TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,848
- 2,051
Hahaha yani imebidi tu nicheke. Naona hawataki hata tucheke, yani tuwe tunalia tu na kuishi kwa matumaini kama tunaumwa Ebola sijui, God forbid aaaaaaah
Hawana jipya hao ndio maana mwenzao kawapa maneno ya dharau tena kawakomeshaje leo ukweli umewauma......