Rais Samia tafadhali soma hapa na ujumbe ukufikie

NextPresd

Member
Nov 10, 2022
6
37
Mh. Rais Dkt. Samia,

Kwanza naomba unisamehe kwa lugha ngumu nitakayoitumia hapa ili kukufikishia ujumbe huu kwa niaba ya mamilioni ya Watanzania.

Nikurejeshe siku uliokula kiapo pale Ikulu ya Dar es Salaam, ukiwa kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania uliapa kuilinda nchi hii. Maana ya kuilinda nchi ina mapana yake, kuna kulinda mipaka ya nchi, watu na mali zao, rasilimali za nchi, katiba n.k Hayo ni baadhi tu ya mambo muhimu uliyoapa kuyasimamia na mengineyo mengi yaliyomo ndani yake.

Mh. Rais, hali ya nchi hii kwa sasa sio nzuri kwa manufaa ya watanzania walio wengi ila hali ni nzuri sana kwa watanzania wachache ambao kila uchao wanakusifia na kujikomba kwako ili waendelee kuneemesha matumbo yao na kujilimbikizia mali kwa wizi wa rasilimali za nchi hii na kujijenga kisiasa wakitegemea baada ya wewe kuachia kijiti waweze ku-take over na kuendeleza ufisadi. Nitakupa mifano kadhaa:

1. Hivi Rais kweli kabisa hujui Rais wa mawe (Mwigulu) anatumia nafasi yake kwa kujilimbikizia mali? anajitahidi kuzunguka huko na huko kwa kigezo cha kutafuta pesa kukusaidia kupata fedha za kuendesha nchi hii kwa kigezo cha mikopo nafuu ili hali yeye kama Paymaster wako anatumia hiyo fursa kuchota mabilioni ya fedha na kuficha nje ya nchi na kufungua makampuni mbalimbali ya kibiashara? Hivi hao TISS wana kazi gani hasa? kweli wanashindwa kukupa taarifa muhimu kama hizi with supporting evidence na wewe uweze kuchukua hatua? au ndio unaona huna mtu mbadala wa huyo Rais wa Mawe?

2. Kuna huyu kijana February Marope, hivi kweli Mh. Rais unashauriwa kuwa inabidi 1.5 Trilioni inahitajika kwa ajili ya kufumua miundombinu ya TANESCO na kuanza upya nchi nzima? na wewe unakubaliana na hizo hoja zao, hivi hujaona kuwa hicho ni kichaka cha upigaji? yaani Mh. unajua ni kiasi gani cha maumivu ambayo watanzania wanayapata kupitia upigaji huu wa hawa watu? unaweza kusema hilo litatekelezwa kupitia fedha ya mkopo au kupitia wahisani, but who will pay that? is not the tax paid by Tanzanians if not today, then some years to come they will pay it? Mama kuwa na huruma na watanzania. Kuna usemi unasema bora lawama kuliko fedhea. Fanya maamuzi magumu ili auche legacy katika nchi hii. Nikupe mfano mzuri mama labda utanielewa kwa hili, President J.K ruled this country for ten years before Magufuli. He did a lot of things, good and bad ones that I can't mention here. Lakini magufuli hakumaliza ten years, na toka afariki hadi sasa ni miaka miwili imepita, lakini legacy aliyoiacha hadi hii leo bado watu wanamkumbuka. japo alikuwa na ubabe, udikteta n.k lakini mazuri mengi aliyoyafanya bado watanzania mjini na vijijini wanamkumbuka, though alikwama kimataifa na kufinya demokrasia ila bado watu wanamkumbuka. Pointi yangu hapa ni kuwa pamoja na mengine yote ya kiudhaifu kama binadamu, lakini Mh. Simama kidete kusimamia rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya watanzania. Kesho hutakuwa madarakani au duniani lakini mamilioni ya watanzania watakukumbuka kwa legacy utakayoiacha.

3. Rejea ripoti ya CAG, ona madudu ya TTCL, Air Tanzania - achilia mbali dili la ndege ya mizigo ambalo master minder wake ni Mwigulu (paymaster) -angalia pale ndani ya air tanzania palivyokuwa kichaka cha upigaji, angalia kadogosa na reli ya SGR anavyochakachua mabilioni ya watanzania kwa upigaji huku PM wako akiwa ndani ya mfumo. Kumi pale Bandarini sasa hivi kila mtu anafanya atakavyo, na TISS wapo ila nao wameamua kula kwa urefu wa kamba yao kama ulivyowaelekeza. Ona manunuzi ya magari ya serikali - 35 Billioni zimetumika kwa magari ambayo hayapo na hayajulikani yapo wapi? hivi hawa watu unawaogopa au? Shida ni nini hasa Mh. Rais?

4. Hivi unajua makaa ya mawe yanayotoka mkoani Ruvuma kule kijiji cha Ruanda kwa siku ni tani ngapi zinaondoka? unajua mashimo yaliyoko kule mgodini ukilinganisha na kinachowafaidisha watanzania? Unajua yale magari yaliyoandikwa 'Specialized' yanayotanda barabara zote - njia ya songea lindi mtwara, na songea iringa - moro yanamilikiwa na nani? unajua thamani ya ule mkataba upoje? mwite PM wako leo jioni muulize akupe majibu maana anajua uchafu wote japo najua hawezi kukuueleza ukweli kwa sababu ya personal interest, Biteko ndio jipu uchungu lilijivika ngozi ya uzalendo kwa kujidai mlinda madini ya nchi hii.

5. Mh. Rais, nimekueleza machache tu kati ya mengi yanayowaumiza watanzania. Lakini pengine yawezekana shida ikawa ni mfumo ulioukuta/urithi toka kwa watangulizi wako. Mimi nakushauri kwa moyo wa upendo kabisa, waletee watanzania katiba mpya. "HII NDIO LEGACY KUBWA AMBAYO UTAIACHA KWA WATANZANIA'. Jitokeze hadharani, sema kwa sasa katiba mpya ni kipaumbele chako. Kama watu wanateketeza mabilioni ya fedha kwa kujilimbikizia kwa maslahi binafsi, hivi wewe unashindwa kutumia BILIONI 50 kwa ajili ya katiba mpya? Kwa mtazamo wangu, ile pendekezo la katiba mpya ya Tume ya Warioba ndio itakuwa muarobaini kwa uchafu unaendelea sasa hivi nchini. Najua wapo wana CCM ambao kwa maslahi yao binafsi watakupinga kuhusu hili lakini ukweli ni kwamba utaheshimika kimataifa na pengine hadi kupewa tuzo maarufu duniani after your retirement na kuwa mwanamke wa mfano duniani kama utayafanyia kazi maoni yangu.

6. Mwisho, tambua timu nzima ya mawaziri waliokuzunguka ni wapigaji. Mwite DGS mpe special task na kuletee majibu. Swali la kizushi: hivi wale vyura wa kihansi kule marekani wataendelea kutumia mabilioni ya watanzania hadi lini?

NB: Kiubinadamu najua utakuwa umechukizwa na huu ujumbe wangu ukidhani labda sioni jitihada zako unazozifanya, no please unajitahidi sana tena sana kuwapambania watanzania pamoja na kuwa na weakness za hapa na pale kama binadamu tu wa kawaida, but for 80% bravo my dear President, lakini hilo halina maana kuwa tusikuambie ukweli pale panapohitajika ili uweze kufanya vizuri zaidi. Chukulia niliyokuambia hapo juu ni kama nimekaa nawe sehemu tunakunywa kikombe cha kahawa huku tunabadilishana mawazo.

As my ID implies: Next Presd. ni kweli ipo hivyo, ila sio kwa sasa, this will be by 2030s by then you will be called 'Retired President'.

I believe I will meet you one day and talk together.

Wishing you 'Ramadhan Kareem', and 'A prosperous Easter Holiday'.
 
Nyie Watanzania kwa nini huwa hamuelewi,vichwa venu ni kama vimejaa maji.kwa mfumo wa kiutawala wa hii Nchi ulivyo hakiwezi kufanyika chochote kuhusu malipo ya projects kubwa Rais wa Nchi asijue!.

Acheni kuwapaka watu matope na kusingizia watu.kwa mifumo ya hii Nchi huwezi Fanya ufisadi wa 1.5 Trillion Rais asifahamu never ever.
 
Mh. Rais Dkt. Samia,

Kwanza naomba unisamehe kwa lugha ngumu nitakayoitumia hapa ili kukufikishia ujumbe huu kwa niaba ya mamilioni ya Watanzania.

Nikurejeshe siku uliokula kiapo pale Ikulu ya Dar es Salaam, ukiwa kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania uliapa kuilinda nchi hii. Maana ya kuilinda nchi ina mapana yake, kuna kulinda mipaka ya nchi, watu na mali zao, rasilimali za nchi, katiba n.k Hayo ni baadhi tu ya mambo muhimu uliyoapa kuyasimamia na mengineyo mengi yaliyomo ndani yake.

Mh. Rais, hali ya nchi hii kwa sasa sio nzuri kwa manufaa ya watanzania walio wengi ila hali ni nzuri sana kwa watanzania wachache ambao kila uchao wanakusifia na kujikomba kwako ili waendelee kuneemesha matumbo yao na kujilimbikizia mali kwa wizi wa rasilimali za nchi hii na kujijenga kisiasa wakitegemea baada ya wewe kuachia kijiti waweze ku-take over na kuendeleza ufisadi. Nitakupa mifano kadhaa:

1. Hivi Rais kweli kabisa hujui Rais wa mawe (Mwigulu) anatumia nafasi yake kwa kujilimbikizia mali? anajitahidi kuzunguka huko na huko kwa kigezo cha kutafuta pesa kukusaidia kupata fedha za kuendesha nchi hii kwa kigezo cha mikopo nafuu ili hali yeye kama Paymaster wako anatumia hiyo fursa kuchota mabilioni ya fedha na kuficha nje ya nchi na kufungua makampuni mbalimbali ya kibiashara? Hivi hao TISS wana kazi gani hasa? kweli wanashindwa kukupa taarifa muhimu kama hizi with supporting evidence na wewe uweze kuchukua hatua? au ndio unaona huna mtu mbadala wa huyo Rais wa Mawe?

2. Kuna huyu kijana February Marope, hivi kweli Mh. Rais unashauriwa kuwa inabidi 1.5 Trilioni inahitajika kwa ajili ya kufumua miundombinu ya TANESCO na kuanza upya nchi nzima? na wewe unakubaliana na hizo hoja zao, hivi hujaona kuwa hicho ni kichaka cha upigaji? yaani Mh. unajua ni kiasi gani cha maumivu ambayo watanzania wanayapata kupitia upigaji huu wa hawa watu? unaweza kusema hilo litatekelezwa kupitia fedha ya mkopo au kupitia wahisani, but who will pay that? is not the tax paid by Tanzanians if not today, then some years to come they will pay it? Mama kuwa na huruma na watanzania. Kuna usemi unasema bora lawama kuliko fedhea. Fanya maamuzi magumu ili auche legacy katika nchi hii. Nikupe mfano mzuri mama labda utanielewa kwa hili, President J.K ruled this country for ten years before Magufuli. He did a lot of things, good and bad ones that I can't mention here. Lakini magufuli hakumaliza ten years, na toka afariki hadi sasa ni miaka miwili imepita, lakini legacy aliyoiacha hadi hii leo bado watu wanamkumbuka. japo alikuwa na ubabe, udikteta n.k lakini mazuri mengi aliyoyafanya bado watanzania mjini na vijijini wanamkumbuka, though alikwama kimataifa na kufinya demokrasia ila bado watu wanamkumbuka. Pointi yangu hapa ni kuwa pamoja na mengine yote ya kiudhaifu kama binadamu, lakini Mh. Simama kidete kusimamia rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya watanzania. Kesho hutakuwa madarakani au duniani lakini mamilioni ya watanzania watakukumbuka kwa legacy utakayoiacha.

3. Rejea ripoti ya CAG, ona madudu ya TTCL, Air Tanzania - achilia mbali dili la ndege ya mizigo ambalo master minder wake ni Mwigulu (paymaster) -angalia pale ndani ya air tanzania palivyokuwa kichaka cha upigaji, angalia kadogosa na reli ya SGR anavyochakachua mabilioni ya watanzania kwa upigaji huku PM wako akiwa ndani ya mfumo. Kumi pale Bandarini sasa hivi kila mtu anafanya atakavyo, na TISS wapo ila nao wameamua kula kwa urefu wa kamba yao kama ulivyowaelekeza. Ona manunuzi ya magari ya serikali - 35 Billioni zimetumika kwa magari ambayo hayapo na hayajulikani yapo wapi? hivi hawa watu unawaogopa au? Shida ni nini hasa Mh. Rais?

4. Hivi unajua makaa ya mawe yanayotoka mkoani Ruvuma kule kijiji cha Ruanda kwa siku ni tani ngapi zinaondoka? unajua mashimo yaliyoko kule mgodini ukilinganisha na kinachowafaidisha watanzania? Unajua yale magari yaliyoandikwa 'Specialized' yanayotanda barabara zote - njia ya songea lindi mtwara, na songea iringa - moro yanamilikiwa na nani? unajua thamani ya ule mkataba upoje? mwite PM wako leo jioni muulize akupe majibu maana anajua uchafu wote japo najua hawezi kukuueleza ukweli kwa sababu ya personal interest, Biteko ndio jipu uchungu lilijivika ngozi ya uzalendo kwa kujidai mlinda madini ya nchi hii.

5. Mh. Rais, nimekueleza machache tu kati ya mengi yanayowaumiza watanzania. Lakini pengine yawezekana shida ikawa ni mfumo ulioukuta/urithi toka kwa watangulizi wako. Mimi nakushauri kwa moyo wa upendo kabisa, waletee watanzania katiba mpya. "HII NDIO LEGACY KUBWA AMBAYO UTAIACHA KWA WATANZANIA'. Jitokeze hadharani, sema kwa sasa katiba mpya ni kipaumbele chako. Kama watu wanateketeza mabilioni ya fedha kwa kujilimbikizia kwa maslahi binafsi, hivi wewe unashindwa kutumia BILIONI 50 kwa ajili ya katiba mpya? Kwa mtazamo wangu, ile pendekezo la katiba mpya ya Tume ya Warioba ndio itakuwa muarobaini kwa uchafu unaendelea sasa hivi nchini. Najua wapo wana CCM ambao kwa maslahi yao binafsi watakupinga kuhusu hili lakini ukweli ni kwamba utaheshimika kimataifa na pengine hadi kupewa tuzo maarufu duniani after your retirement na kuwa mwanamke wa mfano duniani kama utayafanyia kazi maoni yangu.

6. Mwisho, tambua timu nzima ya mawaziri waliokuzunguka ni wapigaji. Mwite DGS mpe special task na kuletee majibu. Swali la kizushi: hivi wale vyura wa kihansi kule marekani wataendelea kutumia mabilioni ya watanzania hadi lini?

NB: Kiubinadamu najua utakuwa umechukizwa na huu ujumbe wangu ukidhani labda sioni jitihada zako unazozifanya, no please unajitahidi sana tena sana kuwapambania watanzania pamoja na kuwa na weakness za hapa na pale kama binadamu tu wa kawaida, but for 80% bravo my dear President, lakini hilo halina maana kuwa tusikuambie ukweli pale panapohitajika ili uweze kufanya vizuri zaidi. Chukulia niliyokuambia hapo juu ni kama nimekaa nawe sehemu tunakunywa kikombe cha kahawa huku tunabadilishana mawazo.

As my ID implies: Next Presd. ni kweli ipo hivyo, ila sio kwa sasa, this will be by 2030s by then you will be called 'Retired President'.

I believe I will meet you one day and talk together.

Wishing you 'Ramadhan Kareem', and 'A prosperous Easter Holiday'.
Nina miaka mingi sana sijaanzisha thread humu JF,ila huwezi amini leo tangu naamka nilikuwa na wazo la kuandika thread yenye content inayofanana na hii kwa asilimi 90

yani ni kwamba umeongea kilichokuwa akilini mwangu sema tu mwishoni wa hoja yangu nilitaka nimuambie kama katika miaka yake yote atashindwa kuchukua hatua kwa haya yote yaliyotokea basi atuombe msamaha watanzania hii inatosha tu na tutamuelewa hata mwenzie the late Mkapa alituomba msamaha kwa kile alichoona amekosea kipindi cha utawala wake.

kuna mambo yanatia uchungu sana hii nchi
 
Nina miaka mingi sana sijaanzisha thread humu JF,ila huwezi amini leo tangu naamka nilikuwa na wazo la kuandika thread yenye content inayofanana na hii kwa asilimi 90

yani ni kwamba umeongea kilichokuwa akilini mwangu sema tu mwishoni wa hoja yangu nilitaka nimuambie kama katika miaka yake yote atashindwa kuchukua hatua kwa haya yote yaliyotokea basi atuombe msamaha watanzania hii inatosha tu na tutamuelewa hata mwenzie the late Mkapa alituomba msamaha kwa kile alichoona amekosea kipindi cha utawala wake.

kuna mambo yanatia uchungu sana hii nchi
Mtu akiubia maisha yako na mali zako akikuomba msamaha utakubali??!!Yeye abaki na mali zako au maisha yako?? Naona kuna shida Tanzania ndio sababu mtafanyiwa ufedhuli na uhanithi mpaka mwisho
 
Mtu akiubia maisha yako na mali zako akikuomba msamaha utakubali??!!Yeye abaki na mali zako au maisha yako?? Naona kuna shida Tanzania ndio sababu mtafanyiwa ufedhuli na uhanithi mpaka mwisho
Sasa mtamfanya nini!? Si bora iwe hivyo tu mtu atambue makosa yake na yamsononeshe huko rohoni!? Mkisema mchukue hatua mtamfanya nini mkiambiwa muingie barabarani kama Kenya mkipigwa biti la kupigwa mpaka kuchakaa mnajifungia ndani,mkiambiwa mpiganie katiba mnabeza mnawaachia wachache wapiganie kungekuwa na katiba nzuri watawala wangewajibishwa baada tu ya kutoka madarakani, kibaya zaidi mtawala anaboronga miaka mitano ya mwanzo akigombea tena anashinda kwa kishindo na hamfanyi kitu..Hadi hapo unataka nini kifanyike!? Si bora mumtengenezee mazingira ajue kosa lake asononeke tu na roho yake maisha yaendelee
 
Mh. Rais Dkt. Samia,

Kwanza naomba unisamehe kwa lugha ngumu nitakayoitumia hapa ili kukufikishia ujumbe huu kwa niaba ya mamilioni ya Watanzania.

Nikurejeshe siku uliokula kiapo pale Ikulu ya Dar es Salaam, ukiwa kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania uliapa kuilinda nchi hii. Maana ya kuilinda nchi ina mapana yake, kuna kulinda mipaka ya nchi, watu na mali zao, rasilimali za nchi, katiba n.k Hayo ni baadhi tu ya mambo muhimu uliyoapa kuyasimamia na mengineyo mengi yaliyomo ndani yake.

Mh. Rais, hali ya nchi hii kwa sasa sio nzuri kwa manufaa ya watanzania walio wengi ila hali ni nzuri sana kwa watanzania wachache ambao kila uchao wanakusifia na kujikomba kwako ili waendelee kuneemesha matumbo yao na kujilimbikizia mali kwa wizi wa rasilimali za nchi hii na kujijenga kisiasa wakitegemea baada ya wewe kuachia kijiti waweze ku-take over na kuendeleza ufisadi. Nitakupa mifano kadhaa:

1. Hivi Rais kweli kabisa hujui Rais wa mawe (Mwigulu) anatumia nafasi yake kwa kujilimbikizia mali? anajitahidi kuzunguka huko na huko kwa kigezo cha kutafuta pesa kukusaidia kupata fedha za kuendesha nchi hii kwa kigezo cha mikopo nafuu ili hali yeye kama Paymaster wako anatumia hiyo fursa kuchota mabilioni ya fedha na kuficha nje ya nchi na kufungua makampuni mbalimbali ya kibiashara? Hivi hao TISS wana kazi gani hasa? kweli wanashindwa kukupa taarifa muhimu kama hizi with supporting evidence na wewe uweze kuchukua hatua? au ndio unaona huna mtu mbadala wa huyo Rais wa Mawe?

2. Kuna huyu kijana February Marope, hivi kweli Mh. Rais unashauriwa kuwa inabidi 1.5 Trilioni inahitajika kwa ajili ya kufumua miundombinu ya TANESCO na kuanza upya nchi nzima? na wewe unakubaliana na hizo hoja zao, hivi hujaona kuwa hicho ni kichaka cha upigaji? yaani Mh. unajua ni kiasi gani cha maumivu ambayo watanzania wanayapata kupitia upigaji huu wa hawa watu? unaweza kusema hilo litatekelezwa kupitia fedha ya mkopo au kupitia wahisani, but who will pay that? is not the tax paid by Tanzanians if not today, then some years to come they will pay it? Mama kuwa na huruma na watanzania. Kuna usemi unasema bora lawama kuliko fedhea. Fanya maamuzi magumu ili auche legacy katika nchi hii. Nikupe mfano mzuri mama labda utanielewa kwa hili, President J.K ruled this country for ten years before Magufuli. He did a lot of things, good and bad ones that I can't mention here. Lakini magufuli hakumaliza ten years, na toka afariki hadi sasa ni miaka miwili imepita, lakini legacy aliyoiacha hadi hii leo bado watu wanamkumbuka. japo alikuwa na ubabe, udikteta n.k lakini mazuri mengi aliyoyafanya bado watanzania mjini na vijijini wanamkumbuka, though alikwama kimataifa na kufinya demokrasia ila bado watu wanamkumbuka. Pointi yangu hapa ni kuwa pamoja na mengine yote ya kiudhaifu kama binadamu, lakini Mh. Simama kidete kusimamia rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya watanzania. Kesho hutakuwa madarakani au duniani lakini mamilioni ya watanzania watakukumbuka kwa legacy utakayoiacha.

3. Rejea ripoti ya CAG, ona madudu ya TTCL, Air Tanzania - achilia mbali dili la ndege ya mizigo ambalo master minder wake ni Mwigulu (paymaster) -angalia pale ndani ya air tanzania palivyokuwa kichaka cha upigaji, angalia kadogosa na reli ya SGR anavyochakachua mabilioni ya watanzania kwa upigaji huku PM wako akiwa ndani ya mfumo. Kumi pale Bandarini sasa hivi kila mtu anafanya atakavyo, na TISS wapo ila nao wameamua kula kwa urefu wa kamba yao kama ulivyowaelekeza. Ona manunuzi ya magari ya serikali - 35 Billioni zimetumika kwa magari ambayo hayapo na hayajulikani yapo wapi? hivi hawa watu unawaogopa au? Shida ni nini hasa Mh. Rais?

4. Hivi unajua makaa ya mawe yanayotoka mkoani Ruvuma kule kijiji cha Ruanda kwa siku ni tani ngapi zinaondoka? unajua mashimo yaliyoko kule mgodini ukilinganisha na kinachowafaidisha watanzania? Unajua yale magari yaliyoandikwa 'Specialized' yanayotanda barabara zote - njia ya songea lindi mtwara, na songea iringa - moro yanamilikiwa na nani? unajua thamani ya ule mkataba upoje? mwite PM wako leo jioni muulize akupe majibu maana anajua uchafu wote japo najua hawezi kukuueleza ukweli kwa sababu ya personal interest, Biteko ndio jipu uchungu lilijivika ngozi ya uzalendo kwa kujidai mlinda madini ya nchi hii.

5. Mh. Rais, nimekueleza machache tu kati ya mengi yanayowaumiza watanzania. Lakini pengine yawezekana shida ikawa ni mfumo ulioukuta/urithi toka kwa watangulizi wako. Mimi nakushauri kwa moyo wa upendo kabisa, waletee watanzania katiba mpya. "HII NDIO LEGACY KUBWA AMBAYO UTAIACHA KWA WATANZANIA'. Jitokeze hadharani, sema kwa sasa katiba mpya ni kipaumbele chako. Kama watu wanateketeza mabilioni ya fedha kwa kujilimbikizia kwa maslahi binafsi, hivi wewe unashindwa kutumia BILIONI 50 kwa ajili ya katiba mpya? Kwa mtazamo wangu, ile pendekezo la katiba mpya ya Tume ya Warioba ndio itakuwa muarobaini kwa uchafu unaendelea sasa hivi nchini. Najua wapo wana CCM ambao kwa maslahi yao binafsi watakupinga kuhusu hili lakini ukweli ni kwamba utaheshimika kimataifa na pengine hadi kupewa tuzo maarufu duniani after your retirement na kuwa mwanamke wa mfano duniani kama utayafanyia kazi maoni yangu.

6. Mwisho, tambua timu nzima ya mawaziri waliokuzunguka ni wapigaji. Mwite DGS mpe special task na kuletee majibu. Swali la kizushi: hivi wale vyura wa kihansi kule marekani wataendelea kutumia mabilioni ya watanzania hadi lini?

NB: Kiubinadamu najua utakuwa umechukizwa na huu ujumbe wangu ukidhani labda sioni jitihada zako unazozifanya, no please unajitahidi sana tena sana kuwapambania watanzania pamoja na kuwa na weakness za hapa na pale kama binadamu tu wa kawaida, but for 80% bravo my dear President, lakini hilo halina maana kuwa tusikuambie ukweli pale panapohitajika ili uweze kufanya vizuri zaidi. Chukulia niliyokuambia hapo juu ni kama nimekaa nawe sehemu tunakunywa kikombe cha kahawa huku tunabadilishana mawazo.

As my ID implies: Next Presd. ni kweli ipo hivyo, ila sio kwa sasa, this will be by 2030s by then you will be called 'Retired President'.

I believe I will meet you one day and talk together.

Wishing you 'Ramadhan Kareem', and 'A prosperous Easter Holiday'.
UNakufahamu Mirembe? Kawaulize watu hapo jirani yako
 
Sasa mtamfanya nini!? Si bora iwe hivyo tu mtu atambue makosa yake na yamsononeshe huko rohoni!? Mkisema mchukue hatua mtamfanya nini mkiambiwa muingie barabarani kama Kenya mkipigwa biti la kupigwa mpaka kuchakaa mnajifungia ndani,mkiambiwa mpiganie katiba mnabeza mnawaachia wachache wapiganie kungekuwa na katiba nzuri watawala wangewajibishwa baada tu ya kutoka madarakani, kibaya zaidi mtawala anaboronga miaka mitano ya mwanzo akigombea tena anashinda kwa kishindo na hamfanyi kitu..Hadi hapo unataka nini kifanyike!? Si bora mumtengenezee mazingira ajue kosa lake asononeke tu na roho yake maisha yaendelee
Upumbavu huo uko Tanzania tu na sio nchi nyingine kwa hiyo wacha waendelee kuiba wakimaliza wataomba msamaha na wataishi kifahari bila shida yeyote wajinga ndio waliwao
 
hivi hawa watu unawaogopa au?
Umemuuliza swali gumu kukujibu hili na hatokujibu kamwe, sahau maana jibu la hilo swali hata wewe unalijua ndio Mama anaogopa yasije kumkuta makuu maana ana watoto na wajukuu, akifikiria familia akifikiria hapo tu anarudi nyuma hatua mbili nyuma, sitaki kua mropokaji sana acha niishie hapa akikuona namna gan inaleta za kuleta anatumia ile kauli ya

"Mimi Mama wewe ni kijana ukizingua nitakuzingua..."

Sasa mama kwa hio vijana unaweza kuwazingua na kuwavusha wakasome Cuba Ila wazee wa m_:_$- wapigaji unaogopa kuwazingua kila wanapokuzingua au hapo vipi ?
 
Mh. Rais Dkt. Samia,

Kwanza naomba unisamehe kwa lugha ngumu nitakayoitumia hapa ili kukufikishia ujumbe huu kwa niaba ya mamilioni ya Watanzania.

Nikurejeshe siku uliokula kiapo pale Ikulu ya Dar es Salaam, ukiwa kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania uliapa kuilinda nchi hii. Maana ya kuilinda nchi ina mapana yake, kuna kulinda mipaka ya nchi, watu na mali zao, rasilimali za nchi, katiba n.k Hayo ni baadhi tu ya mambo muhimu uliyoapa kuyasimamia na mengineyo mengi yaliyomo ndani yake.

Mh. Rais, hali ya nchi hii kwa sasa sio nzuri kwa manufaa ya watanzania walio wengi ila hali ni nzuri sana kwa watanzania wachache ambao kila uchao wanakusifia na kujikomba kwako ili waendelee kuneemesha matumbo yao na kujilimbikizia mali kwa wizi wa rasilimali za nchi hii na kujijenga kisiasa wakitegemea baada ya wewe kuachia kijiti waweze ku-take over na kuendeleza ufisadi. Nitakupa mifano kadhaa:

1. Hivi Rais kweli kabisa hujui Rais wa mawe (Mwigulu) anatumia nafasi yake kwa kujilimbikizia mali? anajitahidi kuzunguka huko na huko kwa kigezo cha kutafuta pesa kukusaidia kupata fedha za kuendesha nchi hii kwa kigezo cha mikopo nafuu ili hali yeye kama Paymaster wako anatumia hiyo fursa kuchota mabilioni ya fedha na kuficha nje ya nchi na kufungua makampuni mbalimbali ya kibiashara? Hivi hao TISS wana kazi gani hasa? kweli wanashindwa kukupa taarifa muhimu kama hizi with supporting evidence na wewe uweze kuchukua hatua? au ndio unaona huna mtu mbadala wa huyo Rais wa Mawe?

2. Kuna huyu kijana February Marope, hivi kweli Mh. Rais unashauriwa kuwa inabidi 1.5 Trilioni inahitajika kwa ajili ya kufumua miundombinu ya TANESCO na kuanza upya nchi nzima? na wewe unakubaliana na hizo hoja zao, hivi hujaona kuwa hicho ni kichaka cha upigaji? yaani Mh. unajua ni kiasi gani cha maumivu ambayo watanzania wanayapata kupitia upigaji huu wa hawa watu? unaweza kusema hilo litatekelezwa kupitia fedha ya mkopo au kupitia wahisani, but who will pay that? is not the tax paid by Tanzanians if not today, then some years to come they will pay it? Mama kuwa na huruma na watanzania. Kuna usemi unasema bora lawama kuliko fedhea. Fanya maamuzi magumu ili auche legacy katika nchi hii. Nikupe mfano mzuri mama labda utanielewa kwa hili, President J.K ruled this country for ten years before Magufuli. He did a lot of things, good and bad ones that I can't mention here. Lakini magufuli hakumaliza ten years, na toka afariki hadi sasa ni miaka miwili imepita, lakini legacy aliyoiacha hadi hii leo bado watu wanamkumbuka. japo alikuwa na ubabe, udikteta n.k lakini mazuri mengi aliyoyafanya bado watanzania mjini na vijijini wanamkumbuka, though alikwama kimataifa na kufinya demokrasia ila bado watu wanamkumbuka. Pointi yangu hapa ni kuwa pamoja na mengine yote ya kiudhaifu kama binadamu, lakini Mh. Simama kidete kusimamia rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya watanzania. Kesho hutakuwa madarakani au duniani lakini mamilioni ya watanzania watakukumbuka kwa legacy utakayoiacha.

3. Rejea ripoti ya CAG, ona madudu ya TTCL, Air Tanzania - achilia mbali dili la ndege ya mizigo ambalo master minder wake ni Mwigulu (paymaster) -angalia pale ndani ya air tanzania palivyokuwa kichaka cha upigaji, angalia kadogosa na reli ya SGR anavyochakachua mabilioni ya watanzania kwa upigaji huku PM wako akiwa ndani ya mfumo. Kumi pale Bandarini sasa hivi kila mtu anafanya atakavyo, na TISS wapo ila nao wameamua kula kwa urefu wa kamba yao kama ulivyowaelekeza. Ona manunuzi ya magari ya serikali - 35 Billioni zimetumika kwa magari ambayo hayapo na hayajulikani yapo wapi? hivi hawa watu unawaogopa au? Shida ni nini hasa Mh. Rais?

4. Hivi unajua makaa ya mawe yanayotoka mkoani Ruvuma kule kijiji cha Ruanda kwa siku ni tani ngapi zinaondoka? unajua mashimo yaliyoko kule mgodini ukilinganisha na kinachowafaidisha watanzania? Unajua yale magari yaliyoandikwa 'Specialized' yanayotanda barabara zote - njia ya songea lindi mtwara, na songea iringa - moro yanamilikiwa na nani? unajua thamani ya ule mkataba upoje? mwite PM wako leo jioni muulize akupe majibu maana anajua uchafu wote japo najua hawezi kukuueleza ukweli kwa sababu ya personal interest, Biteko ndio jipu uchungu lilijivika ngozi ya uzalendo kwa kujidai mlinda madini ya nchi hii.

5. Mh. Rais, nimekueleza machache tu kati ya mengi yanayowaumiza watanzania. Lakini pengine yawezekana shida ikawa ni mfumo ulioukuta/urithi toka kwa watangulizi wako. Mimi nakushauri kwa moyo wa upendo kabisa, waletee watanzania katiba mpya. "HII NDIO LEGACY KUBWA AMBAYO UTAIACHA KWA WATANZANIA'. Jitokeze hadharani, sema kwa sasa katiba mpya ni kipaumbele chako. Kama watu wanateketeza mabilioni ya fedha kwa kujilimbikizia kwa maslahi binafsi, hivi wewe unashindwa kutumia BILIONI 50 kwa ajili ya katiba mpya? Kwa mtazamo wangu, ile pendekezo la katiba mpya ya Tume ya Warioba ndio itakuwa muarobaini kwa uchafu unaendelea sasa hivi nchini. Najua wapo wana CCM ambao kwa maslahi yao binafsi watakupinga kuhusu hili lakini ukweli ni kwamba utaheshimika kimataifa na pengine hadi kupewa tuzo maarufu duniani after your retirement na kuwa mwanamke wa mfano duniani kama utayafanyia kazi maoni yangu.

6. Mwisho, tambua timu nzima ya mawaziri waliokuzunguka ni wapigaji. Mwite DGS mpe special task na kuletee majibu. Swali la kizushi: hivi wale vyura wa kihansi kule marekani wataendelea kutumia mabilioni ya watanzania hadi lini?

NB: Kiubinadamu najua utakuwa umechukizwa na huu ujumbe wangu ukidhani labda sioni jitihada zako unazozifanya, no please unajitahidi sana tena sana kuwapambania watanzania pamoja na kuwa na weakness za hapa na pale kama binadamu tu wa kawaida, but for 80% bravo my dear President, lakini hilo halina maana kuwa tusikuambie ukweli pale panapohitajika ili uweze kufanya vizuri zaidi. Chukulia niliyokuambia hapo juu ni kama nimekaa nawe sehemu tunakunywa kikombe cha kahawa huku tunabadilishana mawazo.

As my ID implies: Next Presd. ni kweli ipo hivyo, ila sio kwa sasa, this will be by 2030s by then you will be called 'Retired President'.

I believe I will meet you one day and talk together.

Wishing you 'Ramadhan Kareem', and 'A prosperous Easter Holiday'.
Paymaster siku hizi ni waziri wa fedha kwani?
 
We need to destroy and rebuild this country, hicho ndio kilichobaki mambo mengine ni kelele tu.
Wakati mwingine mnaweza kuharibu, mkaharibu jumla kama ilivyo Somalia na Libya. Bora tuendelee na umaskini wetu kwenye amani, kuliko kutafuta utajiri kwa kuanzisha vurugu!
 
UNakufahamu Mirembe? Kawaulize watu hapo jirani yako
Asante kwa maneno yako; nimeyasikia.
For your information, what I wrote is for the interest of the entire nation including you. President Samia may have a good will to save her people but the problem is people around her who are there for their personal interests.
Take it from me; Samia is supposed to take immediate action including the major reshuffle of her Cabinet.
 
Mh. Rais Dkt. Samia,

Kwanza naomba unisamehe kwa lugha ngumu nitakayoitumia hapa ili kukufikishia ujumbe huu kwa niaba ya mamilioni ya Watanzania.

Nikurejeshe siku uliokula kiapo pale Ikulu ya Dar es Salaam, ukiwa kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania uliapa kuilinda nchi hii. Maana ya kuilinda nchi ina mapana yake, kuna kulinda mipaka ya nchi, watu na mali zao, rasilimali za nchi, katiba n.k Hayo ni baadhi tu ya mambo muhimu uliyoapa kuyasimamia na mengineyo mengi yaliyomo ndani yake.

Mh. Rais, hali ya nchi hii kwa sasa sio nzuri kwa manufaa ya watanzania walio wengi ila hali ni nzuri sana kwa watanzania wachache ambao kila uchao wanakusifia na kujikomba kwako ili waendelee kuneemesha matumbo yao na kujilimbikizia mali kwa wizi wa rasilimali za nchi hii na kujijenga kisiasa wakitegemea baada ya wewe kuachia kijiti waweze ku-take over na kuendeleza ufisadi. Nitakupa mifano kadhaa:

1. Hivi Rais kweli kabisa hujui Rais wa mawe (Mwigulu) anatumia nafasi yake kwa kujilimbikizia mali? anajitahidi kuzunguka huko na huko kwa kigezo cha kutafuta pesa kukusaidia kupata fedha za kuendesha nchi hii kwa kigezo cha mikopo nafuu ili hali yeye kama Paymaster wako anatumia hiyo fursa kuchota mabilioni ya fedha na kuficha nje ya nchi na kufungua makampuni mbalimbali ya kibiashara? Hivi hao TISS wana kazi gani hasa? kweli wanashindwa kukupa taarifa muhimu kama hizi with supporting evidence na wewe uweze kuchukua hatua? au ndio unaona huna mtu mbadala wa huyo Rais wa Mawe?

2. Kuna huyu kijana February Marope, hivi kweli Mh. Rais unashauriwa kuwa inabidi 1.5 Trilioni inahitajika kwa ajili ya kufumua miundombinu ya TANESCO na kuanza upya nchi nzima? na wewe unakubaliana na hizo hoja zao, hivi hujaona kuwa hicho ni kichaka cha upigaji? yaani Mh. unajua ni kiasi gani cha maumivu ambayo watanzania wanayapata kupitia upigaji huu wa hawa watu? unaweza kusema hilo litatekelezwa kupitia fedha ya mkopo au kupitia wahisani, but who will pay that? is not the tax paid by Tanzanians if not today, then some years to come they will pay it? Mama kuwa na huruma na watanzania. Kuna usemi unasema bora lawama kuliko fedhea. Fanya maamuzi magumu ili auche legacy katika nchi hii. Nikupe mfano mzuri mama labda utanielewa kwa hili, President J.K ruled this country for ten years before Magufuli. He did a lot of things, good and bad ones that I can't mention here. Lakini magufuli hakumaliza ten years, na toka afariki hadi sasa ni miaka miwili imepita, lakini legacy aliyoiacha hadi hii leo bado watu wanamkumbuka. japo alikuwa na ubabe, udikteta n.k lakini mazuri mengi aliyoyafanya bado watanzania mjini na vijijini wanamkumbuka, though alikwama kimataifa na kufinya demokrasia ila bado watu wanamkumbuka. Pointi yangu hapa ni kuwa pamoja na mengine yote ya kiudhaifu kama binadamu, lakini Mh. Simama kidete kusimamia rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya watanzania. Kesho hutakuwa madarakani au duniani lakini mamilioni ya watanzania watakukumbuka kwa legacy utakayoiacha.

3. Rejea ripoti ya CAG, ona madudu ya TTCL, Air Tanzania - achilia mbali dili la ndege ya mizigo ambalo master minder wake ni Mwigulu (paymaster) -angalia pale ndani ya air tanzania palivyokuwa kichaka cha upigaji, angalia kadogosa na reli ya SGR anavyochakachua mabilioni ya watanzania kwa upigaji huku PM wako akiwa ndani ya mfumo. Kumi pale Bandarini sasa hivi kila mtu anafanya atakavyo, na TISS wapo ila nao wameamua kula kwa urefu wa kamba yao kama ulivyowaelekeza. Ona manunuzi ya magari ya serikali - 35 Billioni zimetumika kwa magari ambayo hayapo na hayajulikani yapo wapi? hivi hawa watu unawaogopa au? Shida ni nini hasa Mh. Rais?

4. Hivi unajua makaa ya mawe yanayotoka mkoani Ruvuma kule kijiji cha Ruanda kwa siku ni tani ngapi zinaondoka? unajua mashimo yaliyoko kule mgodini ukilinganisha na kinachowafaidisha watanzania? Unajua yale magari yaliyoandikwa 'Specialized' yanayotanda barabara zote - njia ya songea lindi mtwara, na songea iringa - moro yanamilikiwa na nani? unajua thamani ya ule mkataba upoje? mwite PM wako leo jioni muulize akupe majibu maana anajua uchafu wote japo najua hawezi kukuueleza ukweli kwa sababu ya personal interest, Biteko ndio jipu uchungu lilijivika ngozi ya uzalendo kwa kujidai mlinda madini ya nchi hii.

5. Mh. Rais, nimekueleza machache tu kati ya mengi yanayowaumiza watanzania. Lakini pengine yawezekana shida ikawa ni mfumo ulioukuta/urithi toka kwa watangulizi wako. Mimi nakushauri kwa moyo wa upendo kabisa, waletee watanzania katiba mpya. "HII NDIO LEGACY KUBWA AMBAYO UTAIACHA KWA WATANZANIA'. Jitokeze hadharani, sema kwa sasa katiba mpya ni kipaumbele chako. Kama watu wanateketeza mabilioni ya fedha kwa kujilimbikizia kwa maslahi binafsi, hivi wewe unashindwa kutumia BILIONI 50 kwa ajili ya katiba mpya? Kwa mtazamo wangu, ile pendekezo la katiba mpya ya Tume ya Warioba ndio itakuwa muarobaini kwa uchafu unaendelea sasa hivi nchini. Najua wapo wana CCM ambao kwa maslahi yao binafsi watakupinga kuhusu hili lakini ukweli ni kwamba utaheshimika kimataifa na pengine hadi kupewa tuzo maarufu duniani after your retirement na kuwa mwanamke wa mfano duniani kama utayafanyia kazi maoni yangu.

6. Mwisho, tambua timu nzima ya mawaziri waliokuzunguka ni wapigaji. Mwite DGS mpe special task na kuletee majibu. Swali la kizushi: hivi wale vyura wa kihansi kule marekani wataendelea kutumia mabilioni ya watanzania hadi lini?

NB: Kiubinadamu najua utakuwa umechukizwa na huu ujumbe wangu ukidhani labda sioni jitihada zako unazozifanya, no please unajitahidi sana tena sana kuwapambania watanzania pamoja na kuwa na weakness za hapa na pale kama binadamu tu wa kawaida, but for 80% bravo my dear President, lakini hilo halina maana kuwa tusikuambie ukweli pale panapohitajika ili uweze kufanya vizuri zaidi. Chukulia niliyokuambia hapo juu ni kama nimekaa nawe sehemu tunakunywa kikombe cha kahawa huku tunabadilishana mawazo.

As my ID implies: Next Presd. ni kweli ipo hivyo, ila sio kwa sasa, this will be by 2030s by then you will be called 'Retired President'.

I believe I will meet you one day and talk together.

Wishing you 'Ramadhan Kareem', and 'A prosperous Easter Holiday'.
Uzi mhimu sana kwa mtanzania mzalendo.
Wale wezi wa mali zetu hawatapenda huu uzi.
Naipenda nchi yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom