Wasiotaka Ikulu iwe na WEBSITE hawa hapa

Account ya Kikwete kwenye Facebook haiendeshwi na yeye, yuko mtu pale ambaye ndiye shughuli yake. Mpaka miezi michache iliyopita alikuwa dada mmoja hivi, sina hakika kama bado anaendelea au amebadilishwa. Kwa hiyo hata ukiandika ujumbe ukajibiwa si yeye anayekujibu ni mtu mwingine ambaye amepewa jukumu hilo.
Website ni muhimu kuwepo, kinachoonekana kuwa tatizo ni huyo Salva. Yeye kama mkuu wa mawasiliano anatakiwa awe "sura" ya serikali katika mawasiliano, mikutano na waandishi na mambo kama hayo. Nina wasiwasi mkubwa na uwezo wake kiutendaji hasa ufahamu wake kuhusu public relations.
 
tena wasiwe na website wasije wakatuaibisha bure....website iliyojaa picha za uzinduzi,
safari za ulaya, na matamko yanayokinzana kuhusu ambo lilellile....
 
These bunch kama alivyosema mtu siku za nyuma

they have a bunker mentality na mimi kipimo changu juu ya kazi yao ni website na kama hawana then I guess they are just out of touch kama wengine
 
Mliopo USA akija bosi muulizeni hili swali

najua Salva atajaribu kuchakachua lakini nyie ulizeni tuu

kumbe bosi alishatoa pesa kwa ajili ya huu mradi lakini watu wamezila
 
Naunga mkono

JK akija DICOTA muuulizeni pesa alizotoa zaidi ya DOLA LAKI 6 kwa ajili ya website zimeishia wapi?
 
updates:

JK amepewa tuzo ya kuwa pioneer katika SOCIAL MEDIA huko New York jana

IMG_4201.JPG
 
nasdaq.jpg




na wanaalikwa NASDAQ lakini mimi bila website naona hawa jamaa wanatufanya wajinga

hiyo blog ilitakiwa iwe incorporated in the main website lakini sio blogspot...NO WAY!!

wee unabifu na ikulu kwa sababu walikutoa huko ki-design. mwenyewe ulikoroga ndo maana. hotuba ulizokuwa ukimuandikia Jk zilikuwa bomu ndo maana umeamua kumchafua salva na premi
 
wee unabifu na ikulu kwa sababu walikutoa huko ki-design. mwenyewe ulikoroga ndo maana. hotuba ulizokuwa ukimuandikia Jk zilikuwa bomu ndo maana umeamua kumchafua salva na premi

Kwani huko wanalipana kiasi gani mpaka wanganganie?

mie naona walioko nje ya bubble na walioji set wako fresh zaidi kwani hakuna kumulikwa mulikwa

otherwise ikulu kutumia e-mail za yahoo na kuwa na blogspot kama website is a disgrace

DICOTA ulizeni hili swali la website
 
I think you guys are being unfair to Premi na Salva

watanzania wangapi wana access na umeme let alone computer au internet mpaka muanze ku demand hiyo website?

who cares kama Ikulu haina website?
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom