Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Shindwa pepo mchafu katika jina la Yesu Kristo. Sina cha mume wala boyfriend wa watu, ndo maana namsubiri wa ubavu wangu loooh

acha kuchagua malaika hutapata ng'o maana wote ni binadamu chini ya jua
 
Hahahahaha kumbe wenye magari wote na wanaojichubua hawajaolewa? Yani mtu nitafute pesa kwa jasho langu afu nisiitumie navyoweza kisa itaonekana nataka kukubalika kwa watu kwa sababu sijaolewa? Mnataka tusioolewa tuwe tunatembea kwa miguu tukilia njia nzima na kudondoka kwa presha za kutokuolewa. Please tuacheni tupumue jamani khaaaa


ivi 45yrs ina maana gani tena?
 
mkuu nashukuru kwa ujumbe murua watakuwa wamepata somo

We mwenyewe hapo ulipo unahaha kutafuta mke wa kuoa....deny it!!!

Tunawafahamu sana tabia zenu nyie msokuwa na wa kuwaliwaza, kwa kupiga story za wanawake na kuwakandia hamjambo....ilhali nyie kwenye maisha yenu ni full nyongo.

Go get yourself a wife.....muachege ushanshuda wa vijiweni. Alaaaaa
 
We mwenyewe hapo ulipo unahaha kutafuta mke wa kuoa....deny it!!!

Tunawafahamu sana tabia zenu nyie msikuwa na wa kuwaliwaza, kwa kupiga story za wanawake na kuwakandia hamjambo....ilhali nyie kwenye maisha yenu ni full nyongo.

Go get yourself a wife.....muachege ushanshuda wa vijiweni. Alaaaaa

Mbona mtaani mnakaa kumya huku kichaka cha jf mbwembwe wamepajua maficho yenu! Mnagundu why amuolewi mara mponde ndoa tuwaseme tuuuh...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom