Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

nadhani hili ndilo rengo lao,nani anapendwa na watu na si nani katoa falamu iliyopendwa na watu.
kiupande wangu mimi nampenda wastara.! lakini sasa kura nilizo pija mbili so hazikuweza kumsaidia kushinda...
kubwa kama tunampenda mtu na kumshabikia basi tumpijie kura za kutosha, la sivyo tutabaki kupija kelele tu watu wanafanya yao wanaenda zao...😀
warumi njoo usome hapaaaa
 
Last edited by a moderator:
Yaan guti umenichekesha balaaa eti ulimpijia wastara kura mbili 😂😂😂😂
Ngoja nikupe na like aaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Labda kwako aisee kwa msanii ni muhimu just Ku appreciate kazi za wasanii na kuwapa moyo. Tena tuzo za mwaka uu zina ushindani kitu kinacho Fanya kila msanii kujitaidi kutoa kilicho bora.

Jamaniii sisi tuzo zetu zipo tuu zinatusubirii hhhaaa
 
Tatizo sio kura, tatizo kazi binamu, ivi mnaelewa maana ya tuzo? KWa hyo ata kama mtu hafanyi kazi basi apewe tuzo tu kisa kapigiwa kura? Yani natamn nimeze mtu, nina kisu apa yan ningemuona mtu karibu ningemuua kabisa

Kazi yake ni uigizaji, nenda maduka ya filamu utapata filamu zake.
Kwani waigizaji wote wa Hollywood wana act movies ngapI kwa mwaka? Toka Lupita Nyongo alivyopata award na kuwa maarufu,umeshaona kazi yake nyingine?
Mimi ninavyojua waigizaji wa tamthilia ndio wanatakiwa kuwa wanaigiza throughout the year
 
Binamu sipendi ujue? Yani mihasira yangu yote imeisha, yan nachekaje apa aiseeh khaa huyo katukomesha kwa kweli, sijui katokea wapi, nyie jumu jf kuna watu kiboko khaa

Nimechekaa balaaaa maskin ameongea kihuruma kweliii yaan kura mbili anahisi ni zake tu ndizo alizompigia
 
Kazi yake ni uigizaji, nenda maduka ya filamu utapata filamu zake.
Kwani waigizaji wote wa Hollywood wana act movies ngapI kwa mwaka? Toka Lupita Nyongo alivyopata award na kuwa maarufu,umeshaona kazi yake nyingine?
Mimi ninavyojua waigizaji wa tamthilia ndio wanatakiwa kuwa wanaigiza throughout the year

Mbwa wewe unajielewa? Lupita alipata tuzo kwenye movie ya slave, huyo kahaba wenu kapata kwa filamu gan? Mbwa nyie manina zenu nitawatumbua usaha token apa mxiuu, hamna ata akil
 
Nimechekaa balaaaa maskin ameongea kihuruma kweliii yaan kura mbili anahisi ni zake tu ndizo alizompigia

Team wema hawajielewi, huyu nae anapenda umbea kuandika hajui, yan nachekaj apa, madam aje asomeshe mashabiki zake kusoma ili wamuandike vzur maana aibu hii
 
Ahh!! Tanzania hakuna tuzo bwana wachaguaji wajinga, wanaopewa hawastahil, wasiopiga kura wanalalamika mm naona hizo tuzo ni ujinga mnajisumbua tu
 
Mbwa wewe unajielewa? Lupita alipata tuzo kwenye movie ya slave, huyo kahaba wenu kapata kwa filamu gan? Mbwa nyie manina zenu nitawatumbua usaha token apa mxiuu, hamna ata akil

Wow, hata shoga bilali haoni ndani kwa matusi mana only mashoga ndio wanamatusi makubws hivyo
 
Mbwa wewe unajielewa? Lupita alipata tuzo kwenye movie ya slave, huyo kahaba wenu kapata kwa filamu gan? Mbwa nyie manina zenu nitawatumbua usaha token apa mxiuu, hamna ata akil

Hhhhhaaaaaaaaaaaa,na movie ya lupita huwez fananisha na hizi za kwetu jambaz anavua viatu
 
Wow, hata shoga bilali haoni ndani kwa matusi mana only mashoga ndio wanamatusi makubws hivyo

Mashoga tunajuana bahat nzuri, utajibeba manina zako, utakunya usaha mwaka huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom