistari mwanzo mwisho
 
besti utakuwa umefanya jambolamaana sana weka mistari yakohapa ili majaji wafanye kaizi pembuzi na kwa yakinifu halafu uwepo siku tutakapowapa zawadi washindi 3 nawe uwe mmojawapo kama utakuwa serious kwanijambo hili ni serious kweli na tunawatafuta waimbaji sasa jitokekezeni kwa wingi bestito
Aisee..... ngoja nijipange.... nikirudi hapa ni mistari mwanzo mwisho
 
hahahahah we umekwenda kwenye vijiwe vya wahuni.. wangekutatamua.... bahati yako hukufika ile chemba ya akina Idd lion ya Saigon.... lazima wangekuteka, chief usichukulie ni chief cooker? google kwanza upate jibu la uhakika


aaa wapi...........my boifrend is about to arrive. nnimewekewa sekyuriti mbaya! mpaka najiogopa maana nikijigusa vibaya naweza jaza timu ya makomando!!!
nimegoogle weee lakini mbado.....narudi tena chemba kutafuta maujuzi!
 
aaa wapi...........my boifrend is about to arrive. nnimewekewa sekyuriti mbaya! mpaka najiogopa maana nikijigusa vibaya naweza jaza timu ya makomando!!!
nimegoogle weee lakini mbado.....narudi tena chemba kutafuta maujuzi!

aah wapi sekyuriti gani wakati wajanja siku hizi hata chooni mnamaliza... we jiandae tu kuimba....
 
Back
Top Bottom