Swali zuri sana Gerrad ,Mie tatizo la msingi ninaloliona ni vigezo(qualifications)zakuwapata hawa Mawaziri Mkwere anakuambia "Uwaziri hausomewi"Mabadiliko ya Katiba ni muhimu ili Mawaziri waajiriwe kwa vigezo Stahili.We angalia Waziri anayehusika na Uhusiano wa Jamii anaitwa Tyson,Je unajua kwanin alipewa hili jina?Such a person ataimarisha Mahusiano au kuyaangamiza kabisa ukimtizama tu unaogopa hapo hujamsikia akiongea,anayoongea hayana Diplomasia hata tone zaidi ya vitisho na ubabe.Nimwambie tu hichi Kizazi cha Leo hakitishwi kinahitaji m2 anaeongea kwa Busara na Hekima na pia anayetoa mwanga kuhusu future Yetu na sio kututisha.
chipansee,baboon,hyena?
Alo uyo jamaa mbona hana tofauti na wenyej wa hifadhi ya igombe kigoma? Aloo ccm ni nyeus ivo! Yan haina sura ya kibinadam, uyo akpewa uwazir wa ulinz, anatua bila huruma! Dah anatsha mpaka tv haionesh vzr.
anadai slaa ni kinara wa kusema uongo nchni
huyu mwandishi hajui kuhoji au ndo mambo ya tbc? Anauliza ujinga na wasira anajibu ujinga.
Mwacheni jamani anapalilia kuendelea kuwa waziri.
anajibu kuwa anapigiwa simu na watu wa Bunda kuwa wana hofu ya kupotea amani...ujinga mtupu..
Mwacheni jamani anapalilia kuendelea kuwa waziri.
Tukubaliane tu kuwa alikuwa anazungumza pumba ila swala la sura yake lisiwe issue plzzzzzzzzzzzzzzz.
NI NDUGU ZAKE WANAOFAIDIKA NA MFUMO MBOVU WA CcM
ni kweli hapo tyson yuko sawa kabisa. Na huyo slaa ataishia kupokelewa kwenye maandamano ili ajisikie kama ni rais lakini ikulu hatakanyaga ng'ooooooo. Kwanza hana adabu
ni presha juu juu,,,,ofisi hazikaliki!!!!!Kiukweli hawa watu ni kama maandamano ya CDM yamewachanganya vibaya mno!!! Nimemsikiliza Sophia Simba Channel 10 badala ya kuongelea alichoitiwa studio mambo ya siku ya wanawake duniani anaanza kuwashambulia CDM!!! That is shame!! Halafu amekiona cha moto maana mtangazaji alivyoruhusu simu yule mama ameshambuliwa na kila mtu aliyepiga simu studio! Bado hamjifunzi tuuu....
Wewe unategemea Wasira atasema mazuri ya Slaa? Si ameshitukiwa na wananchi wa huko kwao kwamba alimnunua mchadema ili apete ubunge? Anachunguzwa pia na ikithibitishwa anapandishwa kizimbani. Huko kuropoka kwake ni panic control mechanism.