Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Hasiyefahamu maana ngumu kuelewa maana, kama bado unafikiri ubora wa elimu ya mpaka 1990's mwishoni product ni sawa, endelea kupiga propaganda humu. Elimu ipo ICU, pitia post za vijana wa leo wanawaza nini na wanavyoargue utapata jibu, hakuna haja ya kupoteza muda
acha kuinsult uwezo wa kila aliyesoma 90s na acha kufagilia kila aliyesoma kabla!
we have very smart people all over the world leo waliosoma 90s - 2000s na kwa idadi na uwezo wapo wengi mno! basically wengi wamesoma elimu zao za awali hapa nyumbani!
same system ya 70s kwa maana aina ya mitihani, mifumo na format za maswali ndio iliendelea kutumika hadi 90s, sasa angalia performance ya hizo special schools tabora boys/girls, mzumbe, ifunda, ilboru, msalato na kibaha! kama kuna anayeweza kutuwekea mkeka wa matokeo hapa utaelewa ninachoongea! na kama utaweza pia kuweka majina ya hao wanafunzi waliofanya vema ktk hizo shule utaelewa hicho kizazi cha 90s kina uwezo kiasi gani!
mliosoma shule hizi mnaweza kuja jamvini na kutoa ushuhuda!
 
Kuna watu wanapata four olevel afu wanapiga certificate mpaka degree ufaulu unakua wa hali ya juu sana olevel elimu ya kukalili iyo isifanye mtu kukosa degree kama certificate na diploma ana first class



kwahiyo unataka kuniambia alipokuwa cheti na hiyo diploma alikuwa kipanga huku o level akipata four 31 hakuna logic yeyote hapo
 
Kigoma line wasivyopatana wenyewe kwa wenyewe na kukamatana uchawi, eg ali kiba, ommy dimpoz, diamond ndo msimamo?
Nimefuatilia comments zako ,nmegundua ww ni kilaza wa kiwango cha juu. wenzako wanapga noti halafu wew unatake it serious.
 
Navyoelewa kuwa Professor unaanzia kua Tutor au Tutorial Assistant wa chuo kikuu, baadae unajiendeleza na kuwa lecturer, baadae unakuwa sinior lecturer, baadae unakuwa Associate Professor na hatimae unakuwa Professor kamili wa chuo kikuu kinachotambulika kwa maneno mengine ili kuwa Professor kamili unaweza kuwa umefundisha chuo kikuu kwa muda usiopungua miaka 14 wakati huo huo na wewe mhusika ukijiendeleza toka degree ya kwanza hadi ya tatu

Sasa naomba kuuliza Dr. Ndalichako U-proffesor kaupataje?, pia ninaelewa kuna u-professor wa heshima bila kufundisha chuo kikuu kinachotambulika
 
Professor wa degree 3.Bachelor,Masters PhD na kuandika vitabu yaani ule utafiti wao.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Navyoelewa kuwa Professor unaanzia kua Tutor au Tutorial Assistant wa chuo kikuu, baadae unajiendeleza na kuwa lecturer, baadae unakuwa sinior lecturer, baadae unakuwa Associate Professor na hatimae unakuwa Professor kamili wa chuo kikuu kinachotambulika kwa maneno mengine ili kuwa Professor kamili unaweza kuwa umefundisha chuo kikuu kwa muda usiopungua miaka 14 wakati huo huo na wewe mhusika ukijiendeleza toka degree ya kwanza hadi ya tatu

Sasa naomba kuuliza Dr. Ndalichako U-proffesor kaupataje?, pia ninaelewa kuna u-professor wa heshima bila kufundisha chuo kikuu kinachotambulika
Pitia hapa...
Joyce Ndalichako - Wikipedia
 
Aliyeathiliwa na siasa
Hayo sitajibu ni mtizamo wa mtu binafsi. Hivi unadhani kupata PhD ni mchezo na hata ukiipata kupata Uprof ni kimbembe maana lazima uwe na maandiko. Hivi unajua kuwa unaweza kumaliza mwaka unaandika statement of the problem. Tuheshimu wasomi si kulinganisha kama the so called Prof Jay or Maji Marefu ndugu zangu. Wahenga walisema kama hujui kufa tazama kaburi, angalia jamaa humu hata kuandika ni mgogoro lakini wanacheka watu wa PhD (halali) kama ndalichako. Muone kama mtoa sredi hajui tofauti kati ya Tutor na Tutorial Assistant lakini anaponda PhD ya mtu kama Ndalichako simply kwa sababu hampendi. Hilo nalipinga kwa nguvu zote au PhD ya JPM
 
Back
Top Bottom