Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Alikuwa anafukuza hesabu kama duma mbugani kile kichwa kione hivyo tu
 
Hayo sitajibu ni mtizamo wa mtu binafsi. Hivi unadhani kupata PhD ni mchezo na hata ukiipata kupata Uprof ni kimbembe maana lazima uwe na maandiko. Hivi unajua kuwa unaweza kumaliza mwaka unaandika statement of the problem. Tuheshimu wasomi si kulinganisha kama the so called Prof Jay or Maji Marefu ndugu zangu. Wahenga walisema kama hujui kufa tazama kaburi, angalia jamaa humu hata kuandika ni mgogoro lakini wanacheka watu wa PhD (halali) kama ndalichako. Muone kama mtoa sredi hajui tofauti kati ya Tutor na Tutorial Assistant lakini anaponda PhD ya mtu kama Ndalichako simply kwa sababu hampendi. Hilo nalipinga kwa nguvu zote au PhD ya JPM
mkuu unabishana na watu wajinga sana humu. nakushauri acha kupoteza muda.

shule za kata zimetuletea janga kwenye hili taifa wallahi
 
mkuu unabishana na watu wajinga sana humu. nakushauri acha kupoteza muda.

shule za kata zimetuletea janga kwenye hili taifa wallahi
Ushauri mzuri ila ukiwa na cheti cha darasa la nne ambacho ulikipata kwa kupata kilema ukaona mtoto ambaye hata kusimama bado anadharau mwenzako aliyemaliza darasa la nne inauma. Naachana na hao makinda ila watakuwa wameelewa. Nafunga mjadala maana mimi sijawahi kukanyaga hata shule ya msingi kwani niliishia kindergarten (bustani ya watoto kwa kijerumani) maana tupo nyuma ya keyboard
 
ivi WaTanzania tuliumbwaje jamani? Tulaumu Elimu zetu ama tabia ya kukurupuka na kudandia Treni kwa mbeli,kama vile tulivogo wepesi wa kudakia mada bila hata ya kuichunguza wala kuipembua! wepesi wa kuaminishwa na kulaumu daily,
mtu unatokea huko hujafanya utafiti alafu unataka kuwafosi watu waamini na kukubali mada yako! Tafadhali in Mange kimambis voice""NO RESEARCH NO RIGHTS TO SPEAK""jamani kila mtu ukiandika kwa Google Joicy ndalichako inakuletea lots of info kumhusu!

kingne poleni munao tapatapa,new era new dawn,kile kipindi cha wewe kutoa 1 miln na kupata degree are over,kutoa 2 miln na kupata masters are over! HAPA KUSOMA TU! HAPA ELIMU YA KWELI TU! finaly patatokea wenye degrees holders za ukweli,unafika kwa ofice unaambiwa uyu ana Masters anakupa report unajiuliza ivi uyu masters aliipatia Somalia ama Afganistan!alichoandika unastaajabu,sasa uje unakua English teacher grammar,manake alichoandika hata form 2 ana afadhali!
LET THERE BE THE CREAMEST OF THE CREAMERS
 
Angekuwepo enzi za Magufuli za kutosomesha wajawazito angekua ujiji analima mawese,ila sijui kwann amekaa kimyaaaa

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
ivi mama Ndalichako umri wa miaka 53 ni sawa kweli. Maana tumeanza kumsikia kwy Nectar tokea miaka ya 2000. kwa iyo ana kama miaka 17 yupo kwy vyeo vya juuu
 
tunasifiaga ujinga,To,to bongo!!!magumashi tu.Wataalam wa sayansi na hisabati tulishawazika,km. akina Newton,Avogadro,Faraday,Arrhenius,N.k wengine ni maboga tu.
Naweza kukubaliana nawewe kabisa.

Wanasayansi haswa wana vinasaba vya ugunduzi. Leo tunaona matunda yao kama ugunduzi wa umeme, solar power, ndege, magari, madawa ya binadamu, mimea na viumbe vingine n.k

Hapa Tanzania tuna watu waliokariri masomo ya sayansi ila hatuna Wanasayansi.
 
Back
Top Bottom