Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Wema ameigiza movies gani hadi apendwe au ni tuzo za mtu anaeandikwa sana na Shigongo.

Hivi leo ukiitisha show kati ya kiba na Diamond mkoa wowote Tanzania nani atajaza ukumbi.

hizi tuzo ndio zinazomfanya Diamond zaidi kuwa juu na ajitume zaidi.

Juzi Diamond kafunika London wakati wengine hupigia show kwenye sebule za wabongo huko majuu

Jana kapokelewa kama Mfalme Mwanza, na Bado Mond atazidi kuwacharaza bakora tu

Mkuu idawa umetususa sana kule kweny kitengo chako bhana,
 
Wema anawatu wengi na walimpigia kura

Tatizo sio kura, tatizo kazi binamu, ivi mnaelewa maana ya tuzo? KWa hyo ata kama mtu hafanyi kazi basi apewe tuzo tu kisa kapigiwa kura? Yani natamn nimeze mtu, nina kisu apa yan ningemuona mtu karibu ningemuua kabisa
 
Tatizo sio kura, tatizo kazi binamu, ivi mnaelewa maana ya tuzo? KWa hyo ata kama mtu hafanyi kazi basi apewe tuzo tu kisa kapigiwa kura? Yani natamn nimeze mtu, nina kisu apa yan ningemuona mtu karibu ningemuua kabisa

Tatizo ni watu waliomuweka asingowekwa kabisa kawekwa na watu wamepiga kura ingawa kikweli hakustahili kuwepo kwenye hiyo category
 
Mkuu idawa umetususa sana kule kweny kitengo chako bhana,
Mkuu samahani ni majukumu ya hapa na pale yalinibana najua wadau wangu mmekwazika , Kesho burudani kama kawaida.

Poleni kwa usumbufu.
 
Mkuu idawa umetususa sana kule kweny kitengo chako bhana,

Hahahahahaaa idawa kawasusa mashabiki wake wa riwaya analia lia hapa na tuzo za watu.
Poleni mimi nasubiri iishe tu ndio niisome vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Hhhhaaaaaa hiii kibokoooooo ,tuzo ni aliyopewa Lupita bana alaaa

Hata ya Lupita mbona watu kibao waliponda kua hakustahili? Binadamu hatuna jema kila jambo halikosi wa kupinga.
Kwahiyo hili wala halimpi shida sana King Kiba wetu.
 
Hata ya Lupita mbona watu kibao waliponda kua hakustahili? Binadamu hatuna jema kila jambo halikosi wa kupinga.
Kwahiyo hili wala halimpi shida sana King Kiba wetu.

Hizi tuzo za bongo zishakosa mvuto sema na ukwelii na kama miss tz ilivyokosa mvuto
 
Hizi tuzo za bongo zishakosa mvuto sema na ukwelii na kama miss tz ilivyokosa mvuto

Labda kwako aisee kwa msanii ni muhimu just Ku appreciate kazi za wasanii na kuwapa moyo. Tena tuzo za mwaka uu zina ushindani kitu kinacho Fanya kila msanii kujitaidi kutoa kilicho bora.
 
Labda kwako aisee kwa msanii ni muhimu just Ku appreciate kazi za wasanii na kuwapa moyo. Tena tuzo za mwaka uu zina ushindani kitu kinacho Fanya kila msanii kujitaidi kutoa kilicho bora.

Umeona eeh? Mimi nimezidi kuzipenda balaa maana wanatenda haki.Piga kura ushinde, mwaga povu ushindwe...lol
Big up TUZO ZA WATU!
 
asante sana
hapa hawajasema film or whatever...
msanii wa kike anaependwa sie aliyetoa film mwaka upi
ulimpa kura riyama lakinii...

nadhani hili ndilo rengo lao,nani anapendwa na watu na si nani katoa falamu iliyopendwa na watu.
kiupande wangu mimi nampenda wastara.! lakini sasa kura nilizo pija mbili so hazikuweza kumsaidia kushinda...
kubwa kama tunampenda mtu na kumshabikia basi tumpijie kura za kutosha, la sivyo tutabaki kupija kelele tu watu wanafanya yao wanaenda zao...😀
 
nadhani hili ndilo rengo lao,nani anapendwa na watu na si nani katoa falamu iliyopendwa na watu.
kiupande wangu mimi nampenda wastara.! lakini sasa kura nilizo pija mbili so hazikuweza kumsaidia kushinda...
kubwa kama tunampenda mtu na kumshabikia basi tumpijie kura za kutosha, la sivyo tutabaki kupija kelele tu watu wanafanya yao wanaenda zao...😀

Geniveros hebu nisaidie kufundisha mtu aandike vizurii nimechekaaaaa hhhhhaaaa😛😛😛😛😛
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom