samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 360
Prof kanangwa shayotunasifiaga ujinga,To,to bongo!!!magumashi tu.Wataalam wa sayansi na hisabati tulishawazika,km. akina Newton,Avogadro,Faraday,Arrhenius,N.k wengine ni maboga tu.
Prof kanangwa shayotunasifiaga ujinga,To,to bongo!!!magumashi tu.Wataalam wa sayansi na hisabati tulishawazika,km. akina Newton,Avogadro,Faraday,Arrhenius,N.k wengine ni maboga tu.
Huyu mama anajisikia sana, anadhani yeye ndio amesoma elimu bora, tamko la kufuta 'dip to degree', 'bridging course' ni kurupuko la karne.
Nataka nijue alikopita na Div zake zote olevel na a-level(kama alinipita)
Sidhani km kweli ana nia njema na wale wanaohangaika kuinua viwango vyao vya Elimu. Kwan ni mda mchache sn ulopita alitangaza hakuna Degree bila 3.5 GPA. yaani toka 2.7 napo ukumbuke wakati akitangaza hili ilikua ni mwishoni kabisa kwa Semester. HII ILIKUA NI KIKWAZO, SS WATU TUMEONESHA MAFANIKIO KWEN 3.5, LEO ANAINUA KIKWAZO KIKINGINEE....!… NHAPANA...., NAIPENDA SN CCM NA SERIKALI YK HII ILA KWA MAJARIBU HAYA..., MNANITIA MAJARIBUNI ILI NIWACHUKIE KISHA NICHANE KABSAA NA KADI YENU.Hajafuta diploma to degree umemuelewa vibaya kiongozi na wala CV yake hapo haihusiki
Kama umesoma diploma kwa ufaulu mdogo kidato cha nne hutaruhusiwa kusoma degree hadi upate alama zitakazo kuwezesha kusoma degree
Mi nadhani anasimamia viwango vya ubora wa elimu
Haiingii akilini una division 4 alafu una degree haviendani kabisa
kwann haiingii akilini,kwani wizara ya elimu imesema division 4 ni failure?Hajafuta diploma to degree umemuelewa vibaya kiongozi na wala CV yake hapo haihusiki
Kama umesoma diploma kwa ufaulu mdogo kidato cha nne hutaruhusiwa kusoma degree hadi upate alama zitakazo kuwezesha kusoma degree
Mi nadhani anasimamia viwango vya ubora wa elimu
Haiingii akilini una division 4 alafu una degree haviendani kabisa
Wewe ndio umekurupuka.Huyu mama anajisikia sana, anadhani yeye ndio amesoma elimu bora, tamko la kufuta 'dip to degree', 'bridging course' ni kurupuko la karne.
Nataka nijue alikopita na Div zake zote olevel na a-level(kama alinipita)
Na wewe unajidai kufafanulia watu na huku hata wewe hukumwelewa! Alichosema ni zile foundation courses za OUT ndo hao watatakiwa kwenda kufanya mitihani ya form six. Maana alikazia kabisa kwamba foundation courses hazimwongezei mtu sifa ya kwenda chuo Kikuu!Hajafuta diploma to degree umemuelewa vibaya kiongozi na wala CV yake hapo haihusiki
Kama umesoma diploma kwa ufaulu mdogo kidato cha nne hutaruhusiwa kusoma degree hadi upate alama zitakazo kuwezesha kusoma degree
Mi nadhani anasimamia viwango vya ubora wa elimu
Haiingii akilini una division 4 alafu una degree haviendani kabisa
Haaaahaaa!!! Tena mbobevu kwenye hisabati. Kuna mtu aliniambia. Enzi zake UD nzima walimjua!!!Duh! watu mmesoma Zoom college halaf leo mnataka CV ya Ndalichako...
yule mama mkosoeni kwingine sio uwanja wa academic ile ni mashine ya kusaga na kukoboa