Wasiotaka Ikulu iwe na WEBSITE hawa hapa

mimi hapa naona kuna wich hunt tuu hakuna la zaidi

miaka yote mmenyamaza kuhusu website leo kila mtu yuko exited na mambo haya
 
viongoziikulu.JPG




Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
SlidingRoof, kwa asante kwa kuliuliza hili.

1. Kwanza ni kweli mimi ni mwandishi ila ni wa kujitegemea, freelancer, sijaajiriwa na chombo chochote na wala sijajiatach na media yoyote, hivyo ni miongoni mwa wale waandishi ambao kamwe hatuwezi kualikwa Ikulu. Huko wanaalikwa waandishi waandamizi kwenye media.
2. Kwa vile wote wawili nawafahamu na pia uwezo wao naufahamu, nadhani pale Ikulu kuna matatizo, maana performance yao hapo walipo ukilinganisha na kabla hawafika hapo, was much much better, hivyo kwa vile wote ni watu wenye uwezo, kama wanashindwa kuperform au kudeliver, then penye matatizo ni Ikulu.
3. Naomba binafsi nimpongeze Premmy, mara ya mwisho tumekutana pale hotel ya Al-Awadarby Mkuu alipokuja kwenye Mkutano wa CTO. Jukumu langu pale lilikuwa ni kuandaa special program itoke siku hiyo hiyo. Mkuu akahutubia kwa Lugha ya Kiingereza, alipomaliza akatoka nje kutembelea maonyesho na kujichanganya na watu. Nikawasiliana na Premmy kuwa ninafanya program ya Kiswahili, naomba kupata insert ya Kiswahili. Premmy akanipa changamoto, 'you have to fight and get it', hapo hapo nikatafuta security clearence almanusura nifanikiwe, ndipo wale 'jamaa' wakanisukumia kule, as if ile mic yangu ni mtutu!. Jamaa akaniambia Mkuu hana muda kabisa, he is rushing to his nest appointment. Hivyo at leat Premmy aliniruhusu, wale jamaa, wakanizibia!.

4. Kweli nami nikajikalia pembeni wakapiga group photo nikitegemea akimaliza ni mbio kwenye gari kuiwahi hiyo next appointment.. ala kumbe!,
Kilichofuatia hapo naomba nikiache private ila Mkuu aliondoka hapo baada ya 20 minutes!. Wakati wote huo nimewasha kamera ili angalau
aseme japo neno moja la Kiswahili, wakati akielekea kwenye gari, nililazimisha kuuliza swali ...alichonijibu rais wangu, naomba nikihifadhi
kama heshima ya mkuu wangu wa inchi ... huyo akaishia zake kwenye gari!.
5. Nikawaambia waandalizi, this is very unfair, mkutano uko kwetu, walengwa ni Watanzania, ukiamua kuhutubia kwa Kiingereza, its fine, ule ni international conference lakini ukimaliza, basi malizia japo kwa neno moja la kiswahili!.

6. Sikuificha embarassment yangu kwenye makala yangu, nilipiga nyundo kuwa Wakoloni Waingereza, wametufanya vibaya sana kwa kutokolonize mpaka kwenye mind hata kwenye nchi huru Tanzania, viongozi wetu bado wanajikomba kwa wakoloni mamboleo hawa kwa kuzungumza lugha yao hata mahali pasipopaswa.

7. Kama nilivyosema mwanzo, Ikulu pana matatizo, ila matatizo mengine, yanachangiwa na wasaidizi wa rais kwa kumuover protect wakiamini ndio wanamsaidia, kumbe ndio wanamuangusha, na wengine ama wamezidi kujikomba komba mno kwa rais, hadi kumwambia ukweli wanaogopo kwa kujua huku ndiko kumsaidia, kumbe ndio kwanza wanazidi kumuangusha!.

8. Kwa vile Ikulu ni mahali patakatifu na kila kitu mule ni siri, website ya nini?. Zile release za 'Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu' zinatosheleza kabiisa!.
 
viongoziikulu.JPG




Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?

Suala sio kuwepo kwa hiyo website...suala ni Je,tutapata taarifa tunazozitegemea? Kama sio itakuwa taarifa za jina la raisi na watoto wake....mimi naona haina haja ya kuwa na website as long taarifa zote tunapata hata kama hawataki wananchi tujue mambo yao...
 
Ukiona hivyo hela iliyotngwa wanaojua kutumia hela washaitumia
 
viongoziikulu.JPG




Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
i
Ili maji yachotwe kwenye kisima lazima yawepo.Hiyo website ya ikulu haina cha kuandika.Rais bubu,waziri bubu n.k.Ambao diyo wanaopashwa kua news maker wa website yenyewe UNATEGEMEA NINI TANZANIA KILA MRADI NI DEAL HIZO WEBSITIES ZA SERIKALI NA IKULU YENYEWE NI MIRADI YA KUCHOTA PESA SI VINGINEVYO
 
viongoziikulu.JPG




Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?

Huyo Mwenye Suti nyeusi ni Mnyarwandaaaaaaa house boy wa Magogoni Mr. Salva Rweyemamu
 
nawashangaa wanaoshabikia habari ya website

Salva na Premmy wana ya muhimu ya kushughulikia zaidi ya haya mambo yenu ya website

nimeuliza swali very simple kuwa hiyo websiteikishapandishwa then iweje
 
website sio mambo ya priority kwetu
serikali haina pesa za kuharibu kwenye mambo yasio na maana

kwani hiyo website ikishapandishwa ndio iweje?

nyie mnaoililia hiyo website mkishaipata then what?
Pole mdau una umri gani HNIC manake inaweza kuwa ni kizazi cha typewriter dotcom hivyo tusikulaumu bule.
 
viongoziikulu.JPG




Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?

Wanaitwa KURUGENZI au DIRECTORATE
 
Kikwete alipoiningia madarakani mwaka 2005 alitumia dola laki tatu na nusu ati kwa ajili ya kutengeneza website ya Ikulu, halafu tena mwaka 2008 akatumia dola nyingine laki mbili kutengeneza website ya wananchi kutuma malalamiko yao. Website zote hizo hadi leo hazifanyi kazi. Pesa yote hiyo dola laki tano na nusu ni fedha za walipa kodi; kwa hiyo tuna haki ya kuuliza kuhusu website hiyo.


Acha maskhara kwenye mambo sirias kama haya kaka

duh!

sitaki kuamini hayo maneno uliyoyasema hapo juu
 
viongoziikulu.JPG




Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?


Mkuu kwa madudu yanayofanyika sasa can you honestly believe that hiyo website itakuwa na kinachotakiwa kiwemo?

by the way kumbuka kuwa rais wetu ni member wa facebook naona facebook ina mfaa zaidi kukiko website ya ikulu.
 
kwani wewe website ndio the most important thing kwenye maisha yako?

Salva msimsikilize huyu mtu mwenye matatizo ya obsessive disorder

wizara ngapi hazina website na umenyamza why ikulu kila kukicha?[/QUOTE
Information is power.Website ni muhimu kwa Taasisi yenye kuhudumia jamii kwani ni njia mojawapo ya haraka ya kupashana habari kujua/kujifunza/kuelimishana hata kutoa kero mbaliimbali kwa wahusika ..Amka uliko lala ndugu
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom