Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

"Duh eti ali kiba alikuwa kwenye gari akingojea kama atashinda achukuliwe tuzo kwasababu ta kyjua hastaili kupata na watu wamemvotia mara nyingi nyingi

Sasa angekwenda spichi ya kushukuru ingemuharibia sababu anajijua hsjafanya lolote la kustahili tuzo haswa mwaka 2014 bali miaka mingi iliyopita na hadi leo hajatajirika kujivunia"

Na pia eti patina wake katika kupigiwa kura wema naye alijijua kuwa mwaka 2014 hakufanya kazi ya filamu na wengine walistahili

Eti inawauma kujua wao bado hawajajiweka vizuri na kyishi maisha hata baada ya tuzo hawajui kama watakuwa na kazi"

Ni kweli haya ya juu?
Naombeni mnitajie basi kazi zao natafuta nikapingane na wanayoandika haya

Yaani muvi za wema na miziki ya kiba mwaka 2014. Nitafurahi niangalie na nisikilize
 
Matumbo punguza ushabiki, hakuna category ya muigizaji bora wa kike bali muigizaji anayependwa zaidi wa kike, watanzania tumieni akili kuchambua mambo.

Sasa huu ndo ungese mavi utawekaje category ya muigizaji anayependwa zaidi wa kike badala ya muigizaji bora wa kike! ? Tuelewe vp hapa? anayependwa kupigwa mit ama! Hao waandaaji wanahamasisha ngono! ama hawajui majukumu yao braaaaaa!
 
Wema anapendwa bwana hata kama hana movie nyingi ila mvuto kwa watu anao hata kama watu wake hawana akili lakini wanampenda na niwengi kwa hilo ni sawa kabisa apewe tuzo jaman kha mbona tunakua hvo hata kama mnamchukia mtu siyo ivo jaman

Kura kwa wema ni haki yake anapendwa tusipoona tuu jina lake mitandaoni huwa na boreka.

Wema ni Dada wa Taifa hakuna kama Sepetunga. Utaki saga chupa ubwie binamu.
 
Sijaelewa hata moja,wacha nirudi kulala tena labda nikiamka itakua afadhali.......
 
Sasa huu ndo ungese mavi utawekaje category ya muigizaji anayependwa zaidi wa kike badala ya muigizaji bora wa kike! ? Tuelewe vp hapa? anayependwa kupigwa mit ama! Hao waandaaji wanahamasisha ngono! ama hawajui majukumu yao braaaaaa!

Mbwa hao, anayependwa bila kufanya kazi? Manina zao mxiuuu
 
Sina ugomvi sana na ushindi wa Wema coz tasnia ya filamu nayo ipo ipo tu, plus aina ya washabiki tulio nao ni rahisi sana kumtaja anayesikika na kuonekana kwao mara nyingi.

Sintofahamu yangu ipo kwenye mtangazaji anayependwa, mwanamuziki wa kiume anayependwa....hapa kuna mawili, either mfumo wa kupata mshindi sio sahihi au uchakachuaji ni mkubwa...kwa akili rahisi tu ni vipi mtu anayefuatiliwa na wengi ashindwe na mwenye wafuatiliaji wachache...kwa mfano Milard ameshinda kupitia blog yake, so nyie mnataka sie tuamini kwamba watu wanafuatilia blog yake kuliko kipindi/shughuli zake nyingine ?

Sioni ni kwa vipi hata waandaaji mnajiridhisha kwamba matokeo yenu yanatoa picha halisi ya kilichopo, na inawasaidia nini kumtangaza mtu ambaye hata bila kutumia nguvu kubwa ukweli upo wazi kuwa ni nani anapaswa kuwa juu.

Hivyo vigezo vinavyohalalisha mmoja kushinda hata kama kazi zake kwenye mitandao zinafuatiliwa na idadi ndogo ya watu kulinganisha na wenzake, ni dhahiri mnapaswa kujipanga upya...walau basi mtangaze kuwa ni tuzo za watu wa Tanzania tu.

Muweke wazi malengo yenu, otherwise SIELEWI....
 
Huyu binamu ana chuki binafsi tu huenda aliomba papuchi akanyimwa halafu mtu mwenyewe usafiri wake bajaj za Mwenge sasa alitegemea atamvuwa chupi vipi madam Wema Dada wa Taifa kipenzi cha Watanzani?

Sipendagi wanawake wapuuzi ambao hawajielewi
 
warumi huu ugojwa wa wemaphobia utakuua

Yaani una chuki na wema kama alikula vyako

Pole

Ila waliopiga kura ndio washaamua sasa

Hao unaowalilia waanzishe tuzo zao kama alivyofanya hbaba wajitunze

Wote waliompigia kura na kumpa tuzo hawajielewi, wema mwenyewe hajielewi, huwez kumchagua mtu ambaye sio muigizaji eti ukampa tuzo mbwa kabisa
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe aisee

Jamaa ana chuki nzito na wema

Yaani ukiangalia thread zake unaona kabisa ana kijiba kikali kwa wema


Huyu binamu ana chuki binafsi tu huenda aliomba papuchi akanyimwa halafu mtu mwenyewe usafiri wake bajaj za Mwenge sasa alitegemea atamvuwa chupi vipi madam Wema Dada wa Taifa kipenzi cha Watanzani?
 
Nakubaliana na wewe aisee

Jamaa ana chuki nzito na wema

Yaani ukiangalia thread zake unaona kabisa ana kijiba kikali kwa wema

Sio wema tu na wote wanaomshobokea wema nawaona hawana akili, mtu gan hajielewi, yani kabisa wanamuweka kwenye tuzo, yan mbwa hawa natamani niwachome visu vya matak*n
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom