Wasiotaka Ikulu iwe na WEBSITE hawa hapa

Mwenye profile ya PREMI atuleteee

alizaliwa wapi

Kakulia wapi

wazazi wake akina nani

kasoma secondary wapi

kasoma University wapi

First degree alisomea nini

dissertation yake ilihusu nini

Masters kasomea wapi

Thesis yake ilihusu nini

Alipata vipi kazi foreign

Kwa reference ya nani?

Alifanya kazi idara gani pale

Na alifanikiwanini pale

Tangu aingie ikulu kashafanya lipi la kuweza kumpa sifa

Je kashawahi kuandika any journal article yoyote ile ?

IQ yake ni ngapi?

Kaolewa?

Ana watoto wangapi?

Je ana background yoyote in media?

Relationship yake kikazi na wenzake ikoje alipokuwa FOREIGN na sasa IKULU?

Is she capable au ndio kabebwa bebwa tuu?

Can she survive in private sector?

WHY IS SHE MISLEADING THE PRESIDENT KUHUSU HILI SUALA LA WEBSITE?

Jamani hii Ikulu vipi mbona watu wanaandamana sana. Sliding-roof nahisi sana amewahi kufanya kazi Ikulu, kwa maana anataarifa za ndani sana ambazo mtu yeyote asingekuwa nazo. Pili picha za sliding roof ni picha ambazo mtu hivihivi hawezi kuwa nazo isipokuwa mfanyakazi wa zamani wa magogoni ambaye amewahi kufanya kazi na Premmy pamoja na Salva. Eniwei, Premmy na Salva watuletee website yetu bana, si wameshakula hela?
 
Jamani hii Ikulu vipi mbona watu wanaandamana sana. Sliding-roof nahisi sana amewahi kufanya kazi Ikulu, kwa maana anataarifa za ndani sana ambazo mtu yeyote asingekuwa nazo. Pili picha za sliding roof ni picha ambazo mtu hivihivi hawezi kuwa nazo isipokuwa mfanyakazi wa zamani wa magogoni ambaye amewahi kufanya kazi na Premmy pamoja na Salva. Eniwei, Premmy na Salva watuletee website yetu bana, si wameshakula hela?

Ukweli ni kuwa huyo bibie anashinda humu online, onthe phone na bila kusahau watu wake wanamu update kila kinachoandikwaNo one asking the impossibleAwe open kuhusu hili na akubali au akanushe kama:

1. Je zilitolewa dola 250,000 kwa ajili ya website au la?


2. Kama zilitolewa katika mazingira yepi?


3. Je waliitisha tender ya kutengeneza website au la?


4. Pre qualification ilikuwa na masharti yepi


5. Makampuni mangapi yaliomba


6. Kazi ya design,hosting na updating angeifanya nani?


7. Kwa nini hii kitu ilisimamishwa?


8. Premmy anajibu nini kuhusu tuhuma kuwa pesa zililiwa?


9. What was the role ya xxx kwenye hili


10. Kwa nini its been 6 years na hakuna website?


11. Je wazo la kuwa na domain name ya bure blogspot BLOGSPOT kama ya michuzi lilikuwa la nani?


12. Kama tatzio ni domain name....kwa nini wasiinunue from huyo alyeregister .GOV.TZ?


13. Ikulu wana policy zipi juu ya environment?



14. Kama zipo ni zipi?


15. Carbon footprint yao ikoje mle?



16. Wana off set vipi Carbon mle ndani?


17. Kama environmental policy yao iko impressive kwa nini wasifanye briefings zao online badala ya kuharibu mazingira kwa kufanya printing?


18. Kwa nini mnamrushia mpira mzee wa watu pasipo na sababu za msingi?


19. Ni nani aliyeleta wazo la e-mail ya ikulu kuwa mawasilianoikulu@yahoo.com?


20. Kwa nini staff wa ikulu wanasambaza habari mitaani kuwa "wanausalama " wanawakatalia isiwe na website kwa sababu za kiusalama ili hali senior staff wa ikulu kama Premmy, salva na wengine wanatumia unencripted and emails za yahoo, hotmail, gmail na zinginezo?21. Kwa nini mnapenda kumdhalilisha mheshimiwa rais kwa incompetency yenu?
 
Ukweli ni kuwa huyo bibie anashinda humu online, onthe phone na bila kusahau watu wake wanamu update kila kinachoandikwaNo one asking the impossibleAwe open kuhusu hili na akubali au akanushe kama:1. Je zilitolewa dola 250,000 kwa ajili ya website au la?2. Kama zilitolewa katika mazingira yepi?3. Je waliitisha tender ya kutengeneza website au la?4. Pre qualification ilikuwa na masharti yepi5. Makampuni mangapi yaliomba6. Kazi ya design,hosting na updating angeifanya nani?7. Kwa nini hii kitu ilisimamishwa?8. Premmy anajibu nini kuhusu tuhuma kuwa pesa zililiwa?9. What was the role ya xxx kwenye hili10. Kwa nini its been 6 years na hakuna website?11. Je wazo la kuwa na domain name ya bure blogspot BLOGSPOT kama ya michuzi lilikuwa la nani?12. Kama tatzio ni domain name....kwa nini wasiinunue from huyo alyeregister .GOV.TZ?13. Ikulu wana policy zipi juu ya environment? 14. Kama zipo ni zipi?15. Carbot footprint yao ikoje mle?16. Wana off set vipi Carbon mle ndani?17. Kama environmental policy yao iko impressive kwa nini wasifanye briefings zao online badala ya kuharibu mazingira kwa kufanya printing?18. Kwa nini mnamrushia mpira mzee wa watu pasipo na sababu za msingi?19. Ni nani aliyeleta wazo la e-mail ya ikulu kuwa mawasilianoikulu@yahoo.com?20. Kwa nini staff wa ikulu wanasambaza habari mitaani kuwa "wanausalama " wanawakatalia isiwe na website kwa sababu za kiusalama ili hali senior staff wa ikulu kama Premmy, salva na wengine wanatumia unencripted and emails za yahoo, hotmail, gmail na zinginezo?21. Kwa nini mnapenda kumdhalilisha mheshimiwa rais kwa incompetency yenu?


@slidingroof: mkuu nakuvulia kofia, wewe kiboko wachambe wamezidi. nazani una damu ya Nyerere, nazani ukipewa madaraka utanyoosha watu ndo maana nilisema una data nzito. Kama wewe siyo waziri au mtu mwenye cheo kikubwa serikalini, basi wewe umewahi kuongoza idra nyeti sana kwenye serikali ya JK. Waamshe hao wakina Premmy wamelala sana. Kudos mzalendo.
 
Hayo mambo yote yalishafanywa na matokeo yake huyu mama akaishia kuwatisha wale vijana kwa nini wana website yao ya Ikulu

zaidi soma hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/2875-ikulu-yatahadharisha.html


kwa hiyo si kweli kuwa watu hawajafanya juhudi

Sliding roof. umenifanya curious, you simply know too much. Wewe ni usalama nini? kwa nini unajua mambo mengi sana ndani ya ikulu? afadhali kuna mtu anawasakama nao wafanye kazi, siyo salva kuzunguka 24/7
 
Sliding roof. umenifanya curious, you simply know too much. Wewe ni usalama nini? kwa nini unajua mambo mengi sana ndani ya ikulu? afadhali kuna mtu anawasakama nao wafanye kazi, siyo salva kuzunguka 24/7
hivi jamani mtu akijua jambo ni usalama?sasa mwanakijiji naye anajua mengi naye ni usalama?
 
hii thread ina miaka sita sasa jamaa hata hawajishugulishi kutengeneza website! Kazi tunayo!!!
 
Mwenye profile ya PREMI atuleteee

alizaliwa wapi

Kakulia wapi

wazazi wake akina nani

kasoma secondary wapi

kasoma University wapi

First degree alisomea nini

dissertation yake ilihusu nini

Masters kasomea wapi

Thesis yake ilihusu nini

Alipata vipi kazi foreign

Kwa reference ya nani?

Alifanya kazi idara gani pale

Na alifanikiwanini pale

Tangu aingie ikulu kashafanya lipi la kuweza kumpa sifa

Je kashawahi kuandika any journal article yoyote ile ?

IQ yake ni ngapi?

Kaolewa?

Ana watoto wangapi?

Je ana background yoyote in media?

Relationship yake kikazi na wenzake ikoje alipokuwa FOREIGN na sasa IKULU?

Is she capable au ndio kabebwa bebwa tuu?

Can she survive in private sector?

WHY IS SHE MISLEADING THE PRESIDENT KUHUSU HILI SUALA LA WEBSITE?
how far are you sure she is misleading mheshimiwa rais?
 
Ukimuuliza Kikwete atakuambi kwani yeye Computer mpaka website ya Ikulu, ifanye kazi? atasema kamuulize yule Mnywaruanda Slavo
 
kuna mtu anaweza ku attach hiyo press statement ya Ikulu kuhusu uteuzi wa Sefue?

inasemekana ina spelling mistakes kibao
 
Kuna sister anafanyakazi ikulu anaitwa MINDI ndio "inasemekana" kala hizo dola 260,000 za kutengeneza website

Hizi nazo ni rumours lakini kwa sababu Ikulu wenyewe hawataki kuelezea jambo kuhusu hili basi kila mmoja atasema lake
 
mwingine huyu hapa kasha likoroga wanazidi kumpandisha cheo....anaenda zake ubalozini USA

Ingekuwa nchi zinazojali demokrasia na maadili sherehe hii ingefanya Lukuvi na Nchimbi kujiuzulu. Kama mnakumbuka World bank president Paul Dundes Wolfowitz alilazimika kujiuzulu baada ya kukumbwa na kashfa ya kumpatia mpenzi wake Shaha Riza nafasi nzuri ndani ya world bank.

Pichani ni Mindi kasiga akisheherekea kuteuliwa kwenda kufanya kazi ubalozi wa Tanzania Marekani. Ni sherehe ambayo inaonesha kuwa mtu huyu yupo karibu sana na viongozi kiasi kwamba amezawadiwa nafasi ya kwenda kuishi washington kwa kodi za watanzania.

55.jpg


32.jpg


33.jpg


34.jpg


27.jpg


29.jpg


17.jpg


13.jpg


5.jpg


1.jpg


2.jpg


BADO TUNA SAFARI NDEFU SANA WATANZANIA. SIHOJI UHALALI WA MINDI KUTEULIWA WALA QUALIFICATION ILA NAHOJI KUONA WATU WENYE INFLUENCE KATIKA KUFIKIA MAAMUZI YA KUTEUA WATU WAKIWA KATIKA WIMBI LA KUJIRUSHA NA VIMWANA WAKISHEHEREKEA MTU MMOJA KUPATIA NAFASI NA SERIKALI YA KWENDA KUISHI USA KWA KODI ZA WALALAHOI. INGEKUWA KWA WENZETU HAWA WOTE WANGEKWENDA NA MAJI KWANI INAONDOA PUBLIC TRUST KWENYE SERIKALI YAO.






 
Is she Mindi Kasiga or Mindi Kasiga Tarimo? She was a Senior Communication Officer in charge of coordination of Government Communication at the Directorate of Communication and Press in the Office of the President of Tanzania.

She studied Communications Arts in the US, majoring in Public Relations and Electronic Media. She is a member of a recent-established Tanzania chapter of International Association of Business Communicators, a member of Communications Honor Society of American Universities and a member of Eastern and Southern Africa Youth Initiative.

She has hold positions in the Government including:
- Co-Director of communications for the Office of the President of Tanzania.
- Senior Communication Officer from the Office of the President of Tanzania.
- Afisa Uhusiano wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa.

Kama umeangalia picha za viongozi toka foreign affair chini unakuta zimeandikwa: "Photo by Mindi Kasiga Tarimo of the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation." She has been in charge of pushing for government to change the way it communicate with the public. Basically, I would say about PR and communication using the new technologies and social media.

If is Mindi Kasiga Tarimo, she has been a Secretary of the Unity of Women Friends (UWF), a volunteer non-governmental-association based in Dar es salaam. In case you're looking for connections the other UWF members are/were Mwate Madinda, Belinda Kivuyo Ngowe, Galina Ambari, Esther Wakati, Jane Ikira, Martha Kallaghe, Maryam Shamo, Jane Magembe, Lydia Sakaya, Juhayna Kusaga.

According to an article published in the Daily News by Michuzi in 2010 in which he interviewed her, the friendship of the named persons above go back ten years ago when most of them used to work in the same office (though the office was not named) (Daily News | Career women out to educate young girls).

Check PR CONVERSATIONS kuna interviews zake humo za Government PR and communications. According Mindi Kasiga, if the Government wants to communicate with the public, they would have to shift their paradigm from the old school of information to advanced two-way communication and engagement.



Itabidi tuitafute hiyo interview
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom