Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Watambue Waimbaji wa Chit Chat

kweli wewe unafaa kuwa vocal leader ila sauti yako ina mikwaruzo kwanini lakini? hebu ukifika home kula asali mbichi ya nyuki wadogo na changanya na chumvi kiasi italainika ili kesho jemosi uje ukiwa fiti tena kwa zoezi

uniwekee na mayai kama 3 hivi nasikia yanasaidia kulainisha sauti
 
Muungwana ni vitendo Mpwa, haya nakutaka radhi mbele ya kadamnasi japo ulisahau tu tena nakupiga na verse kabisaaaa

Apataye mke apata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana... (Mit 19:22).
Unywe maji ya birika lako mwenyewe, na maji yenye kububujika katika kisima chako...(Mit 5:15)

Hee lini tena ndugu yangu nitake radhi mie hujui kuwa mm najulikana ulimwengu mzima sasa lini ulinifundisha na wakati Mentor ndiye mhusika mkuu mwana nitake radhi mapema kabla ya zoezi kuanza kesho plzzzzzzzzzzzzzz omba msamaha haraka hapa kwenye kadamnasi kwani umeporomosha mwenyewe hiyo lugha ya ibilisi hapa
 
vitu vyote hivyo vitakuwepo siku ya mazoezi nawe sema chochote utakacho kitawekwa hapo, kutakuwepo na ndimu, pilpili, asali mbichi na mbivu, mayai ya ndege, bata na kuku wa kienyeji, dawa aina ya whitedent na nyinginezo
uniwekee na mayai kama 3 hivi nasikia yanasaidia kulainisha sauti
 
umeomba msamaha laikini bado unaendelea na hako katabia sipendi mie naomba usikoment signature yangu pls kuwa mungwana kama mtu hapendi kitu hicho sio wewe unaendelea kumuuzi usiwe kwazo la namna yoyote kwa nduguyo hivyo sipendi Elli sipendi na tena sipendi kabisa
Muungwana ni vitendo Mpwa, haya nakutaka radhi mbele ya kadamnasi japo ulisahau tu tena nakupiga na verse kabisaaaa

Apataye mke apata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana... (Mit 19:22).
Unywe maji ya birika lako mwenyewe, na maji yenye kububujika katika kisima chako...(Mit 5:15)
 
Last edited by a moderator:
mwambie aondoe hiyo picha isiyona ushuhuda hapa kwanini ameipiga na kuleta hapa mwambie kabla sijawa mwekundu usoni mwangu nitamcharanga fimbo kumi na mikwaju saba na atakimbia ule ukumbi wa mazoezi mara saba huku akisema yeye ni mkaidi mwite haraka aondoe kabla sijawa mchina hapa
kabanga unaitwa na ladyfurahia fasta
ni anakusubiria pale tunakofanyiaga mazoezi ya kwaya
 
tena huje haraka kabla sijawa mchinamchina hapa kwanini umerusha picha isiyo na utukufu hapa wala ushuhuda hapa iondoe haraka kabla sijawa wa kichina sehemu zote na adhabu yako utakimbia ukumbi wa mazoezi mara 7 na kusema kwa nguvu wewe mkaidi
nakwenda, nimekwama hapa tazara foleni kama asubuhi vile....
 
heee! jamani pole kwa hayo mbona sasa hukuja kuniambia wala kunipigia simu ili nimkanye hiyo tabia yake ambayo imetuharibia upako siku ile? siku ingine akirudia lete mashtaka kwangu nitampa onyo kali mbele ya baba yake watu8


mhhh kweli aliharibu upako ila nilimpenda bure kwa kuwa alinipa zawadi nzuri kupita siku zote sweetlady kamu siz wei uje utubu
 
Last edited by a moderator:
hivi unajua hii thread ni ya ushuhuda naomba toa picha zako za uchafu wako hapa haraka sana kwanini wewe umekuwa mkaidi na usiyeambirika kiasi hicho nahisi kwenye mazoezi wewe hutawekwa kwani mwanzoni tu umekuwa kero je mwishoni itakuwaje, ndo mana sikkukuweka kwenye list ya waimbaji kwani nilishaoneshwa ndotoni kuwa wewe hufai kabisa, na naomba urudi home kwenu hufai kuwepo kwenye mazoezi haya labda nimwite Asprini na amu wakukkague tena maana naona umekubuhu kwenye michezo hiyo michafu isiyo na heshima wala adabu hasa kwa mimi teacher wakko huoni aibu kunionesha dharau kiasi hicho, ngoja nimwite mwalimu msaidizi Mentor akukague akili yako ana hao wengine wakukague mwili wako yaelekea umeshakamatwa wewe
twende kwenye mazoezi tusije kuishia kwenye hii bustani...

bustani9.jpg


bustani1.JPG
 
Last edited by a moderator:
heee! jamani pole kwa hayo mbona sasa hukuja kuniambia wala kunipigia simu ili nimkanye hiyo tabia yake ambayo imetuharibia upako siku ile? siku ingine akirudia lete mashtaka kwangu nitampa onyo kali mbele ya baba yake watu8


mhhh kweli aliharibu upako ila nilimpenda bure kwa kuwa alinipa zawadi nzuri kupita siku zote sweetlady kamu siz wei uje utubu
 
Last edited by a moderator:
atakuja usijali kesho utakuwepo kwenye zoezi la vitendo vya viungo kwani nimemwita mwalimu toka pale THT aje kutupa tizi kidogo tuwe fiti kwenye viungo vyetu tena naomba mvae nguo za michezo acha nimwite amu akaazinunue ili kila mmoja awe na ya kwake asije vaa ya mwenzake
mhhh kweli aliharibu upako ila nilimpenda bure kwa kuwa alinipa zawadi nzuri kupita siku zote sweetlady kamu siz wei uje utubu
 
Last edited by a moderator:
atakuja usijali kesho utakuwepo kwenye zoezi la vitendo vya viungo kwani nimemwita mwalimu toka pale THT aje kutupa tizi kidogo tuwe fiti kwenye viungo vyetu tena naomba mvae nguo za michezo acha nimwite amu akaazinunue ili kila mmoja awe na ya kwake asije vaa ya mwenzake


Bora amu anunue maana wengine wanawez akuja na vituko aise
 
Last edited by a moderator:
tena huje haraka kabla sijawa mchinamchina hapa kwanini umerusha picha isiyo na utukufu hapa wala ushuhuda hapa iondoe haraka kabla sijawa wa kichina sehemu zote na adhabu yako utakimbia ukumbi wa mazoezi mara 7 na kusema kwa nguvu wewe mkaidi

nisamehee bure mimi naogopa viboko, ila ni taahadhari imetolewa maana waombaji wengi wanachelewa au hawaji na huo ndio ushuhuda... wakanye
 
nimemchagua yeye kwani nawajua sana hawa wanafunzi wangu najua wataleta mabalaa bure kwenye zoezi na watu washindwe kufanya mazoezi kwa mshangao watakaoona, ndo mana nimefanya maandalizi hayo ili wasije leta balaa bure
Bora amu anunue maana wengine wanawez akuja na vituko aise
 

mi niliimba mpaka sauti
ikanikauka,hapa nilipo
nina kazi ya kunywa mayai mabichi tu!!

 
ikifika zamu yao nitawakanya ni bora umeomba msamaha nimekusamehe bure usirudie tena ila ukija kesho kwenye zoei=zi utakimbia mara 7 ukumbini halafu utajumuika kwenye mazoezi na wenzako usinunue trouzer ziko tayari zimeshaandaliwa na amu
nisamehee bure mimi naogopa viboko, ila ni taahadhari imetolewa maana waombaji wengi wanachelewa au hawaji na huo ndio ushuhuda... wakanye
 
Last edited by a moderator:
pole kweli nilikuona ulivyojituma siku hile ya kwanza ya zoezi hivyo nimeandaa asali mbichi utakunywa kwenye zoezi lingine na kama unapendelea chumvi utalamba kidogo ondoa shaka napenda mtu anayejituma kwenye nafasi yake na siio huyu mkorofi Bujibuji

mi niliimba mpaka sauti
ikanikauka,hapa nilipo
nina kazi ya kunywa mayai mabichi tu!!

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom