Wasira asumbuliwa na maandamano ya Chadema

Amejadili hotuba za dr.slaa badala ya kuijadili ya jk kama Tbc1 ilivokuwa imepanga. Labda mnisaidie hotuba ya rais walimaanisha rais yupi?kila k2 slaa slaa! Sasa rais ni nan jaman?
 
Nimemsikliza Waziri Wasira akiongea TBC1. Najiuliza kuna umuhimu gani wakuwa na wizara ya uratibu na uhusiano wa jamii?
Kama ni mgawanyiko katika jamii ndio kwanza unaota mizizi. Udini ndio sera ya CCM. Uhasama unazidi kukua kati ya viongozi na wananchi hasa kutokana na kukua kwa pengo kait ya wenye nchi na wananchi.
Kwa maoni yangu, hakuna faida ya kuwa na viongozi kama hawa
 
Hata mie nimemsikia akibwabwaja. Ni Aibu tupu kwa hawa tunaoita viongozi, ni kweli sass hivi kuna ombwe katika uongozi.
 
Swali zuri sana Gerrad ,Mie tatizo la msingi ninaloliona ni vigezo(qualifications)zakuwapata hawa Mawaziri Mkwere anakuambia "Uwaziri hausomewi"Mabadiliko ya Katiba ni muhimu ili Mawaziri waajiriwe kwa vigezo Stahili.We angalia Waziri anayehusika na Uhusiano wa Jamii anaitwa Tyson,Je unajua kwanin alipewa hili jina?Such a person ataimarisha Mahusiano au kuyaangamiza kabisa ukimtizama tu unaogopa hapo hujamsikia akiongea,anayoongea hayana Diplomasia hata tone zaidi ya vitisho na ubabe.Nimwambie tu hichi Kizazi cha Leo hakitishwi kinahitaji m2 anaeongea kwa Busara na Hekima na pia anayetoa mwanga kuhusu future Yetu na sio kututisha.
 
ndio maana tunaomba katiba mpya ili system ibadilishwe nakubaliana kabisa na wazo lako mkuu mawaziri na ikiwezekana mpaka wakuu wa wilaya na mikoa wasiwe wanasiasa bali waajiliwe
Swali zuri sana Gerrad ,Mie tatizo la msingi ninaloliona ni vigezo(qualifications)zakuwapata hawa Mawaziri Mkwere anakuambia "Uwaziri hausomewi"Mabadiliko ya Katiba ni muhimu ili Mawaziri waajiriwe kwa vigezo Stahili.We angalia Waziri anayehusika na Uhusiano wa Jamii anaitwa Tyson,Je unajua kwanin alipewa hili jina?Such a person ataimarisha Mahusiano au kuyaangamiza kabisa ukimtizama tu unaogopa hapo hujamsikia akiongea,anayoongea hayana Diplomasia hata tone zaidi ya vitisho na ubabe.Nimwambie tu hichi Kizazi cha Leo hakitishwi kinahitaji m2 anaeongea kwa Busara na Hekima na pia anayetoa mwanga kuhusu future Yetu na sio kututisha.
 
Mgogoro juu ya jinsi Meya wa jiji la Arusha alivyopatikana swala lililosababisha Maandamano na watu wa3 kuuawa:Waziri wa mambo ya Ndani ambae Idara ya Jeshi la polisi,Jeshi la magereza na Uhamiaji vipo chini yake akasema"Mgogoro wa Arusha ni Mgogoro wa Kisiasa ivyo Serikali itafanya jitihada yakuzikutanisha pande 2 CDM na CCM"
Badae Waziri Wassira Ofisi ya Rais Mahusiano nk akizungumza na viongozi wa Dini anasema"CCM ilishinda Uchaguzi Arusha na hakuna Mazungumzo swala la Arusha limemalizika"
Hii ndo Serikali zaidi ya uijuavyo!!Wassira angeongea yaliyosemwa na Nahodha ningemsoma bt hapa full mchanganyo.
 
Yani si lipendi hili lijitu linaloitwa hilo jina nanihii, limekaa kama li lodi lofa la kwenye gazeti la sani, sijui likoje ptuuuu!
 
Amejadili hotuba za dr.slaa badala ya kuijadili ya jk kama Tbc1 ilivokuwa imepanga. Labda mnisaidie hotuba ya rais walimaanisha rais yupi?kila k2 slaa slaa! Sasa rais ni nan jaman?
Kwa sababu Dr. Slaa ndiye rais wa ukweli.
 
TBC1 Wanaruhusiwa kakaa na nyara za serikali(sokwe) bila ruhusa/kibali cha wanyamapori?

Nimesioma hii nikakaribia kuvunjika mbavu, yaani Wassira siku hizi ndo anaitwa Sokwe.......ama kweli watanzania wamechoka na uvumilivu umeshateleza tayari.
 
huyu mwandishi hajui kuhoji au ndo mambo ya tbc? Anauliza ujinga na wasira anajibu ujinga.

Japo sijakiona hicho kipindi lakini napata picha kuwa hiyo ishu imepangwa, lengo ni kuitia madoa chadema kwa wananchi. Maskini hawajui kuwa kila unapoisema vibaya cdm ndivyo watu wanavyokuwa nayo positive attention kwa cdm.
 
anasema magazeti ya tanzania yanatafuta soko kuipamba cdm

Sasa hapo wajiulize ni kwa nini ukiizungumzia chadema watu wana-pay attention? Jibu wanalo kwani hata wao wanatafuta kusikika kwa kuitaja chadema na ndicho ambacho hata yeye alikuwa akikifanya hapo tbc, bila hivyo huwezi sikika. Tatizo lao wanakuja na gia ambayo inawadharaulisha mbele ya jamii.
 
Anasema hawana mamlaka ya kusema wala uwezo wa kumtoa rais madarakani

Wasira tunaujumbe na kwako, angalia Libya, Egypt na Tunisia. Ben Ali, Mubarak na sasa Gadhafi wananchi wa hizo nchi walipata wapi uwezo wa kuwatoa. Maybe Wasira hana television si aende Ikulu kuibia au nyumbani kwa Rostam. UN na mataifa yote kinajulikana wazi wananchi wasiokutaka kama wewe mchakachuaji unaondoka anytime. Alikuweka wewe Kikwete ni nani? Kura hukupata na credibility huna...Wasira inaonekana kweli ufahamu wa demokrasia huna kichwani.
 
TBC1 Wanaruhusiwa kakaa na nyara za serikali(sokwe) bila ruhusa/kibali cha wanyamapori?

Na ndio maana kj amesema kijengwe kibanda kuhifadhi unyayo wa ukoo wa kina wasila kule olduvai gorge alipokwenda kuutembelea unyayo huo
 
Wasira tunaujumbe na kwako, angalia Libya, Egypt na Tunisia. Ben Ali, Mubarak na sasa Gadhafi wananchi wa hizo nchi walipata wapi uwezo wa kuwatoa. Maybe Wasira hana television si aende Ikulu kuibia au nyumbani kwa Rostam. UN na mataifa yote kinajulikana wazi wananchi wasiokutaka kama wewe mchakachuaji unaondoka anytime. Alikuweka wewe Kikwete ni nani? Kura hukupata na credibility huna...Wasira inaonekana kweli ufahamu wa demokrasia huna kichwani.
Unafikiri kwa kuwa Katiba haijasema umma unaweza kuondoa Serikali madarakani ndo mfanye mtakavyo umekwisha bora uanze kurudi kijiweni kwako Msasani maana huna mvuto hata kuongea tu.
 
Jana Steven Wassira alikuwa anaonge kwa PANIC hadi mapovu yanamtoka...bahati mbaya sana hawakumuewekea hata maji watu wa TBC ...wangemuuwa..,kwa pressure!!....na ile katiba alivyokuwa anairusha rusha juu wakati anaisoma ...utafikiri ni MOAMMAR GADHAFI......
hadi mwandishi anauliza ..mbona hivi..kama hakuna tatizo mbona mnaogopa hivi??
 
Jana nilifuatilia live mahojiano ya Wassira tbc 1. Sielewi hawa wenye madaraka wanataka kutupeleka wapi. Ameng'ang'ania CHADEMA kinataka kipindua serikali jambo ambalo yeye mwenyewe anaaamini hawawezi. Kichefuchefu alichoonyesha ni kumshambulia muda wote Dr. Slaa na CHADEMA na mwishowe hakutoa suluhisho lolote la matatizo tuliyonayo. Anakoroma tu oooh Rais ameeleza yote.....Maswali yangu ni haya Ajira za watanzania wanaotegemea umeme wa uhakika zitaendelea kuwa dhaifu hadi lini? 2032 ? kweli? gharama za maisha zilizopanda kwa zaidi ya asilimia 100 zitawekwa vipi sawa na hali halisi ya mtanzania? serikali itaendela kuwaudhi na kuwadharau watanzania hadi lini? WATANZANIA KWA WINGI WAO WAMEKATA TAMAA NA TUJUE KUWA TUKISHACHOKA VIFARU VITAKUJA NA BADALA YA KUKIMBIA TUTAPANDA JUU YAKE KAMA MISRI.
 
Back
Top Bottom