Wasomi wa kitanzania wanashindwa kwenda nje ya nchi kutafuta fursa mbalimbali kwasababu ya hivi vitu viwili(TOEFL na IELTS)

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Oct 23, 2016
2,070
3,705
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?
 
Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Kwani hii mitihani inatolewa na serikali?

Kama huwezi gharama za hii mitihani au kutafuta namna ya kuifanya utaweza gharama za kwenda huko nje?

Sio lazima kufanya hii mitihani kufika nje. Jiongeze.

Hili bandiko lako limedhihirisha mindset za wabongo wengi wanataka wafanyiwe kila kitu wao wabebe mabegi tu na kuondoka.

Endelea kuilalamikia serikali hadi siku uletewe hii mitihani nyumbani kwako.
 
Kazi mbona humu zipo nyingi(tatizo ni mazingira wezeshi)serikal ikiwekeza kwenye viwanda vya kutosha ikaboresha sekta Kama za kilimo, uvuvi na usafirishaji kazi zipo nyingi tu, hizo huduma unazozisema zinapatokana kwa uchache na gharama kwasababu hata huko nje hawahitaji wafanyakazi wengi kutoka Africa wangekuwa wanahitaji mambo yangekuwa mepesi tu
 
Kwani hii mitihani inatolewa na serikali?

Kama huwezi gharama za hii mitihani au kutafuta namna ya kuifanya utaweza gharama za kwenda huko nje?

Sio lazima kufanya hii mitihani kufika nje. Jiongeze.

Hili bandiko lako limedhihirisha mindset za wabongo wengi wanataka wafanyiwe kila kitu wao wabebe mabegi na kuondoka tu.

Endelea kuilalamikia serikali hadi siku uletewe hii mitihani nyumbani kwako.
Na wewe usiwe na mindset ya kupingq kila kitu pasipo kujitahidi ili kufahamu umuhimu wa jambo kwa mapana yake.Ni hivi watanzania wengi hawana uelewa dhidi ya hizi vigezo na namna ya upatikanaji wake...hili niswala lenye maslahi kwa wa wananchi wengi hususani wasomi,serikali iwe na jukumu la kuhakikisha linawafikia walengwa hata kama sio serikali inatoa ila lina maslahi kwa wananchi
 
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?
Huyo Mtu anayehangaikia kuwa na hivyo vitu umetaja hapo huyo sio Msafiri...!

Kutoka nje ya nchi yako kwenda kutafuta changamoto za Maisha nchi ambayo sio yako, sio kazi rahisi, sio kazi ambayo kila Mtanzania anaweza kufanya, inahitaji uwe na roho ngumu, kama roho yako ni nyepesi huwezi!!

Mtu Bongo anaweza kupewa mchongo tu Kenya hapo, ama Zambia, hayo Maswali ataanza kujiuliza ndo utajua sio kila Mtu ana roho ya kutoka kwenda nje!

Ataanza kujiuliza je nikipata tatizo huko nani atanisaidia...!?

Je! Ikatokea nimeibiwa pocket money ntafanyaje n.k...!

Ujue hapo hakuna Msafiri.
 
Kazi mbona humu zipo nyingi(tatizo ni mazingira wezeshi)serikal ikiwekeza kwenye viwanda vya kutosha ikaboresha sekta Kama za kilimo, uvuvi na usafirishaji kazi zipo nyingi tu, hizo huduma unazozisema zinapatokana kwa uchache na gharama kwasababu hata huko nje hawahitaji wafanyakazi wengi kutoka Africa wangekuwa wanahitaji mambo yangekuwa mepesi tu
Hamna kazi yeyote acha kuongea kirahisi
 
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?
Wewe unafikiri mitihani hii inatolewa na serikali yetu ? Fanya tafiti ndogo tu ujielimishe.
 
Na wewe usiwe na mindset ya kupingq kila kitu pasipo kujitahidi ili kufahamu umuhimu wa jambo kwa mapana yake.Ni hivi watanzania wengi hawana uelewa dhidi ya hizi vigezo na namna ya upatikanaji wake...hili niswala lenye maslahi kwa wa wananchi wengi hususani wasomi,serikali iwe na jukumu la kuhakikisha linawafikia walengwa hata kama sio serikali inatoa ila lina maslahi kwa wananchi


Sijui ni ujamaa umewaharibu nyie waDanganyika au nini. Safari yako afu mtu mwingine ahangaike kwaajili yako either mtu binafsi au serikali that will never happen dunia ya leo.

Serikali inapata maslahi gani kwa watu wake kuzamia nchi zingine? Kama ni visa za biashara na kutembea kwenda nchi yeyote ile zinatolewa bila hivyo vigezo.

Hata vyuo vipo vingi tu huhitaji hiyo mitihani so long as ukahakikisha ulipotoka mnatumia English kama lugha ya kufundishia. However, kama una nia ya kwenda utapata namna ya kufanya hiyo mitihani sio jukumu la serikali.

Katika vilio vya watu kwenda nje, kikwazo cha hii mitihani ni kilio cha mwisho kabisa. Watu wanalia ugumu wa visa, gharama na mambo yaliyo nje ya uwezo wao. Wewe unalia jambo ambalo ni jukumu lako entirely.

Endelea kusubiri serikali ikuletee TOEFL chumbani kwako.
 
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?
Serikali ngumu sana
 
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .

Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.

Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.

Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.

Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.

Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.

Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.

Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.

Black skin what is the problem?


Endelea tu kubdeal na Tanzanite, uwezo wako wa kufikiri mdogo sana
 
Sijui ni ujamaa umewaharibu nyie waDanganyika au nini. Safari yako afu mtu mwingine ahangaike kwaajili yako either mtu binafsi au serikali that will never happen dunia ya leo.

Serikali inapata maslahi gani kwa watu wake kuzamia nchi zingine? Kama ni visa za biashara na kutembea kwenda nchi yeyote ile zinatolewa bila hivyo vigezo.

Hata vyuo vipo vingi tu huhitaji hiyo mitihani so long as ukahakikisha ulipotoka mnatumia English kama lugha ya kufundishia. However, kama una nia ya kwenda utapata namna ya kufanya hiyo mitihani sio jukumu la serikali.

Katika vilio vya watu kwenda nje, kikwazo cha hii mitihani ni kilio cha mwisho kabisa. Watu wanalia ugumu wa visa, gharama na mambo yaliyo nje ya uwezo wao. Wewe unalia jambo ambalo ni jukumu lako entirely.

Endelea kusubiri serikali ikuletee TOEFL chumbani kwako.
Akili za watanzania bhana
 
Kwani hii mitihani inatolewa na serikali?

Kama huwezi gharama za hii mitihani au kutafuta namna ya kuifanya utaweza gharama za kwenda huko nje?

Sio lazima kufanya hii mitihani kufika nje. Jiongeze.

Hili bandiko lako limedhihirisha mindset za wabongo wengi wanataka wafanyiwe kila kitu wao wabebe mabegi na kuondoka tu.

Endelea kuilalamikia serikali hadi siku uletewe hii mitihani nyumbani kwako.
Una GUBU LA HATARI.
 
Endelea tu kubdeal na Tanzanite, uwezo wako wa kufikiri mdogo sana
Tatizo natumia akili kubwa kuongea na watu ambai wana IQ underevarage line..watanzania wanajulikana Duniani kote kuwa ni weak interm of mind..na reasons capacity ipo very low..hivyo wewe unasuffer from this disease..unahitaji ukombozi wa kiimani kwasababu akili tayari haipo
 
Back
Top Bottom