Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
Wasumbufu ndo wanaoelewa haraka! hata ukija na nyundo, mimi niko na wewe tu.
we kakae na Heaven on earth!!
mi akhuuu!!
Last edited by a moderator:
Wasumbufu ndo wanaoelewa haraka! hata ukija na nyundo, mimi niko na wewe tu.
Yaani mi nimetoka kidogo tu huyu Jiwe Linaloishi kakuita, tena mlango wa uani? damn! mbona ticha ananifanyia hivyo?
sitokuwa Dar mpendwa, kwani hilo shindano linaishia Dar tu? Siwasogee hata Arusha jamani mi ninyakue hayo matuzo
we kakae na Heaven on earth!!
mi akhuuu!!
Natamani saa kuishuhudia hiyo.utakuwepo siku 6july kwenye furaha concert siku hiyo kwani watakuwepo machief judge na zawadi zitatolewa kwa yule mshindi atakayetokea
Natamani saa kuishuhudia hiyo.
Ndio mpenzina maana uko mkoani best?
Ndio mpenz
Poa sana mamiibasi tutakuja hukohuko mkaoni tutapanga nani awe kiongozi kwenye hili shindano kwani tunataka liende hata mikoa mbalimbali ili wanajf cc wote washindanishwe kama bongo star search wanavyofanya? waonaje hilo best?
usijali with me consider everything is gonna be guud
Imebidi niipe red mkuu..hahahaaa! Kwa hiyo umeimarisha ubora wa Heaven on earth?mkuu shaka ondoa wasiwasi wako ndio mwanzo wa maradhi yako... na bara bara imara ni ile iliyopita gari nyingi, tulikuwa tunapeana mawaidha ya mashindano tu hamna cha ziada hata ukimuuliza Heaven on earth
wewe utakuwepo dar au uko mkoani bestito
View attachment 99581Mwongo mkuu huyu ninani??Habari zenu bandugu
Nafurahi kuwa mko wazima wa afya njema na mnaendelea vyema
nashughuli zenu,
Leo nimeonelea niwaletee waimbaji watakao kuwepo katika Tamasha
la Usiku wa Furaha wa KiCHITCHAT utakaofanyika pale LEO TENA PUB
Tarehe 7/7/2013 na wakataofanya vizuri sana watapewa ZAWADI
Wafuatao ndo wako kwenye mazoezi ya vitendo ili kuipambisha siku hiyo special
View attachment 98932 hawa walijipanga ili kupiga picha ya pamoja kushoto Elli
anayefuata kushoto ni Lady, Filipo, Mwali, KakaKiiza na Mentor
Weingine ni hawa ni ndugu wa familia 1 ya watu8 wao walijituma zaidi kivitendo
na wako kikazi zaidi angalia hapo wakikamua yaani ladyfurahia, charminglady, Lady doctor, Lady Unbreakable, sweetylady, na Passion Lady
Wengine ni hawa hapa wakifanya vitu kabla ya shindano hilo kufika kilele chake
View attachment 98934 hawa ni gfsonwin na sweetlady
mwangalieni Paloma hapa naye yumo ndani ya practice stage
na huyu Smile alikuwa anasinzia kwa uchovu wa mazoezi kwani
niliwapa tizi ile baabkubwa si unajua tena mm ndo mwalimu wao
nataka kitu kitokee kizuri ona hapa
View attachment 98936 acha kusinzia nenda kwenye mazoezi
Mwita Maranya naye kwa vituko acha tu
anamfundisha mtu namna ya kupiga piano hapo
ndani ya mazoezi ladyf nikikamua
jamani hii picha imegoma jamani nifanyeje itoke hapa
Picha zingine angalieni hapo chini zimegoma kuwekeka my friend
wa mwisho ni Kipaji Halisi akiwa kivyake vyake
na weingine hawakujitokeza kwenye mazoezi siku hiyo nao ni Mamndenyi, watu8, Mtambuzi, Nicas Mtei (huyu sijui kama yuko kweli), Ruttashobolwa, stevoh, Donn (njoo upige gitaa), Mr Rocky, Erickb52 ( keyboard inatukodolea macho kwanini huji kwenye zoezi), The Boss, Chimbuvu ( tunakuitaji sauti ya 4), Heaven on earth, AshaDii (sauti ya 1 mama), Bujibuji (sauti ya 3 uko wapi), Zion Daughter (sasa huyu kaadimika kweli sauti 2 njoo), Asprini ( wewe sauti ya zege yakufaa zaidi), Bakulutu, Excellent (sauti ya 3 njoo), ruttashobanyuma (uko wapi), Arushaone (usikimbie tizi wewe), na weingine sikupata majina yao
naomba mniorodheshee majina yao hapa wawepo kwenye orodha ya
waimbaji wa ChitChat. KARIBUNI TUBORESHE MASS PRAISE YETU
Aisee..... ngoja nijipange.... nikirudi hapa ni mistari mwanzo mwisho
View attachment 99581Mwongo mkuu huyu ninani??
Imebidi niipe red mkuu..hahahaaa! Kwa hiyo umeimarisha ubora wa Heaven on earth?
hahahahah we umekwenda kwenye vijiwe vya wahuni.. wangekutatamua.... bahati yako hukufika ile chemba ya akina Idd lion ya Saigon.... lazima wangekuteka, chief usichukulie ni chief cooker? google kwanza upate jibu la uhakika
aaa wapi...........my boifrend is about to arrive. nnimewekewa sekyuriti mbaya! mpaka najiogopa maana nikijigusa vibaya naweza jaza timu ya makomando!!!
nimegoogle weee lakini mbado.....narudi tena chemba kutafuta maujuzi!