Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

Naandika kwa uchungu sana. Nilipewa instructions ya kutafuta kampuni ya IT hapa Tz kudisign app na web kwa ajili ya masuala fulani fulani. Nikawacheck jamaa fulani ni IT wazuri tu (kwa mjibu wao na ka kampuni kao uchwara) na mmoja kasoma US mwingine China. Nikawapa 15,000,000/= waanze kazi. Hii ni baadhi ya malipo ya awali.

Miezi mi4 hakuna feedback. Tukasema tusubiri labda jamaa wako kazini. Miezi 6 hola. Miezi 12 hola. Huku na huku nikapigiwa simu kazi tayari. Nikasema poa. So nilikuwa mbali. Nikamtafuta software engineer ni mkenya afanye testing. Aisee jamaa alicheka sana. Ikasema hao vijana wamegoogle templates wameedit na kupachika na ni bogus development.

Idea ilikuwa kuwa na software inayotrace magari ya kumpuni, yako wapi, yametembea kilo ngapi and other staffs-Real time data.

Wakaishia kutengeneza utopolo tu. I guess wako humu pia. Ilibidi tulipe upya tukapeleka project Rwanda. Vijana wamedesign from scratch na within 4 month wamekabidhi kazi.

Sasa naelewa kwa nini watu hawataki kuwekeza kwenye IT Bongo. Ujinga mtupu. Hawa vijana wetu wafuge tu kuku kwa kweli. Hivi nyie ndo mtaweza hata kushindana na Bolt+uber?.

Anyway sijui CS/IT mnafundishwa nn huko vyuoni. Natamani kujua mitaala yenu.

100% disappointed.
Wewe ulitumia vigezo gani kuwapa kazi hao jamaa? Nadhani wewe ndo unatatizo, na zero kabisa
 
Mkuu unaongelea sana fedha kuwa jamaa alitoa fedha ndogo, lakini jamaa anaongelea competence kuwa wabongo tupo chini!! Sasa kuhusu fedha ni kwa nini unasema ni ndogo? Yaani kuna vifaa vya kununukiwa ambavyo havitoshi hiyo fedha au ni vipi? Dhana ya jamaa ni competence, yaani mfano hao IT wangepewa assignment chuo au field project, wasingefanya hiyo kazi, sababu hawajalipwa? Maana assigment ni sehemu ya somo, unafanya bure. Hiki kigezo kuwa hela ni ndogo kinabase wapi?
Kwa professionals mara nyingi kama unajua unachofanya na kazi yako inaeleweka pia utakuwa unajua thamani yako kwenye soko kwa hiyo ni vigumu sana kumpata mtu anayajua anachifanya kwa bei chee, now sijui size ya hiyo kazi na sijui kama hiyo hela ni ndogo au kubwa lakini tunasema "You get what you pay for".
Hela ndogo pia inamweka hata mtu ambaye ni competent kwenye hali ngumu, atumie muda wake kwenye project yako ambayo hailipi au afanya minimum effort huku akiendelea kutaffuta na kufanyia kazi project za maana zaidi.

Kosa kubwa zaidi ni jamaa ametoa kazi bila kufanya due diligence yake mwenyewe, hao jamaa aliwatoa wapi? Alichunguza kazi gani ambayo walifanya previously? Alipata recomendations zozote kutoka wateja wa hao jamaa ambao walifanyiwa kazi before etc.

Na cha muhimu zaidi labda hajamanage hiyo project vizuri, sio sawa kuwapa watu kazi na hela kisha kukimbia miezi sita, alitakiwa aweke "milestones" katika utekelezaji wa hiyo kazi mpaka iishe, na nakuhakikishia baada ya kuchemka mara ya kwanza hakuenda Rwanda na kugawa tu kazi kisha kupotea miezi, lazima alijipanga vizuri zaidi katika kuwachagua na kuwasimammia hao watu.
 
Kwa professionals mara nyingi kama unajua unachofanya na kazi yako inaeleweka pia utakuwa unajua thamani yako kwenye soko kwa hiyo ni vigumu sana kumpata mtu anayajua anachifanya kwa bei chee, now sijui size ya hiyo kazi na sijui kama hiyo hela ni ndogo au kubwa lakini tunasema "You get what you pay for".
Hela ndogo pia inamweka hata mtu ambaye ni competent kwenye hali ngumu, atumie muda wake kwenye project yako ambayo hailipi au afanya minimum effort huku akiendelea kutaffuta na kufanyia kazi project za maana zaidi.

Kosa kubwa zaidi ni jamaa ametoa kazi bila kufanya due diligence yake mwenyewe, hao jamaa aliwatoa wapi? Alichunguza kazi gani ambayo walifanya previously? Alipata recomendations zozote kutoka wateja wa hao jamaa ambao walifanyiwa kazi before etc.

Na cha muhimu zaidi labda hajamanage hiyo project vizuri, sio sawa kuwapa watu kazi na hela kisha kukimbia miezi sita, alitakiwa aweke "milestones" katika utekelezaji wa hiyo kazi mpaka iishe, na nakuhakikishia baada ya kuchemka mara ya kwanza hakuenda Rwanda na kugawa tu kazi kisha kupotea miezi, lazima alijipanga vizuri zaidi katika kuwachagua na kuwasimammia hao watu.
Ni kweli unachosema kuwa Pro unatambua ubora wa kazi yako na hivyo unakuwa na kiwango kinachostahiki malipo yako. Sasa kwa kuwa fani haipo regulated, maana yake kila mmoja anajipangia fedha kulingana na anavyotaka, na mkishakubaliana basi kila upande ni lazima uheshimu makubaliano yaliyofikiwa.

Hiyo milioni 15 nilifikiri ni kiwango cha awali kilichotajwa na hao IT kwa kuridhika, hawakutakiwa kutoa kazi mbovu sababu tu umetoa fedha ndogo. Hiyo you get what you pay for ni kwa bidhaa lakini sio kwa utaalamu - mtu huwezi kufanya kazi nusunusu ati kwa sababu umelipwa hela ndogo utaharibu hata reputation yako na hutapata kazi mbeleni. Kwa mtazamo wa hela, ni kama jamaa anasema haohao IT wangelipwa pesa ndefu wangefanya kazi vizuri, kwa hiyo unaona kuwa uwezo wanao ila wamefanya makusudi sababu ya dau walilopewa, kitu ambacho sio kizuri. Fei Toto amevunja mkataba kwa kutaka kulipwa fedha nyingi baada ya kuona wenzake wanalipwa hela nyingi kuliko yeye, akaona kumbe ni jambo ambalo linawezekana yeye kulipwa fedha hiyo milioni 20+ kwa kiwango cha mpira kilekile alichokuwa akilipwa milioni 4, ameona hawezi kucheza chini ya kiwango kwa sababu fedha anayolipwa ni ndogo, ila ameomba nyongeza kwa kuwa anaamini hataweza kujichezesha chini ya kiwango, asiharibu soko lake.

Kwa hiyo ishu ya bei gani, kwenye mambo ya pro isiyokuwa regulated nafikiri ni maamuzi ya mfanyaji, ila sio sawa kusema kuwa fedha ndogo ndio imepelekea utendaji kuwa hafifu. CR7 atajipangia mshahara kadhaa, Messi atajipangia, Mbappe nk mfano sasa CR7 analipwa milioni 200 basi hatuwezi sema Messi atakuwa na kiwango duni kuliko CR7 kwa kuwa analipwa hela ndogo, au PSG wategemee poor performance sababu ya mshahara wanaolipa kuwa mdogo. Nafikiri kazi hizi za utaalamu zinazingatia passion ya mtu kabla ya maslahi, mtu anatakiwa kukataa kuchukuq kazi ikiwa haina maslahi, ukishachukua kazi ni kuifanya kwa kiwango kile cha juu kabisa bila kujali umelipwa vipi isipokuwa kama inahitaji manunuzi ya vifaa. Nimeweka mifano ya soka kwa makisio tu, sina uhakika kama viwango vya mishahara havipo regulated.
 
Tatizo sio IT pros, shida ni wateja Imagine mtu anakupa utengenese website au software ya biashara yake then ukimuuliza info kuhusu hiyo biashara yake anakwambia we tengenesa tu. Ukimuomba mtazamo wa software yake anataka iweje anakwambia we tengenesa tu. Binafsi niliona mtu kampa mtu kazi amfanyie CMS desktop software, kampa kazi jumatatu asubuhi afu jumanne ashaanza kulalamika bado tu mbona unachukua mda sana, hadi anamwambia kuna jamaa mbona hiyo anafanyaga masaa machache tu kwa siku moja.ikabidi jamaa amwambie peleka kwa huyo jamaa. Baada ya wiki akarudi kwa jamaa kawa mpole sijui kilichomkuta huko.
 
We mwenyewe ni zero kuwachukuwa watu ambao hawako qualified hukutaka hata kujiridhisha kujua ni project zipi za software wamewahi fanya.Trust me kuna vichwa vichwa vya programming tunavyo vinatisha.Umeenda kuokota vilaza jalalani halafu unakuja humu kusema IT wa Tz ni zero unatutendea haki kweli bwana Zero
 
Mkuu unaongelea sana fedha kuwa jamaa alitoa fedha ndogo, lakini jamaa anaongelea competence kuwa wabongo tupo chini!! Sasa kuhusu fedha ni kwa nini unasema ni ndogo? Yaani kuna vifaa vya kununukiwa ambavyo havitoshi hiyo fedha au ni vipi? Dhana ya jamaa ni competence, yaani mfano hao IT wangepewa assignment chuo au field project, wasingefanya hiyo kazi, sababu hawajalipwa? Maana assigment ni sehemu ya somo, unafanya bure. Hiki kigezo kuwa hela ni ndogo kinabase wapi?
Huyu mtoa mada kwanza anasema hao wadau wamesoma china na marekani,
Pili akasikia tu kuwa hao jamaa wanakampuni na wakamweleza wao ni wazuri
akawaamini akawapa 15m very unprofessional hajui kama washawahi kufanya project ya embedded software
au smart devices programming inayoendana na project yake.
Assignment ya chuo sio biashara na uzito wake utafanana na assignment.
Sikatai kuna programmer wabovu(vishoka) lakini wazuri wapo wengi sana kwa sababu na interact nao
kila siku.
 
Kwenye halmashauri huko ndiko kuna vituko +, IT hajui hata database
IT anayejitambuwa akae Halmashauti kufanya nini.??

Aslimia kubwa ya watu mnaowaita IT. Ni wa mchongo sana,

wanashindwa kuwapa nafasi vijana wenye knowledge na passion ya fani hiyo wanawapa michongo watu wasio na idea wala interest waka kuwa curiously na jambo lolote kuhusu IT
 
IT anayejitambuwa akae Halmashauti kufanya nini.??

Aslimia kubwa ya watu mnaowaita IT. Ni wa mchongo sana,

wanashindwa kuwapa nafasi vijana wenye knowledge na passion ya fani hiyo wanawapa michongo watu wasio na idea wala interest waka kuwa curiously na jambo lolote kuhusu IT
Ma IT wazuri haswa wa Kitanzania hawakai Tanzania.

Kuna kijana namfahamu toka mdogo, anaitwa ... Madati. Yupo kwenye executives wa IT company kubwa sana USA.

Kuna bint8 mwingine wa Kitwnzania aoiwah8nk7sh8nda tuzo ya Kimwtaufa kwenye mambo hayo hayo ya IT, sifahamu yuko wapi kwa sasa.

Nafahamu kuwa nchi zenye pesa zao, kwa gharama yoyote ile, hawaviachii vichwa vibaki ushuzini huku, ni waste of assets.
 
Ulikosea mwanzoni.... ulipaswa utangaze kazi yako kama bid... vijana waombe... ufanye evaluation kwa vigezo ulivyotaka wewe ambavyo ungeviweka wazi wakati wa tangazo....

Kuwaita wote ni zero... umeakosea... omba radhi....
 
Naandika kwa uchungu sana. Nilipewa instructions ya kutafuta kampuni ya IT hapa Tz kudisign app na web kwa ajili ya masuala fulani fulani. Nikawacheck jamaa fulani ni IT wazuri tu (kwa mjibu wao na ka kampuni kao uchwara) na mmoja kasoma US mwingine China. Nikawapa 15,000,000/= waanze kazi. Hii ni baadhi ya malipo ya awali.

Miezi mi4 hakuna feedback. Tukasema tusubiri labda jamaa wako kazini. Miezi 6 hola. Miezi 12 hola. Huku na huku nikapigiwa simu kazi tayari. Nikasema poa. So nilikuwa mbali. Nikamtafuta software engineer ni mkenya afanye testing. Aisee jamaa alicheka sana. Ikasema hao vijana wamegoogle templates wameedit na kupachika na ni bogus development.

Idea ilikuwa kuwa na software inayotrace magari ya kumpuni, yako wapi, yametembea kilo ngapi and other staffs-Real time data.

Wakaishia kutengeneza utopolo tu. I guess wako humu pia. Ilibidi tulipe upya tukapeleka project Rwanda. Vijana wamedesign from scratch na within 4 month wamekabidhi kazi.

Sasa naelewa kwa nini watu hawataki kuwekeza kwenye IT Bongo. Ujinga mtupu. Hawa vijana wetu wafuge tu kuku kwa kweli. Hivi nyie ndo mtaweza hata kushindana na Bolt+uber?.

Anyway sijui CS/IT mnafundishwa nn huko vyuoni. Natamani kujua mitaala yenu.

100% disappointed.
Siungeniambia tu kwa bei rafiki ninao wawili mmoja ni ndugu yangu anajua vyema chochot kile cha IT . Anaweza kufanya
 
Il hiyo website ya nit ukibonyeza advanced unaweza ukaenda. Hapo google wamepaziba kwa sababu wanahofu nayo. We nguli wa it hujui hilo kweli?
Bad UI, UX hizi web app hazitengenezwi kwa ajiliya manguli wa IT,

Zinapaswa kuwa simple kwa watumiaji wa kawaida. Mtu akikutana na error kama hito anapanic bajui aanzie wapi

Hiko chuo hakujiui umuhimu wa kutumia domain yenye ssl certificate..........protocol- https
 
Naandika kwa uchungu sana. Nilipewa instructions ya kutafuta kampuni ya IT hapa Tz kudisign app na web kwa ajili ya masuala fulani fulani. Nikawacheck jamaa fulani ni IT wazuri tu (kwa mjibu wao na ka kampuni kao uchwara) na mmoja kasoma US mwingine China. Nikawapa 15,000,000/= waanze kazi. Hii ni baadhi ya malipo ya awali.

Miezi mi4 hakuna feedback. Tukasema tusubiri labda jamaa wako kazini. Miezi 6 hola. Miezi 12 hola. Huku na huku nikapigiwa simu kazi tayari. Nikasema poa. So nilikuwa mbali. Nikamtafuta software engineer ni mkenya afanye testing. Aisee jamaa alicheka sana. Ikasema hao vijana wamegoogle templates wameedit na kupachika na ni bogus development.

Idea ilikuwa kuwa na software inayotrace magari ya kumpuni, yako wapi, yametembea kilo ngapi and other staffs-Real time data.

Wakaishia kutengeneza utopolo tu. I guess wako humu pia. Ilibidi tulipe upya tukapeleka project Rwanda. Vijana wamedesign from scratch na within 4 month wamekabidhi kazi.

Sasa naelewa kwa nini watu hawataki kuwekeza kwenye IT Bongo. Ujinga mtupu. Hawa vijana wetu wafuge tu kuku kwa kweli. Hivi nyie ndo mtaweza hata kushindana na Bolt+uber?.

Anyway sijui CS/IT mnafundishwa nn huko vyuoni. Natamani kujua mitaala yenu.

100% disappointed.
We name agility Michael hakuna, unalipaje 15M kwa kits ambacho unaweza Pata kwa being che kabisa na mature?

Mambo ya kizamani hayo ya kuwa na lists templates unatumia poker yako, simulation hizi with cloud solution, software as a service ndio mango mazima.
 
Na wana bahati sana na strategy nzuri za kuvutia wateja.Wanapoharib halaf tunatokea sie wengine bas hata fursa ya kusikilizwa hupati.

Kuna project yangu flan i was introducing to institution flan hiv upcountry (nilifanya hiv purposely cz town dar hawa programmer uchwara wameshachua kabis haki ya hewa)

Nitawaelezea clients wawil kati ya wengi niliokutana nao.

1.Wa Kwanza.
Baada ya kufanya presentation na demo it took them over 3 months kufanya baxkground check na kujiridhisha kuhus what i was offering.
Wakaja nichek December 2021 kwamba "aisee now we want to deploy ur software kwenye kaz zetu,lets so the system"
Tulipoanza kaz yule boss akanambia akasema tulishakua na system kama hii yako ila haiku deliver kabisaaa..Na kila tulipokua tunawa consults technicians ili wafanye adjustments flan flan wakawa wanapiga chenga af wanaona kama tunawasumbua.Baada ya muda na kufanya juhud za hapa na pale tukagundua kuwa hawana uwezo huo tukaachana na hii kitu na tuli invest pesa nying sanaaaa...aka login kwenye system hiyo akanionyesha na nilishangazwa sana.
Siku comment anything negative nikamwambia tu kuwa " most of programmers do not own these solutions..They grab them from somewhere and yet they cant customize them good enough.

So iliwachukua muda kuni trust.But they doing so fine now rest assured.

2. Wa PILI.
nimechoka kuandika.😁
Kiswanglish kingi sana. Wewe pia ni walewale
 
Mwaka jana nilipata tenda ya NGO kubwa sana hapa Tz, na aliye ipokea tenda Sis wangu wa hiari.

Ilikuwa ni kazi ya Kutengeneza Barcode system.

Nilifanya ile kazi from the scratch na kui represents kwa Wazungu na walipenda na ikapita. Sasa kimbembe kinakuja baada ya kupata kibali cha kufanya ile kazi maana ilikuwa project ya Mikoa zaidi ya 4.

Ndugu kilicho kuja kutokea, nilifanya kazi ya kwanza yote, then kilicho fatia sikushirikishwa tena, japo wale wa NGO walinipigia simu na kuniagiza niendelee na kazi but kwa upande wa Sis alikaa kimya na kuanza kuniomba soft copy ya kazi. Siku mpa coz nilijua anachotaka fanya. Hakunitafuta mpaka leo hii.

So alitafuta Ma IT wakatembea na code zangu mpaka mwisho.

Na kazi yote ilitoka 77,000,000/=.
Mpaka sasa hajanitafuta na nikimuliza kuhusu malipo ya kazi niliyo ifanya hanipi majibu.


Now nipo kitaaa full stressed sina hata hamu ya Kushika Pc sina hata mia huu ni mwaka unaishia.

Na visa vingi sana ila hiki kimeniuma sanaaa...........!

Vijana tunakutana na Mengi sanaaa sometimes mkiona mtu anachukua uamuzi wa kujinyonga or kujitupa kwa ghorofa kuna mengi sana nyuma ya Pazia.

Nilishafanya kazi nikatengeneza 1.3 billion then nikafukuzwa kama mbwaa na kuambiwa your useless na huna msaada kwenye hii Ofisi na mmarangu mmoja hivi.

Can you handle this situations guys !
 
Mwaka jana nilipata tenda ya NGO kubwa sana hapa Tz, na aliye ipokea tenda Sis wangu wa hiari.

Ilikuwa ni kazi ya Kutengeneza Barcode system.

Nilifanya ile kazi from the scratch na kui represents kwa Wazungu na walipenda na ikapita. Sasa kimbembe kinakuja baada ya kupata kibali cha kufanya ile kazi maana ilikuwa project ya Mikoa zaidi ya 4.

Ndugu kilicho kuja kutokea, nilifanya kazi ya kwanza yote, then kilicho fatia sikushirikishwa tena, japo wale wa NGO walinipigia simu na kuniagiza niendelee na kazi but kwa upande wa Sis alikaa kimya na kuanza kuniomba soft copy ya kazi. Siku mpa coz nilijua anachotaka fanya. Hakunitafuta mpaka leo hii.

So alitafuta Ma IT wakatembea na code zangu mpaka mwisho.

Na kazi yote ilitoka 77,000,000/=.
Mpaka sasa hajanitafuta na nikimuliza kuhusu malipo ya kazi niliyo ifanya hanipi majibu.


Now nipo kitaaa full stressed sina hata hamu ya Kushika Pc sina hata mia huu ni mwaka unaishia.

Na visa vingi sana ila hiki kimeniuma sanaaa...........!

Vijana tunakutana na Mengi sanaaa sometimes mkiona mtu anachukua uamuzi wa kujinyonga or kujitupa kwa ghorofa kuna mengi sana nyuma ya Pazia.

Nilishafanya kazi nikatengeneza 1.3 billion then nikafukuzwa kama mbwaa na kuambiwa your useless na huna msaada kwenye hii Ofisi na mmarangu mmoja hivi.

Can you handle this situations guys !
Your useless = you are useless
 
Mna toa tenda kwa watu wanao jua kujinadi na kuwapiga porojo , alafu mnakuja kutoa milio mki laumu ITs ,

Watanzania mnapenda sana kupigwa fix ndio maana mna teseka kwenye hii tasnia ,

Kwa taarifa tu wabongo wanao pigwa na ma IT wa kihindi ni wengi , na wanao pigwa na ma IT wa sehem nyingine pia ni wengi

Ila hutasikia wakilaumu sababu mnajua nyie ndio tatizo ila huku tz mna pata nguvu cos , ni rahisi kupata sapoti

Hamjui kutofautisha Developer na IT ,anae weza kazi na mpiga domo ,

Mimi naweza kukupa developers 10 ambao wanaifanya hiyo kazi perfect on time hata kama nitalipa mimi ,

Acha ku generalise , me nilitegemea utakuja hapa kutoa mawazo ya namna gani tatizo linaweza kua solved , au kwa namna gani inaweza kupatakana system ya kupta developers wa uhakika ,

Unakuja kutukana watu wasio jua hata mlitapeliana vipi!

Tuseme maakimu wote wajinga kisa hakimu mmoja kashindwa kunitetea?

Tuseme madakatari wote wajinga kisa mmoja alipasua kichwa badala ya mguu ?

Kua serious , ingia front kutana na watu wenye uwezo changamoto zitatuliwe , watu wanaibiwa kwenye kila secta , kwenye kila nchi ukiingia kichwa kichwa unapigwa , kokote pale sio IT pekeake,
 
Naandika kwa uchungu sana. Nilipewa instructions ya kutafuta kampuni ya IT hapa Tz kudisign app na web kwa ajili ya masuala fulani fulani. Nikawacheck jamaa fulani ni IT wazuri tu (kwa mjibu wao na ka kampuni kao uchwara) na mmoja kasoma US mwingine China. Nikawapa 15,000,000/= waanze kazi. Hii ni baadhi ya malipo ya awali.

Miezi mi4 hakuna feedback. Tukasema tusubiri labda jamaa wako kazini. Miezi 6 hola. Miezi 12 hola. Huku na huku nikapigiwa simu kazi tayari. Nikasema poa. So nilikuwa mbali. Nikamtafuta software engineer ni mkenya afanye testing. Aisee jamaa alicheka sana. Ikasema hao vijana wamegoogle templates wameedit na kupachika na ni bogus development.

Idea ilikuwa kuwa na software inayotrace magari ya kumpuni, yako wapi, yametembea kilo ngapi and other staffs-Real time data.

Wakaishia kutengeneza utopolo tu. I guess wako humu pia. Ilibidi tulipe upya tukapeleka project Rwanda. Vijana wamedesign from scratch na within 4 month wamekabidhi kazi.

Sasa naelewa kwa nini watu hawataki kuwekeza kwenye IT Bongo. Ujinga mtupu. Hawa vijana wetu wafuge tu kuku kwa kweli. Hivi nyie ndo mtaweza hata kushindana na Bolt+uber?.

Anyway sijui CS/IT mnafundishwa nn huko vyuoni. Natamani kujua mitaala yenu.

100% disappointed.
Ukipata project nyingine, nipe mimi.
 
Back
Top Bottom