KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Mzima weye......achana nao hawa si ndio wavaa milege
Ukisikia aiiihh ujue limempata...!
Mzima weye......achana nao hawa si ndio wavaa milege
Mis you too uonekani mkuu
Hahaha yani imebidi tu nicheke. Naona hawataki hata tucheke, yani tuwe tunalia tu na kuishi kwa matumaini kama tunaumwa Ebola sijui, God forbid aaaaaaah
Hivi hamchoki jamani :what:
Shikamoo bibi. Popote ulipo chukua ugoro nishalipa. Tufanyaje sasa unmarried girls? Khaaaa
Asilimia kubwa ya mijanaume inayolalamika humu mmekataliwa pia maisha yenu yakuangaika tuu ndio maana roho znawauma afu mkidharauliwa mnaaona mmeonewa na stress zenu za maisha magumu mnazileta mmu makalio yenu na mshen.zii yoyote itakae muuma hii koment apite chini na aipotezee
Mods wa hili jukwaa la MMU hizi thread za kuwasema wanawake na kuwadhalilisha muwe mnaziangalia mara mbili mbili, hii haikubaliki aisee
Hahaaa vijanaume vifup vina matatizo sanaa yan akil zao pia znakuaga fup
hahahahahhhhaaaa!!! tangu tukatae matongozo yao hatupumui.
Ukisikia aiiihhiii...! Ujue limempata...
Usibadili topic,
IM TOO OLD FOR THIS SHIT! Siku hizi nachangia mambo ya msingi tu!
Asilimia kubwa ya mijanaume inayolalamika humu mmekataliwa pia maisha yenu yakuangaika tuu ndio maana roho znawauma afu mkidharauliwa mnaaona mmeonewa na stress zenu za maisha magumu mnazileta mmu makalio yenu na mshen.zii yoyote itakae muuma hii koment apite chini na aipotezee[/QUOTEhahahaha mi napita.....wanajisahau kuwa mambo yamebadilika alaaaaaaaaaah nyambaf
Jf chaka la wezi wa waume za watu.
Kuna mdada mmoja miaka 2 iliyopita alikuwa akiwaeleza rafiki zake akiwamo shemeji yangu wa kike kwamba hana mpango wa kuelewa. Yeye yuko ulaya anasoma na anamaliza mwaka huu. Nilipouliza kwanini, shemeji akasema kwamba yeye keshajenga nyumba yake. Nikamwambia huyo mwongo..ni kwamba hajapata mchumba na analosema ni mwongo. Mwaka huu anarudi na amepata mchumba mtanzania mwenzake anategemea kufunga ndoa pindi akirudi.
Ahahahahh, nimechekaje..... Duh acha nilale, JF watu mna vituko balaa