Wamegeuza kuwa biashara sasa, kama ndo hivyo, figo zetu zitaendelea kuchoshwa kila kukicha.Maabara na zahanati nyingi sana hawatoi majibu sahihi/ya kweli kinachofanyika ni guess works na uhafifu wa vitendea Kazi na pia kwa ajili ya kuuza dawa
Kumbe ni uzao wa mjini Nansio.Nansio madukani 🤗