Ni hivi usipojua kudeal na stress za ndoa lazima uzeeke. Unataka hautaki sasa hivi ndoa nyingi ni ndoano. Sasa ukiibeba ndoa kichwani ukawa unatembea nayo lazima ikuchakaze. Na sumu ya kupendeza ni stress ndio maana wadada single wanapendeza.
Labda roho imekuuma kwa sababu na magari wanaendesha, sio magari tu pia na nyumba wanazo ila kwa sababu hawawezi kutembea nazo ukaziona. Pia wana elimu ya kuwatosha na mambo kadha wa kadha. Unajua kwa nini wanaweza kufanya yote haya kwa sababu wana uhuru wa kutosha na wala sio kwa sababu hawajaolewa.
Kuna vitu ambavyo huwezi kufanya baada ya kuolewa. Sio kwamba wanawake ambao wako kwenye ndoa hawana uwezo wa kufanya yote haya ila kwa sababu wanaume wengi ni selfish. Ili usimfunike lazima akudumaze. So uwezo wanao ila ili ndoa iweze kuendelea inabidi wakubali kuwa mazuzu.
So, dadaz nawapa big up sana. Msione thread ni nyingi za kuwakatisha tamaa ni kwa sababu people apreciate you very much but they can't tell. You're the threat, dont give up.
Likes laki 8! U said it correctly! Shovers kunyweni limao la unga!