Wasiotaka Ikulu iwe na WEBSITE hawa hapa

kwani wewe website ndio the most important thing kwenye maisha yako?

Salva msimsikilize huyu mtu mwenye matatizo ya obsessive disorder

wizara ngapi hazina website na umenyamza why ikulu kila kukicha?
Upuuzi gani huu! Ptuuuuuu.
 
kwani wewe website ndio the most important thing kwenye maisha yako?

Salva msimsikilize huyu mtu mwenye matatizo ya obsessive disorder

wizara ngapi hazina website na umenyamza why ikulu kila kukicha?

Sababu waliomba hela ya hiyo kitu wakapewa,ukilikoroga sharti unywe babuweeee
 
I think you guys are being unfair to Premi na Salva

watanzania wangapi wana access na umeme let alone computer au internet mpaka muanze ku demand hiyo website?

who cares kama Ikulu haina website?

Umeifanyia nini Tanzania so far ??

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kinachoendelea ni hiki:

MICHUZI kama kawaida ana update website yake, na siku akiamka vizuri huweka hizo video za mheshimiwa rais

FREDDY MARO yeye naona naye anapiga picha

KURUGENZI YA MAWASILIANO (premi et al) wao wamekuja na hiki kitu

IKULU BLOG | Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais

sasa cha kujiuliza hivi hii kurugenzi ya mawasiliano hutengewa kiasi gani kwenye budget yao?

maana mimi sioni kama hiyo the so called website inastahili kuitwa website

na how hard is it for these guys kuwa na youtube channel ili videos na speeches za rais ziwe online?
 
Picha za raisi akihudhuria mazishi na misiba mbalimbali, akifutarisha, akibembea jamaica, akiwa na boyz II men na steven seagal, na vitu kama hivyo
Hahahahahahaa......

Where are you man...I missing these moments....
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, leo, Jumatano, Novemba 12, 2014, anatarajiwa kutoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalum ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.

Rais Kikwete amekuwa kwenye Hospitali ya Johns Hopkins tokea Jumamosi iliyopita wakati alipofanyikwa upasuaji wa tezi dume
(prostrate) na afya yake imekuwa inaimarika kiasi cha kuanza mazoezi ya kutembea.

Kutokana na kuondolewa kwa bandeji kwenye mshono ambao
nao umeanza kukauka vizuri, Rais Kikwete baadaye leo atahamishwa kutoka wodini kwenda kwenye
Hospitali Maalum yenye uhusiano na Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko karibu na hospitali hiyo.

Akiwa kwenye
Hoteli Maalum hiyo, Rais Kikwete ataendelea kupatiwa matibabu, kutembelewa mara kwa mara na madaktari na kuwa chini ya uangalizi wa wauguzi muda wote. Wiki moja baadaye, Rais Kikwete atafanyiwa tathmini ya kuwawezesha madaktari kuamua hatua inayofuata ya matibabu yake.

Wakati huo huo, kwa sababu ya wingi wa ujumbe mfupi wa simu (sms) ambazo amekuwa anazipokea Rais Kikwete, imeanzishwa namba maalum ya simu ambako wananchi wanaweza kuwasiliana kwa sms na Mhe. Rais. Namba hiyo ni +1-646-309-2295.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
12 Novemba, 2014
 
Kinachoendelea ni hiki:

MICHUZI kama kawaida ana update website yake, na siku akiamka vizuri huweka hizo video za mheshimiwa rais

FREDDY MARO yeye naona naye anapiga picha

KURUGENZI YA MAWASILIANO (premi et al) wao wamekuja na hiki kitu

IKULU BLOG | Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais

sasa cha kujiuliza hivi hii kurugenzi ya mawasiliano hutengewa kiasi gani kwenye budget yao?

maana mimi sioni kama hiyo the so called website inastahili kuitwa website

na how hard is it for these guys kuwa na youtube channel ili videos na speeches za rais ziwe online?


Uvivu dot com
 
website sio mambo ya priority kwetu
serikali haina pesa za kuharibu kwenye mambo yasio na maana

kwani hiyo website ikishapandishwa ndio iweje?

nyie mnaoililia hiyo website mkishaipata then what?

Ni kweli priority sio website ila ni kulinda wezi na mafisadi wa mali ya umma, kuficha mikataba na kusamehe kodi kwa wawekezaji wakubwa!
 
SASA WANATANGAZA SIEMENS

unnamed%2B(55).jpg
 
Wanaogopa hackers maana wanajua usalama wa Tanzania ulivyo dhaifu siku hizi.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom