Wassira: CHADEMA kufa ni Ngumu

Wassira: CHADEMA kufa ni Ngumu

Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri


Hivi ni nini maana ya vyama vingi?
 
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri

very soon Bw. Steven Wasira atasema kuifuta chadema ni ngumu.
 
Nasikia PLAN Z (the last before surrender) ni kumtumia Msajili wa Vyama John Tendwa kukifutia CDM usajili wa vyama vya Siasa kwa kisingizio cha kuwa na vikosi vya kujilinda (Red Brigade)!

Baada ya hapo John Tendwa atakwenda kufichwa nje ya nchi kwa mwamvuli wa BALOZI! Siasa za CCM ni zile mwaka 47.
 
Atakufa yeye aiache Chadema ikitawala nchi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hebu tuweke masiala kando, kweli tukitafuta wazee huyu naye tutamuita ni Mzee>
 
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri
huyu mzee kakubali yaishe?
 
Hekima ni kitu cha thamani mno, huyu mzee bila shaka kajifunza jambo. Ila bado hataki kuwa mkweli
 
Hadithi ya fisi na mkono wa binadamu kusubiri mkono udondoke.

Cc: CHAMVIGA @fweero

Sema hujamuelewa Wasira Mkuu, amemaanisha kuwa chadema kina wenyewe na hao hata wapewe utajiri nusu ya nchi na Ccm au mito ya asali na maziwa iwekwe nchi nzima hawatokubali kukiacha cdm. Mi nawashangaa watu kama nyinyi wa kanda ya kati mnajihangaisha na cdm, hiki chama kimewamezesha watu sumu mbaya sana na kuitema ni ngumu.
 
Last edited by a moderator:
Wanapenda waendelee kula keki ya taifa wenyewe na familia zao.

Sisi watanzania tuendelee kula crumbs kwa amani na mshikamano. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri
Hivi hauwezi kuleta mada bila kingiza upuuzi kama huo kwenye maandishi mekundu? CHADEMA kama kampuni inaweza kufilisika wakati wowote.
 
Sema hujamuelewa Wasira Mkuu, amemaanisha kuwa chadema kina wenyewe na hao hata wapewe utajiri nusu ya nchi na Ccm au mito ya asali na maziwa iwekwe nchi nzima hawatokubali kukiacha cdm. Mi nawashangaa watu kama nyinyi wa kanda ya kati mnajihangaisha na cdm, hiki chama kimewamezesha watu sumu mbaya sana na kuitema ni ngumu.

Watajutia ole wao wanaoingia mknge wa hawa MAFIA wa CHADEMA.
 
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri
We wasira NCCR ilikulea, unaweza ukajikuta CDM siku moja.
 
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri
ana bahati kweli! baada ya kukataliwa bunda mjini hatimaye amefanikisha mbinu chafu za kugawa jimbo ili akimbilie vijijini.
 
Mambo mengine ni magumu kuamin! Hasa ukizingatia wadhifa,sifa na heshima ya mtu katika jamii.
Umeona eeh?
Yaani mzee mwanzilishi wa Chadema anataka Chadema ife (mwaka jana), baada ya mbinu za kuiua kufeli (mwaka huu)then ana suggest Tendwa aifute (mwakani?), then anasema haitakufa! Haeleweki. Wassira ni janga
 
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri

Huyu mzee nitaanza kumwombea afe!
 
ana bahati kweli! baada ya kukataliwa bunda mjini hatimaye amefanikisha mbinu chafu za kugawa jimbo ili akimbilie vijijini.

Kumbe? Yale yale ya Godfrey Zambi, ya kugawa mkoa wwa Mbeya ili awe na influence mkoa mpya, baada ya kukataliwa hapo awali.
 
Alikuwa anaisikia tu CDM huyu mzee! Awamu hii ndo alijichanganya kutia mguu site moja na CDM,Bora umeamua kusema ya moyoni uliyoyashuhudia kwa macho yako. Kwi kwi kwi kwiiiiiiii
 
CHADEMA haiwezi kufa kabla wale waliosema itakufa hawajafa,wanatakiwa wafe kwanza walioitakia CDM kufa.
 
Back
Top Bottom