Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

Hii app pia unatumia ya Jf imekuwa designed na Mtanzania..

All in all "ONE IDIOT IDENTIFIES ANOTHER"..

Binafsi Nina rafiki zangu ni IT wazuri Sana.. watu wanafanya mpaka project za nnje ya nchi.. Sweden, Norway, Denmark, Italy n.k kupanga ni kuchagua
App ya JF ni app ya kutolea mfano kweli?
 
ungewatafta wale wanaoibaga kura za chadema kwenye uchaguzi au serikali inakodigi nje ya nchi......
 
Hii app pia unatumia ya Jf imekuwa designed na Mtanzania..

All in all "ONE IDIOT IDENTIFIES ANOTHER"..

Binafsi Nina rafiki zangu ni IT wazuri Sana.. watu wanafanya mpaka project za nnje ya nchi.. Sweden, Norway, Denmark, Italy n.k kupanga ni kuchagua
Kumbe naongea na bogazi aliye kudanganya ni nani ? Kuhusu jf
 
Mtoa mada unatoa generalization kubwa na unadhalilisha watu ambao kweli wanaisotea hii fani usiku na mchana, sina data kamili kuweza kusema kama wataalam wa IT ni 'zero' kama unavyosema ila bado sijakata tamaa na I.T yetu kwa sababu wapo watu wengi ambao wana passion ya kweli na hii field na kuita wote 'zero' unakuwa unawakosea.

Umepata bahati mbaya kukutana na matapeli isikufanye utolee hasira kwa kila mtu, ingawa inabidi nikubali kuwa muda mwingi sisi watu wa I.T tumejawa na maneno mengi badala ya kuonesha kazi, mtu anayebishia uwezo wako ananyamishwa na kazi sio kuanza kusutana kama wadada wa uswahilini, usiseme tu nimefanya project kibao au ninajua mtu aliyefanya project kibao...zipo wapi hizo project??, zote ni project za siri ambazo hazitakiwi kuoneshwa public demo?? Je, hutaki kuonesha portfolio ili watu wakuone upate kazi nyingi zaidi??.
Ukweli ni kwamba bado level ya I.T yetu ipo changa na bado wengi wanaoipambania ili kuikuza, ila wengi wanafanya kama show-off kuonekana wanajua vitu wasivyoviweza, maneno mengi na hakuna kazi hawa ndio wanaoharibia wote.

Kama hukubaliani na mtoa mada then weka link hapa ya kampuni/watu wazuri na project zao na clients waliowafanyia kazi, hii itasaidia zaidi kuelimisha watu sio maneno tupu.
 
kituko cha mwaka, kama hujui piga kimya
XenForo ni mtanzania siyo
Sasa tatizo la wa bongo lipo hapo.. kwenye kukubali vya kwetu tume kuwa ni watu wazito Sana.. Ila pia ushamba mwingi na kujifanya wajuaji kunachangia.

Jamii forum ilianzishwa mwaka 2006 hiyo XenForo imeanzishwa mwaka 2011, tulioanza kutumia jamiiforum bila mobile app lazima tutakuwa tunaelewa improvement ambazo wamekuwa wakifanya tokea hii social media ianze.

Iko hivi.. ikikitokea Leo mfumo umebadilika na kuhamia kwenye mfumo tofauti na android n.k na ikatokea this framework ya XenForo haisapoti lazima Jf watafanya Ku adopt mfumo mwingine.

Kwahiyo jifunze kutofautisha mkuu.. Jf kama kama Jf itabaki kuwa palepale yani.
 
walianza na vBulletin (ya 2000)
yaani mkuu umekomaa kuisifia iyo jF app ambayo ni web app ?
Yani hata ikiwa ni web app..kinachitakiwa kuangaliwa hapa ni namna ambavyo imeleta impact kwenye jamii yani umefanikiwa kusolve problem kwenye jamii kmaa lengo la uanzishwaji wake.

Hicho ndio cha kuangalia mkuu..

Kunatifauti kubwa Sana Kati ya "working smart and working hard" huwezi dunia yetu sasahivi inahitaji watu ambao they are working smart not hard.

Mfano kwenye Ile case ya Jf wangekuwa na sever zao hapa unahisi ni nin kingetokea?
 
Utatangaza project ndogo kama hio kwenye vyombo vya habari. Any way IT wa Tz ni waongeaji sana utafikiri ndio wagunduzi wa blockchain technology. Narudia tena wajijengee uwezo waache kushinda twitter
Na kuandaa events za majina mazuri, wengi wao ni madalali wa technology na waongeaji wazuri lakin hamna kitu
 
Wabongo nomaaaaa

One time nilienda kwenye ofisi moja ipo pale mlimani (sijui bado wapo) ka laptop kangu kalikua na shda,

ofisi yao yaani ni full A/C, ni imepambwa kweeeeeli, neno solution kila kona, nikawelezea shida ya pc yangu kijana moja pale anaonekana ananiskiliza kwa umakini yaani smart kweliiii

sasa bwana tukawasha ka pc kangu, fundi akaangalia pale, akazunguka zunguka pale weee, nikaona kachukua ka iphone six kake kaingia YOTUBE akanza kusearch ile meseji inayo desplay pale kwenye pc yangu

kafuatilizia maelekezo kaanza kuya apply kwenye pc yangu, ikashindikana, akaendelea ku scrow chini, anaangalia video tofauti tofauti mwisho akanambia we nenda utarudi kesho!!

Nikamwambia haya, nkaondoka. Kesho yake nimerudi shida iko pale pale!! Sasa wakati ananipanga mwenzie akamwambia hem cheki hii video (yotube)

Akajalibu ile meseji ikapotea, nikalipa nikazima nikaondoka, nimefika nyumbani kuwasha tu, meseji hiyoooo nikaona isiwe tabu nikaingia youtube na mie mpaka nikatibu mwenyewe. So bongo tunamafundi IT wa YOUTUBE kibao
Developer mpaka aingie YouTube, kitu ambacho wewe unaweza kufanya
 
Back
Top Bottom