Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Amina bibi, nimepokea neno lako la unabii. Mume nitaletewa tu na Mungu, but kwa muda huu lemme work my as.s off. Tusiendeshe magari hadi tusubiri tuolewe ndo waume zetu watununulie jamani?? loooh hapana. Maisha lazima yaendelee na ndoto lazima zitimizwe with or without ndoa.

Utasali sana, mwachie mume wa mwenzio ndiyo upewe wako.
 
Kuna ukweli kwamba,
wasioolewa sasa hivi wanatumia nguvu nyingi kununua magari,kujichubua,na
kujiweka feki feki kwa kuvaa nywele bandia,kucha bandia,nyusi bandia,
Yote ni kutafuta 'kujiamini'mbele za watu,wakati mioyoni ni wapweke
sana.Hali hii walioolewa hawana!!
Muda mwingi wako ktk mitandao ya kijamii wakijaribu kuendeeleza
ushawishi wao kwa wanawake wengine kuishi bila kuolewa.
Kila mtu ana uhuru wa kuishi kwa jinsi apendavyo,lakini uhalisia
hautabadirika.

wenu,
mtu wa watu

jaman leten topic za maana kila siku wanawake?
 
inaoneka tunawanyima ucngiz, kula hamli kwa
ajil yetu nabado mpaka mshindwe kuhudumia ndoa zenu kwa kutuwaza sisi.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom