Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Kichwa cha thread hii hakiendani na content yake.......

By the way japo Wema kapata tuzo but in real sense what is soooooo special kwa Wema..... Huwa namchukulia cheap gal asiyejua thamani yake na ucelebrity wake hana criteria zozote za mwanaume wa kuwa nae yeye ni zoazoa
Na Mbona hana mafanikio yoyote kama wenzake?
 
Mashoga tunajuana bahat nzuri, utajibeba manina zako, utakunya usaha mwaka huu

Ni vizuri ku admit km hivyo. Sitoku quote tena mana ukishafikikia hatua hiyo ww si wa kawaida sawa na mgonjwa wa akili.

Usiku mwema shoga yake bilali
 
Ni vizuri ku admit km hivyo. Sitoku quote tena mana ukishafikikia hatua hiyo ww si wa kawaida sawa na mgonjwa wa akili.

Usiku mwema shoga yake bilali

Umemjuaje bila kama na wewe sio wale wale? MImi sio level yako bahat mbaya, kaoge
 
Kwani ana stress, mana hayo matusi hujui km amechanganyikiwa au la. Ushabiki gani huo wa kujitos fahamu na kijishusha thamani?

Muache tu achana nae kavurugw leooo samahanii
 
Umemjuaje bila kama na wewe sio wale wale? MImi sio level yako bahat mbaya, kaoge

Bilali ni maarufu.
Ukifikia hatua ya kina Bilali utajulikana tuu japo si kwa mazuri utajulikana tuu.
 
Watu wana maneno 😂😂😂
 

Attachments

  • 1432415352859.jpg
    1432415352859.jpg
    20.4 KB · Views: 220
Mbwa wewe unajielewa? Lupita alipata tuzo kwenye movie ya slave, huyo kahaba wenu kapata kwa filamu gan? Mbwa nyie manina zenu nitawatumbua usaha token apa mxiuu, hamna ata akil

Mmhh..aseee.
 
Hakuna tuzo hapo ni ujanja ujanja.. Tangu walipozitoa video za Mdogo Mdogo na Ntampata Wapi eti kwa kigezo zimefanyiwa South Africa nikazitoa maana hizi tuzo... Kama unakataa kuishindanisha video kwa kuwa imefanyiwa nje ya nchi, inakuwaje unamshindanisha Mtangazaji anaefanyia kazi yake kituo cha nje ya nchi na wa ndani ??.

Eti papaso ndio kipindi kinachopendwa duh.. Mtu ajawai kucheza movie ata moja ndani ya mwaka 2014 ila anakuwa muigizaji bora wa kike mwaka 2014.

Inashangaza sana mkuu KIUKWELI mtu yeyote mwenye uelewa hawezi kuwaacha waigizaji wengi wazuri kina Rihama aje kumuweka Wema...kwa movie ipi? Ya lini?

Huu ukanjanja sijui wabongo tutauacha lini
 
Kweli hapa kuna makosa yamefanyika maana kama ni kigezo cha nje hata Salim kike na kipindi chake hakiku stahili kuwepo kama walivyo fanya kwa video ya mdogo mdogo!

Lakini hizi tuzo zina dosari kubwa moja ambayo ni mtu mmoja kupiga kura zaidi ya mara moja au atakavyo...hii inaweza isilete uhalisia wa tunzo maana kumbe mtu anaweza akatenga laki tatu ili kujipigia kura tuu mwenyewe!

Hili wanapaswa kuli rekebisha na wanatakiwa kuhakikisha mtu mmoja anapiga kura moja lakini si atakavyo!
Mimi nilifikiri kura za watu ndio zina hamua mshindi kumbe anaweza piga kura zaidi ya moja ambayo haileti tafsiri halisi ya tuzo za watu!

Labda kama wana fanya biashara lakini kinyume na hapo wanatakiwa kujirekebisha..

Well said
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom