Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Updates;
Kama nilivyoahidi kuweka mahojiano baina ya Sunrise Radio na G. Lema hatimaye kwa msaada wa wadau mbali mbali nimefanikiwa kuweka mahojiano hayo;
Baada ya kuibuka mkanyiko huo nilifanya mawasiliano na Mh. G. Lema na kunithibitishia ni kweli yupo Dodoma. Wakati nimemaliza kuongea nae SunRise waliongea na Lema na kufanikiwa kudaka mazungumzo yao.
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mh. G. Lema amekamatwa leo hii akiwa njiani kuelekea Dodoma kuhudhuria kikao kinachiendelea cha bunge.
Mazingira yalipolekea kukamatwa yalikuwa hivi:
Wakati akiwa mkoani hapo Machinga na madereva wa boda boda walimtambua na kumzuia ili awasalimie, wakati akiwasalimu alikamatwa na mpaka saizi bado yupo kituo cha polisi Manyara akihojiwa.
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuna uwezekano mkubwa ikawa ni fitna ya mkuu wa mkoa Arusha ambaye aliitwa mjinga na Lema jana wakati akiongea na radio ya Sunrise Arusha na kutakiwa kufuta kauli yake na yeye Lema kukataa.
Bado nazidi kufuatilia.
Kama nilivyoahidi kuweka mahojiano baina ya Sunrise Radio na G. Lema hatimaye kwa msaada wa wadau mbali mbali nimefanikiwa kuweka mahojiano hayo;
Baada ya kuibuka mkanyiko huo nilifanya mawasiliano na Mh. G. Lema na kunithibitishia ni kweli yupo Dodoma. Wakati nimemaliza kuongea nae SunRise waliongea na Lema na kufanikiwa kudaka mazungumzo yao.
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mh. G. Lema amekamatwa leo hii akiwa njiani kuelekea Dodoma kuhudhuria kikao kinachiendelea cha bunge.
Mazingira yalipolekea kukamatwa yalikuwa hivi:
Wakati akiwa mkoani hapo Machinga na madereva wa boda boda walimtambua na kumzuia ili awasalimie, wakati akiwasalimu alikamatwa na mpaka saizi bado yupo kituo cha polisi Manyara akihojiwa.
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuna uwezekano mkubwa ikawa ni fitna ya mkuu wa mkoa Arusha ambaye aliitwa mjinga na Lema jana wakati akiongea na radio ya Sunrise Arusha na kutakiwa kufuta kauli yake na yeye Lema kukataa.
Bado nazidi kufuatilia.
Last edited by a moderator: