ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
unamfundisha nini huyo, muombe msamaha kwani hizo picha zake zimeondoa ushuhuda hapa
itabidi ajifunze kupiga drum maana naona kidogo hapo ataweza kwani ni mkorofi wenzake wakiimba yeye huanza kuwatekenya ovyo halafu wakicheka yeye anakauka utadhani akufanya jambo hilo jamani sijui nimfanyeje mie huyu Bujibuji
ikifika zamu yao nitawakanya ni bora umeomba msamaha nimekusamehe bure usirudie tena ila ukija kesho kwenye zoei=zi utakimbia mara 7 ukumbini halafu utajumuika kwenye mazoezi na wenzako usinunue trouzer ziko tayari zimeshaandaliwa na amu
sawa mwalimu, shikamoo...
usijali aunt
mi nitakwambia dawa
yake baadae!!
mi concentration F hapa......
Upako wote umeondolewa
Naomba usiwaimbie wengine Heaven on earth, niimbie mimi na mimi peke yangu. Raha unayonipa sitaki wengine waishee. Nshakutungia mashairi ya wimbo mpya...
leo si utakuja mazoezi njoo na hayo mashairi tu........
tukipata chansi kidogo tu tunamtoroka choir master wetu ladyfurahia
marahaba mwanafunzi usisahau kesho basi uwepo na uwahi sana
sawa, ubuyu pia usisahau kuleta