MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 254
Mtihani wa form iv umewashinda kufuta..ndiyo iwe chadema?
watu8 hebu fikiria hivi....ili Barcelona iwe bingwa inabidi izihujumu timu zingine.
Kwa mazingira hayo Barcelona ni bingwa kwa vile ni timu bora au bingwa kwa vile timu pinzani zinahujumiwa...
CCM is like a HEAVY weight boxer always wanting to stage a fight against feather weight amateur boxers!!
Kumbe? Yale yale ya Godfrey Zambi, ya kugawa mkoa wwa Mbeya ili awe na influence mkoa mpya, baada ya kukataliwa hapo awali.
hatimaye waziri wa jk bwana stephen wasira kakili kuwa chadema haiwezi kufa kirahisi na ccm wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.
Source gazeti jamuhuri
Kitambo sana mbona?kumbe walishapanga...
Kiongozi usije ukafikiria hawa viongozi wa CCM na wanachama wao wana mawazo yoyote mbadala ya kisera au hata wanafkiria kutunga sera mbadala. Wao wanachofikiria ni kutafuta mbinu chafu kukiua chadema, wanadhan wakishaiua chadema wananchi ndio wataipenda CCM. CCM inadhan tatizo lake kubwa ni uwepo wa CDM, Hawajui kuwa hata CDM ikifa leo hii bado CCM haikubaliki.Hivi demokrasia ni kuviua vyama vya upinzani au kutangaza sera madhubuti....
Ifuatayo ni mikakati iliyoshindwa ya Wassira na Magamba wenzake:
- Wamejaribu kutengeneza video fake zimeshindwa
- Wametunga kesi za kubambikiza kwa Viongozi na Wanachadema zimekwama.
- Wamejaribu kufuta au kutengua Ubunge wa baadhi ya Wabunge wa CHADEMA wameshindwa.
- Wameteka waandishi wa Habari na Viongozi wa Madaktari wameshindwa.
- Wamemwua mwandishi wa Ch.10 Daudi Mwangosi wakashindwa.
- Wameua watu kwenye mikutano na maandamano ya CHADEMA bado wameshindwa.
- Wamechochea udini,ukabila na itikadi wameshindwa.
- Wametumia Bomu la Kivita la kutupa na mkono kwenye mkutano wa kampeni wa CHADEMA pale Soweto na kutaka kumwuua Mwenyekiti Taifa na Mbunge A Town bado wakashindwa.
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.
Source Gazeti Jamuhuri