thibitishaWana roho mbaya by nature
Nadhani ulijipendekeza wakakutoa nishai, waha wanamsimamo baby sio wakurukia rukiaWaha ni nature, na vinyongo ndo wenyewe.
Don't assume. Waha wana roho mbaya, wachawi, vinyongo ndo penyewe. Ubishi ndo balaa!
jesica ndio nani jamaniHivi huna habari kuwa ameshafutwa?
Tunaongelea kabila au CV ???Nadhan ww ujawai ata kufka kigoma ,ungeenda ungerudisha mrejesho
Huajwahi kukutana na watu ambao siku zote wako vizuri ila kipindi cha mitihani au wakati wa maandalizi wanakutana na ugonjwa unaowafanya aashindwe kufanya vizuri hiyo mitihani?Ukiona ulipata 4 O level halafu una degree inaleta mashaka juu ya ufaulu wako! Hayo ndiyo huyu mama hataki. Mimi binafsi sijaona alipo kosea. Tukipata wasomi waliokidhi viwango ni fahari ya Taifa.
mmeahama kwa wachaga na wahaya sasa mpo kwa waha, huu mwaka mtamaliza makabila yoteWana roho mbaya by nature
HUYU MAMA NI NOMA KICHWANI USIJARIBU KABISAAAAA, YUKO VIZURI SANA.Habari wanaJF,
Naomba kujua wasifu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce Lazaro Ndalichako.
nenda kasome sasa acha kupiga umbea jfNani mtanzania asilia ambae hana unasaba na makabila kutoka nchi nyingine?.Nani alikwambia kuna sifa za jumla na wewe ukazikubali?.
Nikweli wanawake wakichaga wana roho mbaya/wauaji wa waume zao ili warithi Mali?.
Hizo sifa za jumla unazipima kwa kiwango gani na uthibitisho UPI?,au na wewe unakumbwa na propaganda na kuzikubali?.
Mfano wanasema wamasa na wajaruo asili yao ni Kenya unakubaliana nao?.,Wahaya kwao Uganda?.,waangaza kwao Rwanda?.Hivi unakubaliana na huo upuzi?.
Eti wanyanwezi hawapendi ndugu Ila wanapenda watu baki unakubaliana nao wanaozungumza hivyo?.
Eti wachaga na wahaya ni wezi wa Mali za umma?.
Eti waha wana roho mbaya?.
Eti wakurya ni makatili na wana roho mbaya?.
Best Student alisoma Tabora girls, Enzi hizo ilikuwa shule pekee maalum na ya vipanga, ulikuwa unaenda ukiwa wa kwanza kitaifa tu, chuo kikuu alipomaliza akapata scholarship ya kwenda alberta kusoma MPhil kwa ajili ya ukipanga wakampaisha alipopresent akaambiwa asome PhD kabisa, hana cheti cha masters, hii utokea kwa vipanga tu.hivi kuna aliyeileta CV ya Ndalichako?
naona porojo tu!
watu tuna haja ya kukagua CV ya boss wetu wa elimu!
binafsi nahitaji kujua o-level na A-level alisomaje na ufaulu wake ulikuwaje!
Washauli=washauriMkuu msamehe unaumuonea bure,anahitaji washauli wa mambo ya akili.Msome katikati ya mistari utangundua kwa nini anawachukia waha.
Huyu alipigwa chini na muha tena aliekuwa anamuamini 100% sasa chuki yake imehamia kwa waha wote.Niwakuhurumia sana maana anakoelekea ataungua msongo wa mawazo anahitaji tiba sahihi ya wataalamu.
Best Student alisoma Tabora girls, Enzi hizo ilikuwa shule pekee maalum na ya vipanga, ulikuwa unaenda ukiwa wa kwanza kitaifa tu, chuo kikuu alipomaliza akapata scholarship ya kwenda alberta kusoma MPhil kwa ajili ya ukipanga wakampaisha alipopresent akaambiwa asome PhD kabisa, hana cheti cha masters, hii utokea kwa vipanga tu.
Zamani watu walikuwa wanafoji vyeti hawafanyi mtihani kama private candidates, kama unafuatilia utagungua baada 2005 on wards alipotinga NECTA ndio culture ya kurudia mitihani ilipoingia.
Vyeti fake atanii anajua analofanya, entry qualification za ujanja anaelewa anachomaanisha, ni viporo tu vilikuwa vinatafutia muda wake.
CV ya ndalichako sio ya mchezo mchezo kwa ufupi
amedisko pspa udom au siyo naye mjua mbona jana nilimuona jamanjesica ndio nani jamani
Ndalichako ni msomi na mtaalam katika hesabu na statistics,hivyo alifti vizuri sana kwenye Necta ambako statistics ilimbeba. Lakini huyu mama hana uelewa mpana kwenye elimu kama Taaluma kama jinsi ilivyo kwa maprofesa wengi! Ualimu ni Taaluma si kila profesa ana Taaluma ya ualimu. MTU ambaye angefiti vizuri kwenye wizara ya elimul ni profesa Mkumbo ambaye ana Taaluma ya ualimu. Ila kwa bahati mbaya mkumbo ameshaharibiwa na siasa! Hivyo naye hawezi kukwepa kuingiza siasa kwenye elimu!
Basi arudie Masters program upya
Mbona unaogopa, nikipindi cha watanzania kuamka.Siko tayari kukujibu vibaya laiti ungenielewa maana yangu wala usingejibu kwa kukurupuka kaka, Nimehoji hivi nina maana kubwa ni kwamba sa hivi watu wananyimwa mikopo eti kisa mtu amesoma sayansi je wao wamesoma hayo masomo ndo maana yangu sijamzarau mheshimiwa nina muheshimu sana tena sana mimi sijajengwa kwenye misingi ya kumbeza mtu.
Sio kila post uchangie kama hauelewi kaa kimya ujifunze, unaweza ukapresent kwa ajii ya Mphil na ukaupgrade into PhD, ni jambo la kawaida kwa vipanga, ungeuliza au google kwa taarifa