Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Watambue Waimbaji wa Chit Chat

nikikaa mwenyewe lazma niharibu flow ya masongi, asa bora uchague..wewe au Heaven on earth manake nasikia nyie ndo lead singers
ukikaa karibu na mimi jua
kabisa nitakaa na nyundo maana
wewe kiumbe una fujo,ukizingua nakuzimisha
mazoezi yakimalizika nakuzindua!!
 
mbona chief judge madam rita yeye ni mratibu, chief na ni mwongozaji na hata wanaotoa filamu nao ni hivyohivyo nami nimefuata nyuzi zao au unasemaje happo
aah ntake radhi huwezi kuratibu wewe na kuwa chief Judge wewe kanuni hazisemi hivyooo
 
unajua mwalimu bora na mbunifu ni yule anayetambua kipaji cha mwimbaji na mwanafunzi wake hivyo kwa mara ya kwanza nilvyowaona nikawajaribisha mlinifanya moyo wangu uwapende na kuona kuwa kumbe wako wanafunzi wanaojituma katika nafasi zao na ndo mana nimewaweka muwe leader kwa wengine

bora umeliona hilo aunt
watoto tumejaaliwa sauti ya
kumtoa nyoka pangoni,tukiimba
sauti ka vinanda,kweli na tupewe
nafasi ya vocal leader kabisaaaa!!halafu Jiwe Linaloishi
safari zako hua haziishi swahiba?!!
 
itabidi nikufundishe mpaka uweze ili nawe ujitegemee kama wenzako kwani wao waliwezaje nawe ushindweje? unaweza yote katika yeye akutiaye nguvu yaani Mungu soma efeso 3:14
nikikaa mwenyewe lazma niharibu flow ya masongi, asa bora uchague..wewe au Heaven on earth manake nasikia nyie ndo lead singers
 
Back
Top Bottom