Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,139
ladyfurahia mi ntakuwa Chief Judge.... kwa wale watakaoimba wanaweza kuiniona kwa mlango wa uwani ili niwape maksi za kutosha
ladyfurahia mi ntakuwa Chief Judge.... kwa wale watakaoimba wanaweza kuiniona kwa mlango wa uwani ili niwape maksi za kutosha
ladyfurahia mi ntakuwa Chief Judge.... kwa wale watakaoimba wanaweza kuiniona kwa mlango wa uwani ili niwape maksi za kutosha
Jiwe Linaloishi mlango wa uwani tena,ni maksi tu huko au kuna mengineladyfurahia mi ntakuwa Chief Judge.... kwa wale watakaoimba wanaweza kuiniona kwa mlango wa uwani ili niwape maksi za kutosha
usijali ntakuja kuanzia tarehe 2 kwani wiki ijayo ntakuwa safarini.... anza kufanya short list
haa tena chief judge? nitakuwa mwenyewe wewe utakuwa judge wa kawaida kama salama vile
Jiwe Linaloishi mlango wa uwani tena,ni maksi tu huko au kuna mengine
haya nitaifanya usijali kwani wengi hawataki kutoka wanajitahidi sana tena sana hasa huyu Heaven on earth na Passion Lady hawa nimewakubali sana wanafaa kuwa vocal leader wana sauti laini nzuri na wanajua kuvibrate utadhani ni mariah care hapa si mchezo
Ngoja nakuja mazoezini ila niwakute warembo wote wa chitchat.
Kwa kuwa wote ni wangu.
Nimekuja fasta asa kumbe mi ntaimba sauti ya ngapi Heaven on earth? au ya tano?Eli79 mbona sikuoni mazoezin jamani......
fanya fasta
jamani hii thread ni ya upako na yenye mafunzo na yenye mazoezi mema na ushuhuda, hivyo hizo picha zenu zisizo na ushuhuda hapa mziondoe haraka kabla sijamwambia Invisible jamani naweka msisitizo mapema kabla ya hatari kutokea au bomu la nyuklia kutua hapa
haya nitaifanya usijali kwani wengi hawataki kutoka wanajitahidi sana tena sana hasa huyu Heaven on earth na Passion Lady hawa nimewakubali sana wanafaa kuwa vocal leader wana sauti laini nzuri na wanajua kuvibrate utadhani ni mariah care hapa si mchezo
ladyfurahia...nipo mwalimu, sitaki mazoezi ya viungo siyataki. muulize Heaven on earth & Lady doctor watakuambia namaanisha ninimwambie awahi kwani nataka kufunga geti atakayekosa leo ajue kesho atawekwa kwenye orodha ya vitendo vya viungo