Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Angekuwepo enzi za Magufuli za kutosomesha wajawazito angekua ujiji analima mawese,ila sijui kwann amekaa kimyaaaa

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
Kwani alidungwa mimba akiwa shuleni?! Alikuwa darasa la ngapi au fom gani?!
 
Ingia kwenye tovuti ya bunge utaipata bila chenga mpaka CV ya Wasira zipo na vilaza wengne pia kama akina kingwangalla utazikuta nenda kapekue mkuu
 
Waha ni nature, na vinyongo ndo wenyewe.


Don't assume. Waha wana roho mbaya, wachawi, vinyongo ndo penyewe. Ubishi ndo balaa!
Hapa itakua umehamisha magoli kwa zitto.kwa Ameshaolewa vile bi Ndali kama hataki inamake sense kidogo ingawa si Waha wote maana ubaya hauna kwao wala hauna kabila
 
Mi siko kuchangia cv ya huyo Ndalichako! Hanihusu simhusu apite kushoto.
Niko kuchangia comment moja ya waha &
God Forbid!
Sitaki muha hata wa awe na hela kuliko jayz na beyonce!
Na sisi waha hatukutaki hata uwe na viuno vya Shakira kwa Pique
 
Unaelewa unachoongea, unaweza kumfananisha ndalichako na mkumbo? aliyekwambia Mkumbo speciality yake ni ya ualimu Zaidi ni nani, Mkumbo ana PhD kwenye psychology tena kafanyia mambo ya adolescent, ndalichako kafanya area ya measurement and evaluation. Acha siasa, jamvi kubwa hii ongea unalolifahamu.
wengi hamuelewi afanyalo yupo sahihi kabisa anachokifanya.
Degree ni elimu ya kiwango, sio kila mtu aende akasome apewe na degree kuijanja, lazima mtihani ambao upo monitored umpime kama anafaa au la. Mnajua hawa wakiomba wakaenda nje kwa kigezo cha GPA akifika kule inaonekana watanzania wote ni ovyo? kumbe tulilegeza mahali.
Fuatilieni sana kwanini wasomi wengi wenye masters za hapo TZ hawasomi PhD nje bila kuwa na masters ya huko? unaenda wanakwambia usome tena masters yao ndio wanakupa PhD, fuatilia CV za wengi waliosoma nje wana masters mbili ya TZ na nje. Ndio utajua jinsi michezo ya kipuuzi inavyolicost taifa
Mzee Punguza kuabudi wazungu hizo ni principle tu walizojiwekea hata ss wakija wazungu na driving license haziwezi tumika mpaka wapate na ya hapa Je nikwamba sisi ndo madereva bora zaidi.? Uko hivyo kwenye vitu vingi sana tu ili uweze kufanya kitu Fulani lazima ufate taratibu walizojiwekea bila kuchuja maana take utachanganya Pumba na mchele.kila sehemu na chujio lake wacha wachujwe tu hata tukibadilisha mitaala yetu haitahusu mitaala yao bado itatulazimu kuifata kama walivyojiwekea wenyewe
 
Waha ni nature, na vinyongo ndo wenyewe.


Don't assume. Waha wana roho mbaya, wachawi, vinyongo ndo penyewe. Ubishi ndo balaa!
Kuhusu roho mbaya naona umewasingizia Waha. To be honest Waha ambao Mimi nimebahatika kukutana na kuishi nao ni watu poa sana; ila issue ya ubishi ni kweli. Watu hawa ni wabishi sana hata kwenye vitu ambavyo hawana uhakika navyo. Swala la uchawi nalisikia tu, I can't prove
 
Roho mbaya, mbishi, tapeli na fisadi mkubwa. Huko wizarani watu wanalia ni mbabe sana.
Hata hivyo watu wanajimegea.
 
Habari wanaJF,
Naomba kujua wasifu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce Lazaro Ndalichako.
Ndalichako namuona hana maana kabisa watumish walio chini ya wizara yake wana nyanyaswa kila siku lakin yeye hana hata habari ila ile ya walimu wa mbeya kwa vile alijua itampa kiki alikuwa mstari wa mbele kabisa
Kifupi waziri wa elimu ndalichako hana maana anachokifanya kwa ustadi ni kufungia vyuo
ndalichako nasikia ni TO mara mbili etty advnce and O levell masters and phd yake si ya tanzania kachukulia mbele huko kwa hiyo kigezo cha kumzingua muha yule huna
U TO wake hauna tija kabisa
 
Watoto hawa Njuka,first year wamekuja na Nepi wanataka kuhoji Credibility ya Ndalichako?
Mkuu umekuwa Judgmental jamaa ameomba CV; Ila naona umeingia hadi kwenye mawazo yake, unaona kama anahitaji credibility.

Hii ndio changamoto mambo mengi hayaendi, Yaan hata wazo ambalo halijasemwa watu wanalitafsiri.
 
Mkuu umekuwa Judgmental jamaa ameomba CV; Ila naona umeingia hadi kwenye mawazo yake, unaona kama anahitaji credibility.

Hii ndio changamoto mambo mengi hayaendi, Yaan hata wazo ambalo halijasemwa watu wanalitafsiri.
connect alichokuwa amefanya ndalichako na aloyeomba cv yake.

hata Ali Mwinyi alipiga picha na mwana january, lakini january alipoliwa kichwa na jpm kutokana nababa yake(mzee makamba kutoa waraka) na january kuipost ile picha mwinyi alikonekti doti akapinga kile kitendo, hebu tumwache ndalichako, elimu yake haina shaka, ni hatari yule mama, ni hazina kwa taifa.
 
Elimu yake aliokuwa nayo haiyendani na elimu iliyopo tz walizani ataleta mabadiliko kumbe ndio kaiuwa kabisaaaa ndio CV YAKE HYO
 
Back
Top Bottom