Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,709
- 36,164
Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .