Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SlidingRoof, kwa asante kwa kuliuliza hili.
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.
Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.
These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.
Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.
These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
i
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.
Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.
These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.
Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.
These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
Pole mdau una umri gani HNIC manake inaweza kuwa ni kizazi cha typewriter dotcom hivyo tusikulaumu bule.website sio mambo ya priority kwetu
serikali haina pesa za kuharibu kwenye mambo yasio na maana
kwani hiyo website ikishapandishwa ndio iweje?
nyie mnaoililia hiyo website mkishaipata then what?
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.
Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.
These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
Kikwete alipoiningia madarakani mwaka 2005 alitumia dola laki tatu na nusu ati kwa ajili ya kutengeneza website ya Ikulu, halafu tena mwaka 2008 akatumia dola nyingine laki mbili kutengeneza website ya wananchi kutuma malalamiko yao. Website zote hizo hadi leo hazifanyi kazi. Pesa yote hiyo dola laki tano na nusu ni fedha za walipa kodi; kwa hiyo tuna haki ya kuuliza kuhusu website hiyo.
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.
Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.
These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
Acha maskhara kwenye mambo sirias kama haya kaka
duh!
sitaki kuamini hayo maneno uliyoyasema hapo juu
kwani wewe website ndio the most important thing kwenye maisha yako?
Salva msimsikilize huyu mtu mwenye matatizo ya obsessive disorder
wizara ngapi hazina website na umenyamza why ikulu kila kukicha?[/QUOTE
Information is power.Website ni muhimu kwa Taasisi yenye kuhudumia jamii kwani ni njia mojawapo ya haraka ya kupashana habari kujua/kujifunza/kuelimishana hata kutoa kero mbaliimbali kwa wahusika ..Amka uliko lala ndugu