Anazeeka vibaya mzeeee, sasa wakifute kwa lipi?
[MENTION][MENTION][/MENTION][/MENTION]Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.
Source Gazeti Jamuhuri
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.
Source Gazeti Jamuhuri
Acha kucheza na Wasira wewe!
The man is strong and capable.
Wassira is the upcoming President via CCM 2015.
Kinachofanyika hapa ni majungu na Taarifa zisizokuwa na vyanzo sahihi, coz Wasira yuko Bunda jimboni kwake anahudumia wapiga kura wake, hayo umeyatoa wapi?
Mwadilifu ni nani Wasira ambaye alihukumiwa na mahakama 1997 kuwa mtoa rushwa hivyo akazuiwa hata kugombea ubunge kwa miaka mitano akawa muuza sangara Namanga huku akijipendekeza kwa JK na alipofunguliwa 2005 akagombea kwa rushwa tena akahonga mpinzani wake aka pita bila kupingwa kwa ujumla ni mla rushwa aliyekubuhu,sijui unabishana hata na hukumu za mahakama kuu bila kukata rufaa!? Inji hii inauzwa na majitu majinga kama wewe
Hakuna haja ya kukifuta,cha kuangalia ni namna ya kurekebisha sheria inayompa madaraka msajiri wa vyama vya siasa kukubaliana na katiba za vyama zenye kuruhusu uwepo binafsi wa vyombo vya kulinda vyama hivyo kitu ambacho ni kinyume na katiba ya nchi.Hivyo basi kuifuta CHADEMA si suluhisho la kulekebisha sheria zinazopingana na katiba ya nchi,kikubwa hapa ni kwa msajiri wa vyama either kuruhusu vyombo vya ulinzi katika vyama au kuvifuta vyama vyote
vilivyokiuka katiba.
Tuwekee taarifa kamili kama ilivyoandikwa kwenye gazeti - maana yawezekana umenukuu vibaya!Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.
Source Gazeti Jamuhuri
That 'Wassira is the upcoming president via CCM 2015', is not only a redicule to Tanzanians but also even to CCM members and supporters. If this is the 'best' candidate CCM can provide for presidency let alone campaigning for him, then I can assure you of a landslide (read earthquake) loss to CCM and off course a victory to the opposition. In short, he is one of the political failures I have known for some decades now!
Hivi demokrasia ni kuviua vyama vya upinzani au kutangaza sera madhubuti....
Invincible Umewashwa eeehhh!!!Duh! JF haiishiwi vituko!
hahahah hili taifa halina wazee wenye busara ...
That 'Wassira is the upcoming president via CCM 2015', is not only a redicule to Tanzanians but also even to CCM members and supporters. If this is the 'best' candidate CCM can provide for presidency let alone campaigning for him, then I can assure you of a landslide (read earthquake) loss to CCM and off course a victory to the opposition. In short, he is one of the political failures I have known for some decades now!