Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
Awaambie wakubwa zake warudishe fedha zetu walizo ficha Uswiss!!! Vinginevyo asubiri mwisho wake.
Sisi watanzania tuendelee kula crumbs kwa amani na mshikamano. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Oluha mkaso nilulya nokonitajitolea kuizika itakapokufa rasmi juni 20.2014
Naona mnaanza kukiri kwa vinywa vyenu kwamba hata Kanda ya Kati, Chadema inakubalika. Ni bado wewe pekee maana huenda mkeo ni Chadema kwa siri. Wanao ndo usiseme kabisa!!