nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,690
- 9,871
Wataalamu wasomi na wanamajumui kwa kuweka ubinafsi kando na uafrika mbele, hili jambo kama si leo ni siku zijazo laweza leta mapinduzi chanya katika kujikwamua na kuamsha shughuli nyingi za kiuchumi kijamii kiafya n.k.
Hebu wasomi tusaidieni tufanyaje?
Zingatia kama sio fitna leo East Africa Airways ingekuwa mbali sana na nauli zingekuwa chini.
Fikiri Shirika la ndege la Ethiopian, Kenya, Afrika Kusini, Misri na tushirika twingine kama vile Twiga mnyonge hebu tusaidieni basi.
Hebu wasomi tusaidieni tufanyaje?
Zingatia kama sio fitna leo East Africa Airways ingekuwa mbali sana na nauli zingekuwa chini.
Fikiri Shirika la ndege la Ethiopian, Kenya, Afrika Kusini, Misri na tushirika twingine kama vile Twiga mnyonge hebu tusaidieni basi.