Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Mimi naona wanacompete kwenye soko moja na hao wanawake sasa ili kummaliza competitor wako ni lazima umuattack. Mwanaume anayetambua haingilii maisha ya wanawake esp.kwenye kuangalia mavazi,"vipodozi na mali zake!

Haleluyaaaaaa!, asantee bibi!
Remember the phrase if you can't beat them?!....now they can't even join us wamebaki kukaa vibarazani na kujuta kwa nini walizaliwa meeh!
 
kwan ni lazima?

Its God plan kuolewa. Mungu anapendezwa ukiolewa au kuoa kuliko Mwili kuwaka tamaa, if ur caean on this am ril sorry lkn km ur in it, ask for forgiveness. The truth is inside you if you interested in marriage or not. Don't curse yourself by pretending here that ur nat interested in it. Good news is that God is good and can forgive and give us what we want. Usifanye mambo kibinadamu zaidi hayataenda.
 
Nyooo uwee na familia unyeee iyo family yakoo labda itakula p zakooo umr wang hauwez kukuhusu uwe na uhakika usiwe nao mie ainisaidii kitu lol

Hahaaaaaaaaaaaaa!, you go girl!, put him on his plaaaace!,.....p.u.m.b.u zawa nyama choma......heheheeeeeee!
 
Wanaume wa jf mpo frustrated kiasi kwamba hamna la kujadili za8di ya "wasioolewa??????"""

Ni kwamba waliwakataa ndio maana mna hasira nao au wamewazidi maisha?

Maisha ni zaidi ya kuoa na kuolewa

Meona eeeh wameona hii ndo njia ya kupunguza stress zao
 
Lines punch punch kali/
kama ndonga za mashari/



ndoa sio kwa ajili ya wanawake wote kama hujaolewa baki kuwa mchepuko
ha ha ha ha ha ha ha
 
Kwa domo lako chafu nani atakuoa nuksi mnajitia wenywewe unapunguza umri huku taya zimeanza kurudi revansi..! Mnashindaga huku kujifariji sasa kichaka kimeunguzwa tuone fb wameisha pajua mkakimbikilie badoo.

hahahahaaaaa,,,, et taya linarudi livas
 
We mk.n.d kweli aliekwambia humu wanawake wake tupo kutafta wanaume nan mwehuu ww et wapinga kristo mwenzio ndio kwanza 23yrs uniambie siolew si mwehu ww kamuulize bibi kwann hakuolewa adi anazeeka

duuuh!! Mbona unawaka ka radi ya masika? Bila shaka jiwe limekupata
 
Lines punch punch kali/
kama ndonga za mashari/



ndoa sio kwa ajili ya wanawake wote kama hujaolewa baki kuwa mchepuko
ha ha ha ha ha ha ha

kweli kabisa sio kila mwanamke anafaa kuwa mke wengne wanafaa kuwa michepuko tu
 
Ukipata mwanaume kama mleta siredi & co., ni janga la maisha.
Mwanaume mzima akili yote kuponda maisha ya mwanamke?!!!

What a looser!..........

Kujifariji sio dhambi,Kumbe MMU ni jukwaa la single and desperate ladies.Huu mwaka wenu huu
 
Duh mbona hivyo vote hufanywa na walioolewa pia huo ni mtazamo wako tuu bnafc.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom