Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Huyu ni Mpwa wangu mmoja hapa hapa JF hua anachonga sana kwenye thread zake, jina lake linaanza na L
huyu nae nani....?

uchi.jpg
 
baada ya kudance na kudrink...
 

Attachments

  • kikojozi.jpg
    kikojozi.jpg
    9.2 KB · Views: 44
ndo maana nimekuchagua uwe soloist wa kundi hili ambalo lina watu 1000 toka mikoa yote ya tanzania na kambi liko pale LEo tena pub
na tena unikute naimba taarab utanitaka wengi hudhan mie ni Nasma Kadogo(rip) kwenye kuimba lol!
 
sasa muda wa asubuhi wengine wako kwa job na skuli hivyo itakuwa ngumu kwa muda wa jioni ndo unafaa zaidi na halafu jmosi hii watu mjipange ili tufanye mazoezi kwenye nyumba ya sanaa pale mjini si mnapafahamu? na wamikoani waombe likizo waje kwenye gwaride hili nono au sio
Kwenye mazoezi nilikuja
tatizo ni foleni ya bongo
kabla sijafika muda wa mazoezi ukaisha
nikaamua kurudi zangu hapa hotelini

tupangie tena muda mwingine wa mazoezi
iwe walau asubuhi kabla ya saa moja.
 
sipendi surprise hiyo
Apataye mke apata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana... (Mit 19:22).
Unywe maji ya birika lako mwenyewe, na maji yenye kububujika katika kisima chako...(Mit 5:15)
 
Huwa sipendi kuchokozwa hasa kwenye maneno matakatifu ya Mungu naomba kama umeshindwa kukoment hapa usipende kubeza na kuwa mwenye mizaha sipendi kabisa na niko serious
Apataye mke apata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana... (Mit 19:22).
Unywe maji ya birika lako mwenyewe, na maji yenye kububujika katika kisima chako...(Mit 5:15)
 
heee! jamani pole kwa hayo mbona sasa hukuja kuniambia wala kunipigia simu ili nimkanye hiyo tabia yake ambayo imetuharibia upako siku ile? siku ingine akirudia lete mashtaka kwangu nitampa onyo kali mbele ya baba yake watu8
ladyfurahia mbona mazoezi nilikuja ila tatizo mwimbaji mwenzangu sweetlady akanitorosha kabla sijafika maozezi
 
Last edited by a moderator:
Elli unaona siku hizi Asprin haonekani humu
yuko kozi ya hivi vitu kule makumira
karibia tutamkabidhi ile fimbo ya kulichunga kundi la Bwana.
Haya wewe nawe tangu lini Mpwa wangu ukaja na mambo ya Pastor Mamndenyi ? Hii kali sana sana, ngoja niende zangu kwenye mazoezi ya kwaya mie
 
Last edited by a moderator:
twende kwenye mazoezi tusije kuishia kwenye hii bustani...

bustani9.jpg


bustani1.JPG
 
nimetoka kumwambia mwenzio muda si mrefu sipendi maneno ya mzaha wa kejeli kwenye maneno ya matakatifu ya Mungu sipendi na narudia sipendi kumffanyia Mungu mzaha kiasi hichi kama umeshindwa kukoment hapa bora uache kuliko kuleta mzaha kwenye maneno ya Mungu. I'M SEROUS!
Apataye mke apata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana... (Mit 19:22).
Unywe maji ya birika lako mwenyewe, na maji yenye kububujika katika kisima chako...(Mit 5:15)
[/QUOTE]
 
Hee lini tena ndugu yangu nitake radhi mie hujui kuwa mm najulikana ulimwengu mzima sasa lini ulinifundisha na wakati Mentor ndiye mhusika mkuu mwana nitake radhi mapema kabla ya zoezi kuanza kesho plzzzzzzzzzzzzzz omba msamaha haraka hapa kwenye kadamnasi kwani umeporomosha mwenyewe hiyo lugha ya ibilisi hapa
Hilo pozi la kumbatio la kiuonni nilichukua almost half an hour kumfundisha ladyfurahia jinsi ya kukumbatia........
 
Last edited by a moderator:
kweli wewe unafaa kuwa vocal leader ila sauti yako ina mikwaruzo kwanini lakini? hebu ukifika home kula asali mbichi ya nyuki wadogo na changanya na chumvi kiasi italainika ili kesho jemosi uje ukiwa fiti tena kwa zoezi
Sauti yangu humtoa nyoka pangoni hata babu Asprin analijua hilo
hapo nikijituma

View attachment 98944

huyo chini sijui atakuwa nani vile
 
kwani wewe nani amekupa kibali cha kujichomeka hapa na wakati hujaonekana wiki 2 kwenye zoezi adhabu yako utapiga gitaa la solo mpaka uweze la ssi hivyo utakuwa pembeni ukikagua sauti zao kama zinatoka kwa mpangilio
Nilikua natengeneza sauti..
Nilienda kwanza kwa mama kuchukua mayai ya kienyeji
 
naomba usitumie thread hii kwa picha zako zisizo na ushuhuda hapa hili post ni ya upako na imevuviwa hivyo ondoa picha yako haraka kabla sijamwambia Invisible hapa pls niko serious
huyu nae nani....?

uchi.jpg
 
Last edited by a moderator:
jamani hii thread ni ya upako na yenye mafunzo na yenye mazoezi mema na ushuhuda, hivyo hizo picha zenu zisizo na ushuhuda hapa mziondoe haraka kabla sijamwambia Invisible jamani naweka msisitizo mapema kabla ya hatari kutokea au bomu la nyuklia kutua hapa
hahahahahahaaa huyo si nanihiiii..............!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom