Best Student alisoma Tabora girls, Enzi hizo ilikuwa shule pekee maalum na ya vipanga, ulikuwa unaenda ukiwa wa kwanza kitaifa tu, chuo kikuu alipomaliza akapata scholarship ya kwenda alberta kusoma MPhil kwa ajili ya ukipanga wakampaisha alipopresent akaambiwa asome PhD kabisa, hana cheti cha masters, hii utokea kwa vipanga tu.
Zamani watu walikuwa wanafoji vyeti hawafanyi mtihani kama private candidates, kama unafuatilia utagungua baada 2005 on wards alipotinga NECTA ndio culture ya kurudia mitihani ilipoingia.
Vyeti fake atanii anajua analofanya, entry qualification za ujanja anaelewa anachomaanisha, ni viporo tu vilikuwa vinatafutia muda wake.
CV ya ndalichako sio ya mchezo mchezo kwa ufupi