Huyu mama anajisikia sana, anadhani yeye ndio amesoma elimu bora, tamko la kufuta 'dip to degree', 'bridging course' ni kurupuko la karne.
Nataka nijue alikopita na Div zake zote olevel na a-level(kama alinipita)
Aanze kuifuta ya IKULU
Huyu mama anajisikia sana, anadhani yeye ndio amesoma elimu bora, tamko la kufuta 'dip to degree', 'bridging course' ni kurupuko la karne.
Nataka nijue alikopita na Div zake zote olevel na a-level(kama alinipita)
kuna binti wa anco angu form 4 alipata daraja la 4 la point 31 eti leo anachukua degree ya uchumi!-nilishangaa sanaNa wewe punguani unajidai kufafanulia watu na huku hata wewe hukumwelewa! Alichosema ni zile foundation courses za OUT ndo hao watatakiwa kwenda kufanya mitihani ya form six. Maana alikazia kabisa kwamba foundation courses hazimwongezei mtu sifa ya kwenda chuo Kikuu! Sasa mazombie mmekazana ooh amefuta hiki,,, ooooh lazima ukasome form 5 na 6! Hakuna kitu kama hicho! Equivalent wana cut off point zao za kuwapeleka university tusiwe MA zombie!!
Kwani mkuu aliruka moja kwa moja kwenda chuo Kikuu au alipita kwanza certificate then diploma? Yuko sahihi!kuna binti wa anco angu form 4 alipata daraja la 4 la point 31 eti leo anachukua degree ya uchumi!-nilishangaa sana
Kwa hilo la GPA sawa ahukumiwe kwa hilo na mengine ambayo yanafanana na na hayo na pia mambo mengine yanahitaji mchango wa wadau mbali mbali na siyo matamko ya viongozi wa kisiasa mi nadhani ndiyo msingi wa hoja yako lakini maelezo yangu hayana na wala hayahusiani chochote na CCM wala CCJ mkuuSidhani km kweli ana nia njema na wale wanaohangaika kuinua viwango vyao vya Elimu. Kwan ni mda mchache sn ulopita alitangaza hakuna Degree bila 3.5 GPA. yaani toka 2.7 napo ukumbuke wakati akitangaza hili ilikua ni mwishoni kabisa kwa Semester. HII ILIKUA NI KIKWAZO, SS WATU TUMEONESHA MAFANIKIO KWEN 3.5, LEO ANAINUA KIKWAZO KIKINGINEE....!… NHAPANA...., NAIPENDA SN CCM NA SERIKALI YK HII ILA KWA MAJARIBU HAYA..., MNANITIA MAJARIBUNI ILI NIWACHUKIE KISHA NICHANE KABSAA NA KADI YENU.
ni kiwango kidogo cha ufaulu mkuu ngoja tupunguze ukali wa maneno maana tukisema failure inaonekana ni tusikwann haiingii akilini,kwani wizara ya elimu imesema division 4 ni failure?
rudia tena post yangu na post ya mtoa mada kiongozi, kuniita Zombi haisaidii na kwa kukusaidia tuNa wewe unajidai kufafanulia watu na huku hata wewe hukumwelewa! Alichosema ni zile foundation courses za OUT ndo hao watatakiwa kwenda kufanya mitihani ya form six. Maana alikazia kabisa kwamba foundation courses hazimwongezei mtu sifa ya kwenda chuo Kikuu! Sasa mmekazana ooh amefuta hiki,,, ooooh lazima ukasome form 5 na 6! Hakuna kitu kama hicho! Equivalent wana cut off point zao za kuwapeleka university tusiwe MA zombie!!
Mwenzako alikua tanzania one o level na advance
Sawa mkuu, kiukweli waache tu kutamka vtu bila kushirikisha wataalam. Kwan napo wao ni Madokta na Maprofesa..., cjui km kweli wako vzr sehemu zote kiss cha mtu kukurupuka tu na kutoa Amri. Mfano wa hili la 3.5 GPA, Alikurupuka. Alipoona mkurupuko una madhara akashusha had 3.0 GPA. Hii inanipa mashaka na matamko YK. HEBU AFANYE KIDOKTADOKTA BASI Aaaagh!.Kwa hilo la GPA sawa ahukumiwe kwa hilo na mengine ambayo yanafanana na na hayo na pia mambo mengine yanahitaji mchango wa wadau mbali mbali na siyo matamko ya viongozi wa kisiasa mi nadhani ndiyo msingi wa hoja yako lakini maelezo yangu hayana na wala hayahusiani chochote na CCM wala CCJ mkuu
kuanzia sasa maana yake ndiyo hiyokwann haiingii akilini,kwani wizara ya elimu imesema division 4 ni failure?
mkuu usitumie nguvu nyingi sana, watu wana tafsiri kwa manufaa yao (kusingizia OUT kumbe ni wote )rudia tena post yangu na post ya mtoa mada kiongozi, kuniita Zombi haisaidii na kwa kukusaidia tu
"Waziri huyo wa Elimu anaongeza kuwa wanafunzi wasiofaulu katika kidato cha nne wamekuwa wakienda kusoma ngazi ya cheti, kisha Stashahada na baadaye wakipenya na kuelekea katika Shahada yaani degree lakini sasa watalazimika kupitia katika ngazi ya kidato cha sita. Ambao hawatapitia katika safari ya kidato cha sita ni wale watakaofaulu katika kidato cha nne na kuchaguliwa kwenda kusoma katika vyuo vya ufundi daraja la kati."Elimu ya Tanzania na vipindi vya mpito - BBC Swahili
alikua n best student mwaka wakeHaaaahaaa!!! Tena mbobevu kwenye hisabati. Kuna mtu aliniambia. Enzi zake UD nzima walimjua!!!
Napingana na wewe mkuu kuna Sifa za jumla za makabila km tunavyosema wakinga na wachaga wanaijua pesa na hodari kwa biashara au Wakurya ni wakali na majasiri nk hao wa mkoa huo ni wanachembe za Burundi /Rwanda aisee acha kabisa!ila ukiongea nao wana sauti nzuri wala hauwezi amini km wanaweza kuwa hivyo!Roho mbaya haina kabila,roho mbaya nimakuzi ya mtu na mazingira yanayomzunguka.
Nani mtanzania asilia ambae hana unasaba na makabila kutoka nchi nyingine?.Nani alikwambia kuna sifa za jumla na wewe ukazikubali?.Napingana na wewe mkuu kuna Sifa za jumla za makabila km tunavyosema wakinga na wachaga wanaijua pesa na hodari kwa biashara au Wakurya ni wakali na majasiri nk hao wa mkoa huo ni wanachembe za Burundi /Rwanda aisee acha kabisa!ila ukiongea nao wana sauti nzuri wala hauwezi amini km wanaweza kuwa hivyo!
Hawajui waha huyo.Nadhan ww ujawai ata kufka kigoma ,ungeenda ungerudisha mrejesho
aiseee kwa hiyo mpaka sasa hana mume?Kwa Taarifa za Uhakika.. Prof Joyce Ndalichako tokea shule ya msingi ni wa kwanzaaaa.. akawa Ndani ya Tanzania One.. Amepata mascholaship mpaka ikapelekea Ndoa yake kuvunjika Maana mume alichoka kusubiri mama NA vitabu. Akaulizwa chagua Elimu au Kitabu... Mama Akasema nachagua Kitabu.
Kichwani Yupo vizuri NA Ni Bulidoza Kwenye mambo ya Management and Evaluation. Kwa hiyo uliyeuliza Ndo ivyo. Na unaambiwa kipindi kile Akiwa Baraza la mitihani ilikuwa kukitokea wanafunzi kalalamika kuhusu matokeoo, yeye Alikuwa anaingia mwenyewe mzigoni.. Anatafuta mitihani yako NA anaisahisha upya.
Yaani Yupo Vizuri NA Sio mvivu. Wewe humuoni alivyo Shupavuu. Mwacheni aionyooooshe Elimu. Huna sifa unarudia. Shida IPO wapi? Hataki shortcuts.
duuuu mwaka gani hiyo mkuu?Mtanzania aliyefanya matusi hayo ni mmoja tu..Martin Chegere...tena kuanzia darasa la 7,form 4 na form 6 bhaasi
Habari za muda huu wadau wanajamvi wenzagu, samahani nnina shida sana na cv ya mheshimiwa Joyce Ndalichako, vipi je yeye alisoma masomo ya sayansi au maana kuna jamaa tunabishana sana.