Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,318
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania wataalam wa mazingira eti;
Kwanini kuna huduma za kijamii (shule, polisi, hospitali) za kata lakini hakuna hifadhi ya misitu (mapafu ya hewa safi) kwa ngazi ya hiyo?
Au hiyo hifadhi maalum ya misitu kwa ngazi ya kata ipo lakini mimi ndio sijui?
KWA UFUPI KUHUSU MSITU WA AMAZON (MAPAFU YA DUNIA)
==========
The Amazon (Msitu wa Amazon) is often referred to as Earth's 'lungs,' because its vast forests release oxygen and store carbon dioxide, a heat-trapping gas that is a major cause of global warming.
Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini. Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo.
Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo.
Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon ndio maana unaitwa mapafu ya dunia.
==========
Kwanini huduma nyingi za kijamii (shule, polisi, hospitali) zimeteremshwa kutoka ngazi ya Taifa, Mkoa, Wilaya, Tarafa, Kata isipokuwa huduma hii ya kuwa na hifadhi nzuri za msitu (Mapafu ya hewa safi)?
Kama watu huwa wanafidiwa mali zao ili kupisha miradi ya maendeleo, kwanini sehemu zenye mbanano kama Magomeni, Manzese, Mbagala, Tandale kusifanyike fidia hizi ili kupata eneo kuwa la kujenga haya mapafu ya hewa safi walau ngazi ya kata tu?
MSAADA PLEASE: Ni miti gani mizuri mtu anaweza kupanda pasipo mizizi yake kuleta madhara kwenye msingi wa nyumba?
WATAALAM WA MAZINGIRA NA MIPANGO MIJI MSIPITE PASIPO KUCHANGIA CHOCHOTE TAFADHALI.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Infantry Soldier 〜 A True Patriot 〜
Ndugu zangu Watanzania wataalam wa mazingira eti;
Kwanini kuna huduma za kijamii (shule, polisi, hospitali) za kata lakini hakuna hifadhi ya misitu (mapafu ya hewa safi) kwa ngazi ya hiyo?
Au hiyo hifadhi maalum ya misitu kwa ngazi ya kata ipo lakini mimi ndio sijui?
KWA UFUPI KUHUSU MSITU WA AMAZON (MAPAFU YA DUNIA)
==========
The Amazon (Msitu wa Amazon) is often referred to as Earth's 'lungs,' because its vast forests release oxygen and store carbon dioxide, a heat-trapping gas that is a major cause of global warming.
Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini. Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo.
Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo.
Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon ndio maana unaitwa mapafu ya dunia.
==========
Kwanini huduma nyingi za kijamii (shule, polisi, hospitali) zimeteremshwa kutoka ngazi ya Taifa, Mkoa, Wilaya, Tarafa, Kata isipokuwa huduma hii ya kuwa na hifadhi nzuri za msitu (Mapafu ya hewa safi)?
Kama watu huwa wanafidiwa mali zao ili kupisha miradi ya maendeleo, kwanini sehemu zenye mbanano kama Magomeni, Manzese, Mbagala, Tandale kusifanyike fidia hizi ili kupata eneo kuwa la kujenga haya mapafu ya hewa safi walau ngazi ya kata tu?
MSAADA PLEASE: Ni miti gani mizuri mtu anaweza kupanda pasipo mizizi yake kuleta madhara kwenye msingi wa nyumba?
WATAALAM WA MAZINGIRA NA MIPANGO MIJI MSIPITE PASIPO KUCHANGIA CHOCHOTE TAFADHALI.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Infantry Soldier 〜 A True Patriot 〜