Wasiotaka Ikulu iwe na WEBSITE hawa hapa

Wananchi wanaweza kuona ofisi yao kama Wananchi wa Marekani wanaonyeshwa Ikulu yao kupitia website ya white house wanawaonyesha wananchi wao hata maua yaliopo ndani ya Ikulu.Watanzania wapatao Millioni Alobaini na Ushee wapate walau kujua Nyumba yao kuu uzuri wake na wanalo la kusema litakalo saidia kujua na kuchangia maendeleo ya ofisi hiyo ambayo pia ni makazi ya Rais wa Taifa letu.Bofya hapa uone ya Website White house ya Marekani.

Tena itakuwa na taarifa kadha wa kadha zikiwemo picha na hotuba za Marais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na wake zao waliopita ndani ya Mjengo huo.Dunia inabadilika hata kuonyesha machache kwa jamii ni moja ya mwamko wa kitekinolojia.Na itawapatia watoto wa shule na vyuo kupata taarifa na kupata jukwaa la kupata taarifa za masomo yao.Vile vle itatumika kujibu na kutoa picha maalumu za kutumika kwenye kutoa habari.

Kuwa na Website ya Kivukoni ni muhimu na wala halina mjadala, lakujiuliza Watanzania tuko committed (tayari) na mambo hayo kwani tunayo Website ya Taifa lakini inatushinda kuiupdate kila siku unachoona ni abuse - habari zisizoendana na wakati.
 
Kuwa na Website ya Kivukoni ni muhimu na wala halina mjadala, lakujiuliza Watanzania tuko committed (tayari) na mambo hayo kwani tunayo Website ya Taifa lakini inatushinda kuiupdate kila siku unachoona ni abuse - habari zisizoendana na wakati.

sasa hiyo website ya nini wakati hakuna mwenye internet?

mimi sioni umuhimu wake
 
hakuna website wala mfano wa website na wao wanafkiri nishasahau

niliwapumzisha tuu sasa nimerudi
 
hakuna website wala mfano wa website na wao wanafkiri nishasahau

niliwapumzisha tuu sasa nimerudi

Jembe january angekuwa bado yupo ikulu hiyo website ingeshasimama. Jamaa mpigananji sana ndo maana riz1 na ngeleja wanajaribu kumchafua ili anyamaze. january for president 2015. yaani wanajishusha sana hadi kumtukana sista yake, mpiganaji hawezi kunyamaza kwa kuchafuliwa, dawa ni ngeleja kutoka kwenye madaraka. hata amchafue jan hana hataweza kuuwa njozi zake za kuliokoa tz
 
Jembe january angekuwa bado yupo ikulu hiyo website ingeshasimama. Jamaa mpigananji sana ndo maana riz1 na ngeleja wanajaribu kumchafua ili anyamaze. january for president 2015. yaani wanajishusha sana hadi kumtukana sista yake, mpiganaji hawezi kunyamaza kwa kuchafuliwa, dawa ni ngeleja kutoka kwenye madaraka. hata amchafue jan hana hataweza kuuwa njozi zake za kuliokoa tz

Huyo January si alikuwepo pale na website ilikuwa hakuna au?

tatizo sio January

Tatizo ni waziri wa habari akifanya press conference hakuna mwanadishi wa habari anayesubutu kumuuliza kitu
 
Ungetuandikia hata jinsi gani tupate mshiko tungekuelewa.go and ask them.here we wl just coment bt wont b an implementation.hwever i thnx u 4wastng my time in comentng ths shit.develop uars and take 4them and ask them 2give u cash after presenting.
 
Mimi naunga mkono iwepo.Swali langu je itakuwa upadated mara kwa mara?au itavamiwa nawale wa picha za ngono kama ya bunge?
 
Booooooonge la publicity. Kweli JK anaipaisha Tanzania huko ughaibuni.

Anaipaisha familia yake tu! Kukutana na Ronaldo,Fifty Cent,na yule fastest man in the World[Usain Bolt],mbona hakujausaidia mlima Kilimanjaro? Maana kama anaitangaza TZ hata kura tusingetegemea zetu pekee..
 
Hawajui umuhimu wa kuwa na website ya ikulu. Cha ajabu wanawasiliana kwa kutumia yahoo mail na ndo maana mambo yao mengi yapo wazi ila wao hawajui wanakesha kutafuta mchawi anaetoa siri zao wakati wanatumia public server kwenye mambo nyeti ya nchi.

Hii ndo Tanzania kama ulikuwa hujui.
 
I think we should narrow our target to PREMMY


Mwenye profile ya PREMI atuleteee

alizaliwa wapi

Kakulia wapi

wazazi wake akina nani

kasoma secondary wapi

kasoma University wapi

First degree alisomea nini

dissertation yake ilihusu nini

Masters kasomea wapi

Thesis yake ilihusu nini

Alipata vipi kazi foreign

Kwa reference ya nani?

Alifanya kazi idara gani pale

Na alifanikiwanini pale

Tangu aingie ikulu kashafanya lipi la kuweza kumpa sifa

Je kashawahi kuandika any journal article yoyote ile ?

IQ yake ni ngapi?

Kaolewa?

Ana watoto wangapi?

Je ana background yoyote in media?

Relationship yake kikazi na wenzake ikoje alipokuwa FOREIGN na sasa IKULU?

Is she capable au ndio kabebwa bebwa tuu?

Can she survive in private sector?

WHY IS SHE MISLEADING THE PRESIDENT KUHUSU HILI SUALA LA WEBSITE?
 
Ungetuandikia hata jinsi gani tupate mshiko tungekuelewa.go and ask them.here we wl just coment bt wont b an implementation.hwever i thnx u 4wastng my time in comentng ths shit.develop uars and take 4them and ask them 2give u cash after presenting.


Hayo mambo yote yalishafanywa na matokeo yake huyu mama akaishia kuwatisha wale vijana kwa nini wana website yao ya Ikulu

zaidi soma hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/2875-ikulu-yatahadharisha.html


kwa hiyo si kweli kuwa watu hawajafanya juhudi
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom