Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Halafu binamu kumbuka wema kachukua tuzo ya msanii bora wa filamu anayependwa.Na si msanii bora wa filamu tofautisha hivo vitu viwili.We mwenyewe unajua jinsi gani wema anavyopendwa complain za ni ni tena binamu!!?
 
Inashangaza sana mkuu KIUKWELI mtu yeyote mwenye uelewa hawezi kuwaacha waigizaji wengi wazuri kina Rihama aje kumuweka Wema...kwa movie ipi? Ya lini?

Huu ukanjanja sijui wabongo tutauacha lini

riyama ally alikuepo pia..
je ulimpigia kura?
 
wema kama jina lake linavyosadifu watu wametumia wema wao kumchagua huyo msanii chagula chagula alikuwa enzi izo kizazi cha mkapa.
 
We ushawahi kuona wasanii wanaojielewa wanaandikwa humu kwenye umbea? WEma hajielew ndio maana kutwa wanamzungumzia kwenye magazet ya umbea

Hao unaowaita wanajielewa Ukiona hawaandikwi ujue hawana impact kwetu Na pia nyota ni tatizo lingine Na ndo maana hawaongelewi.
 
Hao unaowaita wanajielewa Ukiona hawaandikwi ujue hawana impact kwetu Na pia nyota ni tatizo lingine Na ndo maana hawaongelewi.

HAwaandikwi na watu wasiojielewa kama nyie, wanaandikwa na watu wenye hadhi zao
 
MMh ulivyokazana na hyo kura, yani akil zako zote kwenye kura? Nini maana ya ma judge? Acheni kuongea upuuzi mnashobokoe ujinga tu

kura ndo muamuzi
so ulitaka aliyepigiwa kura nyingi asishinde majaji wampe mwingine tu?
nini maana ya demokrasia sasaa..

andaeni zenu mchakachue bas muwape hao mnaowataka ninyi washinde ile zile tunzo za watu majaji wameamua kuwaachia wananchi maoni yao
tuacheni na ujinga wetu jamani
nyie werevu kaeni hvyo hvyo msubirie majaji waamue kuchakua ushindi...!!
 
Sina ugomvi sana na ushindi wa Wema coz tasnia ya filamu nayo ipo ipo tu, plus aina ya washabiki tulio nao ni rahisi sana kumtaja anayesikika na kuonekana kwao mara nyingi.

Sintofahamu yangu ipo kwenye mtangazaji anayependwa, mwanamuziki wa kiume anayependwa....hapa kuna mawili, either mfumo wa kupata mshindi sio sahihi au uchakachuaji ni mkubwa...kwa akili rahisi tu ni vipi mtu anayefuatiliwa na wengi ashindwe na mwenye wafuatiliaji wachache...kwa mfano Milard ameshinda kupitia blog yake, so nyie mnataka sie tuamini kwamba watu wanafuatilia blog yake kuliko kipindi/shughuli zake nyingine ?

Sioni ni kwa vipi hata waandaaji mnajiridhisha kwamba matokeo yenu yanatoa picha halisi ya kilichopo, na inawasaidia nini kumtangaza mtu ambaye hata bila kutumia nguvu kubwa ukweli upo wazi kuwa ni nani anapaswa kuwa juu.

Hivyo vigezo vinavyohalalisha mmoja kushinda hata kama kazi zake kwenye mitandao zinafuatiliwa na idadi ndogo ya watu kulinganisha na wenzake, ni dhahiri mnapaswa kujipanga upya...walau basi mtangaze kuwa ni tuzo za watu wa Tanzania tu.

Muweke wazi malengo yenu, otherwise SIELEWI....
pigeni kura nyieee
acheni maneno maneno mingiiii
 
Si busara kulumbana kwa vitu visivyo na msingi.Utaratibu uliwekwa toka mwanzo, na pia kampuni kubwa ya ukaguzi ilifuatilia toka mwanzo hadi mwisho. Kama ungekuwa na maoni ni vema ungeyatoa mapema kwa wahusika kabla ya muda kuisha. Tujifunze kukubali na kushukuru pale kitu kizuri kinapofanyika na tuache lawama zisizo na msingi. Jaribu kujipima ungekuwa ni wewe ungeweza kufanikisha shughuli yote kwa usalama? Mi ni mmoja wa wapiga kura lkn mbali na matokeo tofauti nawapongeza sana waandaaji, wafanyakazi wa bongo 5, washiriki wote na washindi, kwani si kazi rahisi kuandaa shughuli na kuikamilisha vizuri hasa ile inayohusisha wasanii wengi.
 
Si busara kulumbana kwa vitu visivyo na msingi.Utaratibu uliwekwa toka mwanzo, na pia kampuni kubwa ya ukaguzi ilifuatilia toka mwanzo hadi mwisho. Kama ungekuwa na maoni ni vema ungeyatoa mapema kwa wahusika kabla ya muda kuisha. Tujifunze kukubali na kushukuru pale kitu kizuri kinapofanyika na tuache lawama zisizo na msingi. Jaribu kujipima ungekuwa ni wewe ungeweza kufanikisha shughuli yote kwa usalama? Mi ni mmoja wa wapiga kura lkn mbali na matokeo tofauti nawapongeza sana waandaaji, wafanyakazi wa bongo 5, washiriki wote na washindi, kwani si kazi rahisi kuandaa shughuli na kuikamilisha vizuri hasa ile inayohusisha wasanii wengi.

asante kaka umemaliza kila kitu
atakayeongea tena pole yake
 
Watanzania hebu acheni ujinga na upofu wa fikra, nani kakwambia hizi tuzo zinatolewa kwa msanii mwenye movie au umeona wapi jina la movie? HIZI TUZO NI KWA MSANII WA MOVIE WA KIKE ANAYEPENDWA, sasa wewe ulitaka nani apewe na hata kura hujapiga.

Pia Nani kakwambia kujaza watu ukumbi ndiyo kigezo cha mtu kushinda hizi tuzo? Ok fine, lets say Diamond alijaza watu London na jana mwanza kapata mapokezi makubwa, swali kwanini sasa hao hawakumpigia kura ili ashinde? Je wewe hapo ulipiga kura?

Kwa hoja za kingese kama hizi subirini na tuzo za KTMA mtapigwa huku mmesimama mwaka huu.

ni sawa na kujitekenya na kujichekesha mwenyewe, Diamond yuko mbali sana. tuzo zenyewe zikiwa hivyo zitakuwa hazina maana yoyote.
 
MMh ulivyokazana na hyo kura, yani akil zako zote kwenye kura? Nini maana ya ma judge? Acheni kuongea upuuzi mnashobokoe ujinga tu

Watu wanasahau majina yalipotoka mwanzo ndio ilibidi waandaaji wachuje kwa kufata matakwa waliyotaka

Sasa wakapuuzia, inamaana wao ni kutaka pesa za msg hizo waishi vizuri bila kuzingatia vipengele walivyoweka mwanzoni wakati wanatoa tangazo watu wapige kura

Pale ndio ilibidi watoe majina yanayoendana na haswa hiyo ya kufanya 2014.

Pesa pesa ndio mbele usanii wa wafanyao bidii waigizaji etc hawajali kabisa.
 
We ushawahi kuona wasanii wanaojielewa wanaandikwa humu kwenye umbea? WEma hajielew ndio maana kutwa wanamzungumzia kwenye magazet ya umbea

Bcoz she is so special to u and others. Mfyooooo, nawe pia nyau ba baka lake teba jichoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom