Kwa ki-push haya majani yanaitwa msusa, yanaweza kutengeneza mboga aina mbili kulingana na mchanganyiko utakaoweka, mboga zenyewe ni msapagulo na mrenda.Inaitwaje kwa ki-push
Umeipatia kweli spelling. Nilikuwa nashindwa kuiandika. Fighwa mbazi.Nkhoko inalika kwa Nazi, mafuta hata karanga.
Cha kopo?Hii mboga haina mpinzani , mboga moja ya kibabe Sana , waweza ita msusa au ukaibadili ukapiga mlenda , ipo mkao saaaana .....!!! Mboga ambayo siipendi na staki hata kuiona ni kisamvu
Nkhoko inalika kwa Nazi, mafuta hata karanga.
hii mboga ina vitamini sana, nakumbuka mamangu kijijini alikuwa aidha anaiweka karanga, au alizeti zilizotwangwa, au tetere zilizotwanga au makweme, yanachemka vizuri na inakuwa tamu mno kwa ugali wa mchana, pembeni kuna matunda pori, maembe na maziwa ya mgando dah.Hii ni mboga flani tamu sana hasa ikikutana na mpishi anaejua kuipika kwa kuchanganya viungo flan..
JE KWA KABILA Lenu MNAIITAJE HII MBOGA?
naanza: lisebho (wangoreme na wakurya)
View attachment 2028804
Songea moja mkuu utakuaPitiku
Duh mkuu utakua na afya sana sio kwa mlo huo😄😄😅😅hii mboga ina vitamini sana, nakumbuka mamangu kijijini alikuwa aidha anaiweka karanga, au alizeti zilizotwangwa, au tetere zilizotwanga au makweme, yanachemka vizuri na inakuwa tamu mno kwa ugali wa mchana, pembeni kuna matunda pori, maembe na maziwa ya mgando dah.
aisee, huwezi amini, nimezaliwa kijijini kabisa, kijiji cha kitanzania, mamangu hakuwa na uwezo kabisa wa kifedha ila alitulisha mboga hizi na viuongo hivyo (tetere,alizeti,ufuta,karanga) sio kwamba tulikuwa tunapenda, bali alikuwa hana hela ya kununua mafuta ya kupikia na sisi tulikuwa tunalalamika sometimes kwamba mama nunua mafuta tupumzike na hivi vya kutwanga.Duh mkuu utakua na afya sana sio kwa mlo huo😄😄😅😅
mama yenu aliwapenda sana
Ichanganywe na chimbondi 😋😋😋Pitiku
Nitamu Sana hata mizizi yake ni dawa nzuri Sana na makonyo yake,kwa aliyeumwa na nyoka yanamtibuhii mboga ina vitamini sana, nakumbuka mamangu kijijini alikuwa aidha anaiweka karanga, au alizeti zilizotwangwa, au tetere zilizotwanga au makweme, yanachemka vizuri na inakuwa tamu mno kwa ugali wa mchana, pembeni kuna matunda pori, maembe na maziwa ya mgando dah.