Neno "Haki" huwa halikauki kwenye kinywa cha Rais Samia. Ni viongozi wachache sana wa Afrika wanaojali

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,114
49,840
Toka Rais Samia ameshika usukani Mwaka 2021, mara nyingi sana kwenye hotuba zake amekuwa akitamka neno Haki. Ni nadra sana akamliza hotuba bila kugusia mambo ya kutenda Haki.

Kwa Afrika hii ni Viongozi wachache sana wenye kujali Kwa Kauli na matendo kama Rais Samia wa Tanzania.

Nimekuona mara kadhaa ukiwataka Polisi watende Hali Hadi kufikia kubadili sheria kwamba mtu asikamatwe kama hakuna ushahidi.

Tumekuona mara kadhaa ukiwataka Majaji watende Haki na ukafila mbali zaidi Kwa kusema walau Wanawake Wana hofu ya Mungu ukawateua wengi kwenye nafasi za maamuzi.

Tumekuona ukiwalipa fidia watu wote ambao waliodhulumiwa kuanzia waliobomolewa Kimara,Waliotomuliwa kazi,waliochukuliwa maeneo Yao Hadi waathirika wa Mafuriko Hanang' Unawahamisha Masai Kwa utu na kiukweli malalamiko ya Serikali kudhulimu Haki kwenye Utawala wako hayapo.

Hongera sana na Mungu akupe maisha marefu.Hata kwenye siasa Chadema ni mashahidi wa ulivyotenda Haki kwao.

View: https://twitter.com/NataliaJohn19/status/1735966913845497874?t=X02DgUVZPXVVnbhBOlC6VQ&s=19

My Take
Nimerudi hewani baada mods kunipa ban kisa eti nilimuita Erythrocyte Mwambukusi 🤣🤣
 
Kwa hakika Rais Samia Anastahili pongezi na kuungwa mkono. Ni kiongozi mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu anayetambua kuwa madaraka ni ya kupita tu .ni kiongozi anayethamini utu wa watu na kumjali kila mtu .ni kiongozi anayetaka kuona watu wote wanatendewa haki. Mungu aendelee kumlinda na kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania .maana ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia
 
Toka Rais Samia ameshika usukani Mwaka 2021, mara nyingi sana kwenye hotuba zake amekuwa akitamka neno Haki. Ni nadra sana akamliza hotuba bila kugusia mambo ya kutenda Haki.

Kwa Afrika hii ni Viongozi wachache sana wenye kujali Kwa Kauli na matendo kama Rais Samia wa Tanzania.

Nimekuona mara kadhaa ukiwataka Polisi watende Hali Hadi kufikia kubadili sheria kwamba mtu asikamatwe kama hakuna ushahidi.

Tumekuona mara kadhaa ukiwataka Majaji watende Haki na ukafila mbali zaidi Kwa kusema walau Wanawake Wana hofu ya Mungu ukawateua wengi kwenye nafasi za maamuzi.

Tumekuona ukiwalipa fidia watu wote ambao waliodhulumiwa kuanzia waliobomolewa Kimara,Waliotomuliwa kazi,waliochukuliwa maeneo Yao Hadi waathirika wa Mafuriko Hanang' Unawahamisha Masai Kwa utu na kiukweli malalamiko ya Serikali kudhulimu Haki kwenye Utawala wako hayapo.

Hongera sana na Mungu akupe maisha marefu.Hata kwenye siasa Chadema ni mashahidi wa ulivyotenda Haki kwao.


View: https://twitter.com/NataliaJohn19/status/1735966913845497874?t=X02DgUVZPXVVnbhBOlC6VQ&s=19

Naunga mkono hoja,

P
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kunena na kutenda.
Rais Samia ana nena na kutenda kwa matendo.anatenda anachonena na ananena anachotenda.ndio maana sote ni mashuhuda juu ya kupungua kwa Vitendo vya maongezi,ubambikiaji wa kesi,kupungua na kuisha kwa kesi za kisiasa n.k.
 
Toka Rais Samia ameshika usukani Mwaka 2021, mara nyingi sana kwenye hotuba zake amekuwa akitamka neno Haki. Ni nadra sana akamliza hotuba bila kugusia mambo ya kutenda Haki.

Kwa Afrika hii ni Viongozi wachache sana wenye kujali Kwa Kauli na matendo kama Rais Samia wa Tanzania.

Nimekuona mara kadhaa ukiwataka Polisi watende Hali Hadi kufikia kubadili sheria kwamba mtu asikamatwe kama hakuna ushahidi.

Tumekuona mara kadhaa ukiwataka Majaji watende Haki na ukafila mbali zaidi Kwa kusema walau Wanawake Wana hofu ya Mungu ukawateua wengi kwenye nafasi za maamuzi.

Tumekuona ukiwalipa fidia watu wote ambao waliodhulumiwa kuanzia waliobomolewa Kimara,Waliotomuliwa kazi,waliochukuliwa maeneo Yao Hadi waathirika wa Mafuriko Hanang' Unawahamisha Masai Kwa utu na kiukweli malalamiko ya Serikali kudhulimu Haki kwenye Utawala wako hayapo.

Hongera sana na Mungu akupe maisha marefu.Hata kwenye siasa Chadema ni mashahidi wa ulivyotenda Haki kwao.


View: https://twitter.com/NataliaJohn19/status/1735966913845497874?t=X02DgUVZPXVVnbhBOlC6VQ&s=19

Ni kweli neno haki lipo kwenye mdomo wake tu. Lakini ki uhalisia tangu aingie madarakani haki haipo kwa Watanzania hasa common citizens. Kwangu Mimi huyu ndiye Rais dhaifu zaidi kuwahi kutokea
 
Ni kweli neno haki lipo kwenye mdomo wake tu. Lakini ki uhalisia tangu aingie madarakani haki haipo kwa Watanzania hasa common citizens. Kwangu Mimi huyu ndiye Rais dhaifu zaidi kuwahi kutokea
Haki ipi uliyoikosa wewe common citizen.

Uimara wa Rais sio kupayuka hovyo ila ni delivery
 
Toka Rais Samia ameshika usukani Mwaka 2021, mara nyingi sana kwenye hotuba zake amekuwa akitamka neno Haki. Ni nadra sana akamliza hotuba bila kugusia mambo ya kutenda Haki.

Kwa Afrika hii ni Viongozi wachache sana wenye kujali Kwa Kauli na matendo kama Rais Samia wa Tanzania.

Nimekuona mara kadhaa ukiwataka Polisi watende Hali Hadi kufikia kubadili sheria kwamba mtu asikamatwe kama hakuna ushahidi.

Tumekuona mara kadhaa ukiwataka Majaji watende Haki na ukafila mbali zaidi Kwa kusema walau Wanawake Wana hofu ya Mungu ukawateua wengi kwenye nafasi za maamuzi.

Tumekuona ukiwalipa fidia watu wote ambao waliodhulumiwa kuanzia waliobomolewa Kimara,Waliotomuliwa kazi,waliochukuliwa maeneo Yao Hadi waathirika wa Mafuriko Hanang' Unawahamisha Masai Kwa utu na kiukweli malalamiko ya Serikali kudhulimu Haki kwenye Utawala wako hayapo.

Hongera sana na Mungu akupe maisha marefu.Hata kwenye siasa Chadema ni mashahidi wa ulivyotenda Haki kwao.

View: https://twitter.com/NataliaJohn19/status/1735966913845497874?t=X02DgUVZPXVVnbhBOlC6VQ&s=19

My Take
Nimerudi hewani baada mods kunipa ban kisa eti nilimuita Erythrocyte Mwambukusi 🤣🤣

Cc chawa mfawidhi Lucas mwashambwa (lucas de Mwashambwa)
 
Back
Top Bottom