Kweli sikio la kufa halisikii dawa. Baba zima manyoya mwili mzima pa.........fu.
Mh Mjomba....... Ngoja nikalale maana mbavu sinaTBC1 Wanaruhusiwa kakaa na nyara za serikali(sokwe) bila ruhusa/kibali cha wanyamapori?
Wasira na MkwereAnasema Chadema wanawatia hofu watanzania!!Hivi Watanzania wangekuwa na Hofu wangeenda kwenye Maandamano?Hapa mwenye hofu ni nani!!
huyu mwandishi hajui kuhoji au ndo mambo ya tbc? Anauliza ujinga na wasira anajibu ujinga.