Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .
Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.
Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.
Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.
Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.
Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.
Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.
Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.
Black skin what is the problem?
Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system .
Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania.
Lakini pia sisi sote ni mashuhuda ya uwepo mchache wa watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi.
Hoja ya msingi nikwamba ili msomi wa kitanzanie apate scholarship ya kwenda nje ya nchi lazima afanye mitihani ya TOEFL na IELTS.
Tatizo kubwa ni mazingira ya upatikanaji wa hizi huduma,kwanza ni gharama sana kwa watanzania waliowengi,pili uwazi na upatikanaji wake ni hadimu,image kwa nyakati kama na miaka hii huduma nyeti kama hii inapatikana Dar es salaam tu.
Nahisi pia uwadimu wa huduma kama hizi ni kuwazuiya watanzania wasiende nje ya nchi kwa makusudi,kwasababu baadhi ya viongozi wa jinga wanaamini watu wengi wakiwa nje ya nchi watafunguka akili na kuleta challenge kwa serikali.
Naishauri serikali kwasababu imeshindwa kutoa ajira kwa vijanabna viongozi wa kitanzania na serikali kwa ujumla haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake ajira basi hizi huduma za TOEFL na IELTS zitolewe bure kwa gharama ya serikali.Vijana wenzangu wasomi tukajiachie kwenye fursa mbali zilizopo katika nchi mbalimbali za ulaya na Amerika.
Tena huduma hii itolewe kwenye kila wilaya kwawasomi wanaotaka kwenda nje kutafuta ajira.
Black skin what is the problem?