Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

M2WAWA2

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
3,284
Reaction score
5,630
Kuna ukweli kwamba.
wasioolewa sasa hivi wanatumia nguvu nyingi kununua magari, kujichubua na kujiweka feki feki kwa kuvaa nywele bandia, kucha bandia, nyusi bandia.

Yote ni kutafuta 'kujiamini'mbele za watu, wakati mioyoni ni wapweke sana.

Hali hii walioolewa hawana.

Muda mwingi hawa ambao hawajaolewa wako katika mitandao ya kijamii wakijaribu kuendeleza ushawishi wao kwa wanawake wengine kuishi bila kuolewa.
Kila mtu ana uhuru wa kuishi kwa jinsi apendavyo, lakini uhalisia hautabadilika.


Mtu wa watu
 
Kuna ukweli kwamba,
wasioolewa sasa hivi wanatumia nguvu nyingi kununua magari,kujichubua,na kujiweka feki feki kwa kuvaa nywele bandia,kucha bandia,nyusi bandia,
Yote ni kutafuta 'kujiamini'mbele za watu,wakati mioyoni ni wapweke sana.Hali hii walioolewa hawana!!
Muda mwingi wako ktk mitandao ya kijamii wakijaribu kuendeeleza ushawishi wao kwa wanawake wengine kuishi bila kuolewa.
Kila mtu ana uhuru wa kuishi kwa jinsi apendavyo,lakini uhalisia hautabadirika.

wenu,
mtu wa watu

Uko sawa!
 
Kuna ukweli kwamba,
wasioolewa sasa hivi wanatumia nguvu nyingi kununua magari,kujichubua,na kujiweka feki feki kwa kuvaa nywele bandia,kucha bandia,nyusi bandia,
Yote ni kutafuta 'kujiamini'mbele za watu,wakati mioyoni ni wapweke sana.Hali hii walioolewa hawana!!
Muda mwingi wako ktk mitandao ya kijamii wakijaribu kuendeeleza ushawishi wao kwa wanawake wengine kuishi bila kuolewa.
Kila mtu ana uhuru wa kuishi kwa jinsi apendavyo,lakini uhalisia hautabadirika.

wenu,
mtu wa watu

p.umbavu!!
 
Hahahahaha kumbe wenye magari wote na wanaojichubua hawajaolewa? Yani mtu nitafute pesa kwa jasho langu afu nisiitumie navyoweza kisa itaonekana nataka kukubalika kwa watu kwa sababu sijaolewa? Mnataka tusioolewa tuwe tunatembea kwa miguu tukilia njia nzima na kudondoka kwa presha za kutokuolewa. Please tuacheni tupumue jamani khaaaa
 
Hahahahaha kumbe wenye magari wote na wanaojichubua hawajaolewa? Yani mtu nitafute pesa kwa jasho langu afu nisiitumie navyoweza kisa itaonekana nataka kukubalika kwa watu kwa sababu sijaolewa? Mnataka tusioolewa tuwe tunatembea kwa miguu tukilia njia nzima na kudondoka kwa presha za kutokuolewa. Please tuacheni tupumue jamani khaaaa

Hahaaaa hao ni wakuwapotezea hawajielew hata kidogo
 
Hahahahaha kumbe wenye magari wote na wanaojichubua hawajaolewa? Yani mtu nitafute pesa kwa jasho langu afu nisiitumie navyoweza kisa itaonekana nataka kukubalika kwa watu kwa sababu sijaolewa? Mnataka tusioolewa tuwe tunatembea kwa miguu tukilia njia nzima na kudondoka kwa presha za kutokuolewa. Please tuacheni tupumue jamani khaaaa

Mtu akifanya vyote hivyo wewe kinakuuma nini? Anunue gari, ajichubue kuweka kucha bandia ni yeye, wewe yanakuhusu nini? Au mna compete nao kwenye mkt ya kutafuta wanaume?
Maana haingilii akilini mwanaume rijali aanze kufuatilia maisha ya wanawake! Mpk wanamiliki nini na jinsi wanavyojipodoa!
 
Kuna ukweli kwamba,
wasioolewa sasa hivi wanatumia nguvu nyingi kununua magari,kujichubua,na kujiweka feki feki kwa kuvaa nywele bandia,kucha bandia,nyusi bandia,
Yote ni kutafuta 'kujiamini'mbele za watu,wakati mioyoni ni wapweke sana.Hali hii walioolewa hawana!!
Muda mwingi wako ktk mitandao ya kijamii wakijaribu kuendeeleza ushawishi wao kwa wanawake wengine kuishi bila kuolewa.
Kila mtu ana uhuru wa kuishi kwa jinsi apendavyo,lakini uhalisia hautabadirika.

wenu,
mtu wa watu

Be more creative basi!
Naona imezidi sasa, yaani mmeona style ya kutokea ni kuwasema wanawake. Inatosha sasa duh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom